Octoba 5 kila mwaka ni siku ya MWALIMU DUNIANI,changamoto katika taaluma hii zinashabihiana kwa walimu wengi wa Tanzania,heshima ya walimu katika zama hizi imeshuka tofauti na zama zile ambapo Mwalimu alikuwa ni mshauri,alikuwa ndiye mtatuzi na mfumbuzi wa matatizo katika jamii,sifa zile za walimu kwa zama zile zimegeukia kwa wanasiasa,Mwalimu ndiye kiwanda cha kuzalisha wataalamu wote waliopo chini ya jua.
Trending
- Haya tena Dkt. Tulia Huyoooo
- Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amehudhuria hafla ya kuadhimisha miaka 135 ya Bunge la Hungary,
- Sierra Leone wafika Ludewa kujifunza kwa TARURA matengenezo ya barabara
- Wananchi walia na gharama kubwa ya matibabu Wajawazito watozwa Fedha Hospitali ya wilaya Chunya
- RAIS SAMIA ANATAKA TUONGEZE MAPATO YA UTALII- WAZIRI CHANA
- TRA WAMLIZA MBUNGE MASACHE
- FULL VIDEO : MKUTANO MKUU WA 149 WA IPU UKIONGOZWA NA DKT. TULIA
- MADEREVA WANAOTUMIA LUGHA CHECHEFU KWA ABIRIA WAONYWA