Vijana 10 wa Jeshi la Kujenga Taifa JKT pamoja na askari mmoja wa JWTZ waliofariki katika ajali eneo la Igodima Jijini Mbeya wakitokea katika mafunzo ya Jeshi mkoani Tabora kuelekea Mbeya wanatarajiwa kuagwa kesho katika Kikosi cha 844KJ Itende JKT Jijini Mbeya
Trending
- Charles Mwakipesile : Tusikubali kubabaishwa na wapiga dili, wakatudalalia maisha yetu
- Wamachinga Old Airport Mbeya Wamchangia Dr. Tulia Milioni Moja kwa Ajili ya Fomu ya Ubunge
- Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya Mhe: Dormohamed: Dkt. Tulia ni Mbunge wa kuigwa
- MBEYAUWSA Yaanza Upya na Wateja wa Mwasenkwa Baada ya Uzinduzi wa Mradi wa Maji
- “Dkt. Tulia Atoa Salamu za Pole kwa Wakatoliki Kufuatia Kifo cha Papa Francis”
- Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson Azindua Mradi wa kisima cha Maji cha Mwansenkwa
- WAKAZI JIJI LA MBEYA WATAJA SIFA ZA MADIWANI WANAOHITAJIKA NA MBUNGE WAO UCHAGUZI OKTOBA 2O25
- Polisi Mbeya Wakamata Gari la Bhangi Mafurushi 67 Likiwa Linatoka Malawi