Wazazi wa wanafunzi wanaosoma katika shule ya Msingi ya Mkapa English Medium ya Jijini Mbeya,wamepinga vikali upandishwaji wa ada kiholela mara dufu kutoka shilingi laki mbili hadi laki nne bila kuwashirikisha wazazi na kudai kuwa kitendo kilichofanywa na Meya na Mkurugenzi wa Jiji hilo ni ubabe
Trending
- RC Malisa Afungua Mafunzo ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi Mbeya
- CRDB YAUNGANA NA JESHI LA POLISI MBEYA KUELEKEA SIKU MAALUM YA POLISI.
- DAS Mbeya: Kipato Kisiharibu Vyanzo vya Maji
- KUMBUKUMBU YA EDWARD NGOYAI LOWASSA
- Wilaya ya Mbeya Yapiga Marufuku Kilimo na Ukataji Miti Kwenye Vyanzo vya Maji
- Tazama muonekano mpya wa Soko la Kariakoo
- TGNP na CARE Waimarisha Elimu ya Tabia Nchi Mbeya
- New Asante Mbeya Yapongeza TAKUKURU Mbeya kwa Elimu ya Uadilifu na Kufungua Uelewa wa Wanachama
