Mshindi wa tuzo ya Malkia wa Nguvu Zuwena Mohamed almaarufu SHILOLE au SHISHI BABY!! amesema anawahusudu na kuwapenda sana wanaume wa Mkoa wa Mbeya kutokana na kuwa na nguvu kutokana kula chakula chenye nguvu Ugali na Dona.
Shilole amesema hayo wakati wa uzinduzi wa Mgahawa mpya ya kisasa Jijini Mbeya TEXAS RESTAURANT
#MbeyaYetuTv
Trending
- “Kasi Yaongezeka! CCM Mbeya Yajaza Nafasi Mbili Kamati ya Siasa mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu”
- TARURA YAPATA TUZO USHIRIKISHAJI JAMII KATIKA UJENZI WA BARABARA
- MFUKO WA HIFADHI YA JAMII KWA WASTAAFU WA UMMA PSSSF WATOA DOZI KWA WANAHABARI MBEYA
- MFUKO WA HIFADHI YA JAMII PSSSF YAWAJENGEA UWEZO WANAHABARI MKOA WA MBEYA.
- TUME YA UCHAGUZI YAPONGEZWA MAANDALIZI UCHAGUZI MKUU 2025
- TULIA TRUST UYOLE CUP 2025 YAZINDULIWA MBEYA.
- MASHUHUDA AJALI ILIOUA 28 MBEYA WATOA NENO
- MH. MAHUNDI: SERIKALI YABORESHA MAWASILIANO KATA YA MKWAMBA RUKWA KUPITIA MIRADI YA UCSAF