#MbeyaYetuTv
Sept 2,2021:WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa serikali haiwezi kuunganisha taasisi za NIDA na RITA kutokana na tofauti za majukumu yake.Alikuwa akijibu swali la Mhe. Abubakari Asenga Mbunge wa Kilombero ambaye alishauri kuunganishwa kwa taasisi hizo ili kurahisisha upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa.
Akifafanua Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa RITA ina majukumu ya kutoa cheti cha kuzaliwa kwa mtu yoyote
Trending
- SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100
- Mwalupindi Akabidhi Tuzo Vitabu na kufuturisha wanafunzi Kuimarisha Elimu Sangu Sekondari
- VIONGOZI WA KIDINI,MAKUNDI YA KIJAMII WAPEWA SEMINA SAPOTI YA KISAIKOLOJIA KWA JAMII
- TAKUKURU MBEYA YAOKOA ZAIDI YA MILIONI 100, YAIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA
- Mfumo wa kidigitali wa Vyeti vya Uasili kupitia Chemba ya Taifa ya Biashara Tanzania (TNCC) waanza rasmi Machi 2, 2026
- MAHUNDI: SERIKALI KUIMARISHA ELIMU YA MALEZI KUPITIA KAMPASI YA KISANGARA
- Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya na NHIF Mkoa wa Mbeya waelimisha walemavu kuhusu Bima ya Afya
- Serikali na TNCC Kuunganisha Mifumo Kidigitali, TRA Yaimarisha Ukusanyaji Mapato
