#MbeyaYetuTv
Sept 2,2021:WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa serikali haiwezi kuunganisha taasisi za NIDA na RITA kutokana na tofauti za majukumu yake.Alikuwa akijibu swali la Mhe. Abubakari Asenga Mbunge wa Kilombero ambaye alishauri kuunganishwa kwa taasisi hizo ili kurahisisha upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa.
Akifafanua Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa RITA ina majukumu ya kutoa cheti cha kuzaliwa kwa mtu yoyote
Trending
- TUME YATOA MAELEKEZO YA KISERA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025
- KONGAMANO LA AMANI NA UCHAGUZI NYANDA ZA JUU KUSINI LIMEFANYIKA MKOANI MBEYA
- Mwanamke Awa Gumzo Mtandaoni Baada ya Video Kuonyesha Aliyempenda Zamani Akilia Akiomba Msamaha Hadharani
- Vijana Waanza Kujaribu Mbinu Mpya ya Kiasili Inayodaiwa Kuvutia Bahati Kwenye Michezo ya Kubashiri
- TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA RATIBA NA MAELEKEZO YA KUPIGA KURA MAJIMBO YA MBEYA MJINI NA UYOLE
- Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee
- Nilivamiwa na Uchawi Kila Usiku Hadi Nilipopata Kinga Iliyowafanya Wachawi Washindwe Kunitazama Machoni
- TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI WA UDIWANI KATIKA KATA YA NYAKASUNGWA JIMBO LA BUCHOSA