#MbeyaYetuTv
Sept 2,2021:WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa serikali haiwezi kuunganisha taasisi za NIDA na RITA kutokana na tofauti za majukumu yake.Alikuwa akijibu swali la Mhe. Abubakari Asenga Mbunge wa Kilombero ambaye alishauri kuunganishwa kwa taasisi hizo ili kurahisisha upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa.
Akifafanua Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa RITA ina majukumu ya kutoa cheti cha kuzaliwa kwa mtu yoyote
Trending
- Nilivyopambana na Baby Mama Aliyenigeuza Mfadhili Pekee Bila Haki, Mpaka Hatimaye Nikaweza Kuwa Karibu na Watoto Wangu Tena
- VIDEO: ZIARA YA KUSHTUKIZA YA WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA, HOSPITALI YA RUFAA YA DODOMA
- Kutoka Kupoteza Kazi Hadi Kujiamini Tena Safari Yangu Ya Kurudi Kuwa Mwanaume wa Nyumba
- Nilivyopata Utajiri Usionisumbua Baada ya Kuacha Kufuata Marafiki Wenye Mashinikizo
- BAKWATA YATOA TAMKO JUU YA MATUKIO YA OKT 29 SIKU YA UCHAGUZI MKUU LASOMWA KWA WAISLAMU NCHI NZIMA
- Nilivyofanikiwa Kuacha Kukasirika Haraka na Kuishi Kwa Amani na Watu
- Nilivyopata Upendo wa Kweli Baada ya Miaka ya Kutumiwa na Kuumizwa
- Rais Samia Atoa Msamaha kwa Waliojiingiza Kwenye Machafuko Bila Kudhamiria
