#MbeyaYetuTv
Sept 2,2021:WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa serikali haiwezi kuunganisha taasisi za NIDA na RITA kutokana na tofauti za majukumu yake.Alikuwa akijibu swali la Mhe. Abubakari Asenga Mbunge wa Kilombero ambaye alishauri kuunganishwa kwa taasisi hizo ili kurahisisha upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa.
Akifafanua Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa RITA ina majukumu ya kutoa cheti cha kuzaliwa kwa mtu yoyote
Trending
- PART-2: MTANZANIA AISHIYE ULAYA AELEZEA KAZI NA MAISHA YAKE UGHAIBUNI AENDELEZA UANDISHI WA VITABU
- Kijana Songwe Amwaga Ujumbe Mzito: “Viongozi Msimfiche Ukweli Rais Samia”
- DKT. MWIGULU: TANZANIA NI MALI YETU SOTE, SI MALI YA SERIKALI WALA CHAMA CHA SIASA
- Tiba kwa wanawake wanaokosa hamu ya tendo la ndoa
- Waziri Mkuu Ajibu Maswali Mazito Toka kwa Wahariri wa Vyombo vya Habari
- WAZIRI NANAUKA ATAKA VIJANA WASIKILIZWE
- Je, unatafuta kazi kwa muda mrefu fanya hivi
- Waziri Mkuu aagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima kufunguliwa
