Share Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email BREAKING NEWS!!!! Bondia Changalawe amtoa kwa knockout bondia Lingelier wa St Lucia na kutinga Nusu Fainali! Sasa Tanzania ina uhakika wa medali walau ya shaba katika ngumi kwenye michuano ya Jumuiya ya Madola!
DKT MARY MWANJELWA AUNGANA NA WANANCHI KUPIGA KURA AHAMASISHA KUJITOKEZA KWA WINGI AMANI IMETAWALAOctober 29, 2025