Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Mtoto Wangu Alichelewa Kutembea na Kuongea Hatua Moja Iliibua Maendeleo Yake

January 2, 2026

Nilianza Januari Bila Pesa ya Mahitaji Hatua Moja Ilinisaidia Kusimama Tena

January 2, 2026

Nilihofia Usalama wa Familia Yangu Kuingia Mwaka Mpya Hatua Nilizochukua Kuweka Kinga

January 1, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Mtoto Wangu Alichelewa Kutembea na Kuongea Hatua Moja Iliibua Maendeleo Yake
  • Nilianza Januari Bila Pesa ya Mahitaji Hatua Moja Ilinisaidia Kusimama Tena
  • Nilihofia Usalama wa Familia Yangu Kuingia Mwaka Mpya Hatua Nilizochukua Kuweka Kinga
  • Nilikuwa Naogopa Kuanza Mwaka Mpya Kwa Bahati Mbaya—Maamuzi Yaliyobadili Mwelekeo Wangu
  • HUPASWI KUJIULIZA MARA MBILI KWANINI USIMPELEKE MWANAO PARADISE MISSION PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA
  • MDAU WA MAENDELEO NDELE MWASELELA AYAJENGA NA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MBEYA
  • LIVE: TUKIO LA KUFUNGA MWAKA JIJINI MBEYA
  • NDELE MWASELELA AFICHUA SIRI YA MAFANIKIO YA SHULE PARADISE MISION PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Watuhumiwa 15 mbaroni kwa mauaji Tunduru-Ruvuma
Video Mpya

Watuhumiwa 15 mbaroni kwa mauaji Tunduru-Ruvuma

Mbeya YetuBy Mbeya YetuSeptember 24, 2022No Comments4 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Watuhumiwa 15 mbaroni kwa mauaji Tunduru-Ruvuma

Na. Abel Paul wa Jeshi la Polisi, Tunduru -Ruvuma

Jeshi la Polisi kupitia kikosi cha kupambana na kuzuia wizi wa mifugo Nchini limesema linawashikilia watuhumiwa 15 waliohusika katika tukio la mauaji ya wafugaji katika kijiji cha Mbatamila Wilaya ya Tunduru Mkoa wa Ruvuma.

Hayo ya mesemwa leo September 24 2022 na kamanda wa Polisi kikosi cha kuzuia wizi wa mifugo na migogoro ya wakulima na wafugaji nchini kamishina msaidizi wa Polisi ACP SIMON PASUA alipofika Kijiji cha mbatamila wilaya Tunduru Mkoa wa Ruvuma ambapo amebainisha kuwa Jeshi hilo linawashikilia watuhumiwa kumi na tano (15) kwa kosa la mauaji ya vijana wanne wa familia moja katika Kijiji cha mbatamila nakusema kuwa wale wote waliofanya mauaji hayo hawako salama nakuwataka wajisalimishe Jeshi la Polisi.

Aidha amewataka wakulima na wafugaji kutojichukulia sheria mkononi na badala yake wafuate misingi ya sheria na taratibu katika kutatua Changamoto zilizopo.

Sambamba na hilo amewapa Pole wananchi waliopoteza ndugu zao ambapo kamanda Pasua amesema Jeshi hilo linaendelea kuwatafuta watuhumiwa wote walio baki ili wafikiahwe katika vyombo sheria kujibu tuhuma zinazowakabili.

KUKAMATWA KWA MIFUGO 159 ILIYOIBIWA MBATAMILA WILAYA TUNDURU MKOA WA RUVUMA

Pia kamanda Pasua amesema kuwa Jeshi hilo limefanikiwa kukamata mifugo 159 iliyokuwa imeibiwa katika Kijiji cha Mbatamila Wilaya ya Tunduru Mkoa wa Ruvuma ambapo amesema Jeshi hilo linaendelea kushrikiana na wafugaji na wakulima katika kupambana nauhalifu wowote ule.

Kwa upande wake katibu wa chama cha wafugaji Nchini Bi. Prisca Kaponda amesema wao kama chama cha wafugaji kitaendelea kutoa elimu kwa wafugaji juu ya matumizi bora ya ardhi ili kumaliza migogoro ya wakuliama nawafugaji hapa nchini.

Nao baadhi ya wahanga wa tukio hilo wamelishukuru Jeshi la Polisi kwa jitihada walizo chukua za kuwakamata watuhumiwa wa matukio ya mauaji na kukamata mifugo ilikuwa imeibiwa katika Kijiji cha mbatamila Wilaya ya Tunduru Mkoa wa Ruvuma na kuliomba Jeshi hilo kuweka nguvu kubwa ili kupata mifugo ambayo haijapatikana.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

HUPASWI KUJIULIZA MARA MBILI KWANINI USIMPELEKE MWANAO PARADISE MISSION PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA

January 1, 2026

LIVE: TUKIO LA KUFUNGA MWAKA JIJINI MBEYA

December 31, 2025

NDELE MWASELELA AFICHUA SIRI YA MAFANIKIO YA SHULE PARADISE MISION PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA

December 31, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025288

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025239

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024212

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025132
Don't Miss
Uncategorized

Mtoto Wangu Alichelewa Kutembea na Kuongea Hatua Moja Iliibua Maendeleo Yake

By Mbeya YetuJanuary 2, 20262

Kwa miezi kadhaa, nilihisi wasiwasi kila nikimuangalia mtoto wangu. Wenzake walikuwa tayari wanatembea, wanazungumza maneno…

Nilianza Januari Bila Pesa ya Mahitaji Hatua Moja Ilinisaidia Kusimama Tena

January 2, 2026

Nilihofia Usalama wa Familia Yangu Kuingia Mwaka Mpya Hatua Nilizochukua Kuweka Kinga

January 1, 2026

Nilikuwa Naogopa Kuanza Mwaka Mpya Kwa Bahati Mbaya—Maamuzi Yaliyobadili Mwelekeo Wangu

January 1, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Mtoto Wangu Alichelewa Kutembea na Kuongea Hatua Moja Iliibua Maendeleo Yake

January 2, 2026

Nilianza Januari Bila Pesa ya Mahitaji Hatua Moja Ilinisaidia Kusimama Tena

January 2, 2026

Nilihofia Usalama wa Familia Yangu Kuingia Mwaka Mpya Hatua Nilizochukua Kuweka Kinga

January 1, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025288

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025239

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024212
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.