Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

SHILINGI BILIONI 6.7 KUTIBU WAGONJWA 760 WASIO NA UWEZO WA KUMUDU GHARAMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA

December 9, 2025

Polepole hisia zilianza kurejea na maisha yalianza upya!

December 9, 2025

Jeshi la Polisi latoa Taarifa muda huu

December 9, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • SHILINGI BILIONI 6.7 KUTIBU WAGONJWA 760 WASIO NA UWEZO WA KUMUDU GHARAMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA
  • Polepole hisia zilianza kurejea na maisha yalianza upya!
  • Jeshi la Polisi latoa Taarifa muda huu
  • Hali shwari Jiji la Mbeya
  • HALI ILIVYO KWA SASA MITAA YA MWAMBENE JIJINI MBEYA
  • TANZANIA NA MAREKANI ZASONGA MBELE KUKAMILISHA MAKUBALIANO MAKUBWA YA UWEKEZAJI
  • MWALUNENGE ATOA MILIONI 3 KUWAOKOA VIJANA WA KIWIRA BAADA YA TFS KUTAIFISHA VIFAA VYAO
  • “MARUFUKU HUU UKAMATAJI TUMEKUBALIANA NA IGP” SIMBA CHAWENE
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AZINDUA HUDUMA YA MASHINE YA MRI HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA
Video Mpya

MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AZINDUA HUDUMA YA MASHINE YA MRI HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuAugust 1, 2023Updated:July 21, 2025No Comments1 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AZINDUA HUDUMA YA MASHINE YA MRI HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema serikali ya awamu ya sita ina dhamira ya dhati kuhakikisha huduma bora za afya zinasogezwa Jirani na wananchi.

Makamu wa Rais amesema hayo wakati wa hafla ya uzinduzi wa huduma za mashine ya MRI katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya iliogharimu shilingi bilioni 3. Amesema kusogezwa kwa huduma bora kama uwepo wa MRI katika hospitali hiyo ni lengo la kuwapunguzia wananchi gharama na adha za kufuata huduma hizo maeneo ya mbali.

Makamu wa Rais ameupongeza uongozi na wahudumu katika hospitali hiyo kwa kuendelea kujitoa katika kuwahumia wananchi na ubunifu walioufanya katika kutafuta vifaa mbalimbali ikiwemo vya kusafirisha wagonjwa ndani ya hospitali.

Aidha ametoa wito kwa uongozi wa hospitali ya rufaa ya kanda Mbeya kuzingatia utunzaji wa MRI hiyo ikiwemo kuzingatia muda maalumu wa matengenezo uliopangwa ili itoe huduma kwa muda mrefu.

Pia ameagiza Wizara ya Afya kukamilisha utaratibu unaopaswa ili kuifanya Hospitali hiyo kuwa taasisi na kujiendesha kiufanisi zaidi.

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema wabunifu katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya wako katika hatua za mwisho kutengeneza kifaa maalum kinachowekwa mkononi kwa mgonjwa kitakachoweza kutuma ripoti kwa daktari muda wote hali ya hali ya mgonjwa inavyobadilika hata akiwa mbali na hospitali.

Amewapongeza wabunifu katika hospitali hiyo kwa kutumia rasilimali ziliozopo kubuni masuluhisho mbalimbali kwa lengo la kutoa huduma bora hospitalini. @dr_philip_isdor_mpango @ofisi_ya_makamu_wa_rais

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

SHILINGI BILIONI 6.7 KUTIBU WAGONJWA 760 WASIO NA UWEZO WA KUMUDU GHARAMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA

December 9, 2025

Jeshi la Polisi latoa Taarifa muda huu

December 9, 2025

Hali shwari Jiji la Mbeya

December 9, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025248

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024207

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025130
Don't Miss
Video Mpya

SHILINGI BILIONI 6.7 KUTIBU WAGONJWA 760 WASIO NA UWEZO WA KUMUDU GHARAMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA

By Mbeya YetuDecember 9, 20250

Na WAF, Dar es Salaam.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepanga kuwatibu watu 760 wasio na uwezo wa kumudu gharama za matibabu ambapo shilingi Bilioni 6.7 zimetengwa kwa kazi hiyo kwa mwaka wa fedha 2025/26

Hayo yameibainishwa na Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa Desemba 8, 2025 alipokuwa akizungumza na watumishi wa Sekta ya Afya ngazi ya Wizara waliopo mkoa wa Dar es Salaam kwenye kikao kazi kilichofanyika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

“Kutokana na faida kubwa iliyopatikana kwa mwaka 2024/25 ambapo jumla ya wagonjwa 677 walinufaika kwa huduma za kibobezi kama kupandikizwa Uloto watoto wenye Sikoseli, Kupandikizwa figo, upasuaji wa moyo, uapndikizaji wa vifaa vya usikivu kwa watoto, matibabu ya Saratani, upandikizaji wa nyonga, Rais Samia ameridhia kuwa na bajeti husika,” amefafanua Waziri Mchengerwa.

Waziri Mchengerwa amesema Rais Samia anadhamira ya dhati ya kuboresha Afya za wananchi kwakuhakikisha kila mwananchi uhitaji wa huduma za kibingwa anapata huduma hizo pasipo na kikwazo cha fedha. @wizara_afyatz @mohamed_mchengerwa

Polepole hisia zilianza kurejea na maisha yalianza upya!

December 9, 2025

Jeshi la Polisi latoa Taarifa muda huu

December 9, 2025

Hali shwari Jiji la Mbeya

December 9, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

SHILINGI BILIONI 6.7 KUTIBU WAGONJWA 760 WASIO NA UWEZO WA KUMUDU GHARAMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA

December 9, 2025

Polepole hisia zilianza kurejea na maisha yalianza upya!

December 9, 2025

Jeshi la Polisi latoa Taarifa muda huu

December 9, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025248

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024207
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.