Share Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Balozi wa Tanzania Nchini Zambia Mhe. Lt Gen Mathew Edward Mkingule, aipongeza Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya kwa kushiriki kushiriki maonesho ya 95 ya Kilimo na Biashara Lusaka Zambia kwa lengo la kujitangaza kwenye maswala ya tiba utalii.