Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilivyogundua Siri Ya Kuweka Bahati Yangu Kwenye Biashara Niliyoianza Kutokuwa Na Kila Kitu

January 10, 2026

Nilivyopata Mtoto Wa Kike Niliyemuhitaji Baada ya Miaka Ya Kutafuta Bila Mafanikio

January 10, 2026

Salama za Rambirambi kwenye Msiba wa Dada yake MNEC Ndele Mwaselela jijini Mbeya

January 10, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilivyogundua Siri Ya Kuweka Bahati Yangu Kwenye Biashara Niliyoianza Kutokuwa Na Kila Kitu
  • Nilivyopata Mtoto Wa Kike Niliyemuhitaji Baada ya Miaka Ya Kutafuta Bila Mafanikio
  • Salama za Rambirambi kwenye Msiba wa Dada yake MNEC Ndele Mwaselela jijini Mbeya
  • Nilivyorejesha Furaha ya Kuwa Baba Baada ya Watoto Kunikataa Kwa Muda Mrefu
  • Nilivyopata Amani ya Ndani Baada ya Kuacha Kuishi Kwa Kulinganisha Maisha Yangu na Wengine
  • Nilivyopata Amani Baada ya Miaka ya Kukosa Usingizi na Huzuni Usiku Kila Usiku
  • Nilivyopata Furaha Baada ya Kuachana na Marafiki Walionivuta Chini
  • Child Support Tanzania Yashirikiana na Madiwani Kuimarisha Elimu Jumuishi Mbeya
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป JESHI LA POLISI LAPONGEZWA KWA UPENDO WAO KWA WANANCHI.
Video Mpya

JESHI LA POLISI LAPONGEZWA KWA UPENDO WAO KWA WANANCHI.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuOctober 8, 2023Updated:July 21, 2025No Comments2 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

JESHI LA POLISI LAPONGEZWA KWA UPENDO WAO KWA WANANCHI.

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi- Dar es salaam

Mkuu wa Gereza Kuu Ukonga Kamishina msaidizi wa Magereza ACP Dkt. Juma Mwaibako amelipongeza Jeshi la Polisi kwa namna ambavyo linashirikisha jamii katika kubaini,kutanzua na kuzuia uhalifu hapa nchini.

Hayo ameyasema wakati anapokea misaada mbalimbali kutoka kwa askari Polisi waliotimiza miaka nane ya utumishi ndani ya Jeshi hilo ambapo amebainisha kuwa Jeshi hilo limebadilika sana kiutendaji ambao unaoendana na mabadiliko ya dunia.

Kwa upande wake mwanafunzi wa kozi ya mkaguzi msaidizi wa Polisi Amosi Mikao amesema wametoa misaada hiyo ikiwa ni sehemu ya shukrani kwa Mwezi Mungu kwa kuwalinda katika kazi zao.

Nae Rosemary Mitula mwanafunzi wa kozi ya mkaguzi msaidizi wa Polisi amesema waliona waungane kulikumbuka kundi hilo ambalo lina mchango pia katika jamii na taifa kwa ujumla kiuchumi kwa kuwasadia vifaa mbalimbali katika gereza kuu la Ukonga lilipo jijini Dar es salaam.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Salama za Rambirambi kwenye Msiba wa Dada yake MNEC Ndele Mwaselela jijini Mbeya

January 10, 2026

Child Support Tanzania Yashirikiana na Madiwani Kuimarisha Elimu Jumuishi Mbeya

January 8, 2026

MAKALA: PARADISE MISSION BUSTANI YA TAALUMA KWA WANAFUNZI NCHINI NDELE MWASELELA AONESHA UWEZO WAKE

January 8, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025298

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025239

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024213

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025132
Don't Miss
Uncategorized

Nilivyogundua Siri Ya Kuweka Bahati Yangu Kwenye Biashara Niliyoianza Kutokuwa Na Kila Kitu

By Mbeya YetuJanuary 10, 20262

Nilipoanza biashara yangu, kila kitu kilionekana kuwa kinyume nami. Hakukuwa na wateja, pesa ziliisha haraka,…

Nilivyopata Mtoto Wa Kike Niliyemuhitaji Baada ya Miaka Ya Kutafuta Bila Mafanikio

January 10, 2026

Salama za Rambirambi kwenye Msiba wa Dada yake MNEC Ndele Mwaselela jijini Mbeya

January 10, 2026

Nilivyorejesha Furaha ya Kuwa Baba Baada ya Watoto Kunikataa Kwa Muda Mrefu

January 9, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilivyogundua Siri Ya Kuweka Bahati Yangu Kwenye Biashara Niliyoianza Kutokuwa Na Kila Kitu

January 10, 2026

Nilivyopata Mtoto Wa Kike Niliyemuhitaji Baada ya Miaka Ya Kutafuta Bila Mafanikio

January 10, 2026

Salama za Rambirambi kwenye Msiba wa Dada yake MNEC Ndele Mwaselela jijini Mbeya

January 10, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025298

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025239

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024213
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.