Naibu Waziri wa Maji Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuruhusu fedha zitolewe ili kutekeleza mradi huo. Amesema mradi huo ni wa kimkakati na imekuwa ni ndoto ya Muda mrefu ya Wzara ya Maji kuhakikisha inawezesha upatikanaji wa majisafi kwa wananchi wa mikoa nufaika.
Trending
- Kila Mwaka Mpya Nilianza na Bahati Mbaya Mwaka Huu Niliingia Nikiwa Tayari
- Tuligombana Wakati wa Krismasi Mazungumzo Moja Yalizuia Kuvunjika kwa Familia
- WANANCHI HAI, FUONI , KATA TANO KUPIGA KURA KUCHAGUA WABUNGE NA MADIWANI KESHO
- Mume Wangu Alikuwa Akipoteza Udhibiti Usiku na Kukojoa Kitandani Hatua Moja Ilinirejesha Amani Nyumbani
- Dadangu Aliokota Mchanga Wa Nyayo Zangu Baada Ya Kuenda Kijijini Na Gari Mpya Lakini Maelezo Maalum Yaliniokoa Katika Hofu
- Mhe. Mahundi: Wazee ni Tunu ya Taifa, Wastahili Kulindwa na Kuheshimiwa
- NDELE MWASELELA AWATAKA WAANDISHI WA HABARI KUZINGATIA MAADILI, KUANDIKA HABARI ZA MAENDELEO NA KUWASEMEA WANANCHI
- Sikuweza Kulala Usiku Juu Ya Ndoto Mbaya Lakini Sasa Nalala Kama Mtoto Baada Ya Kupata Suluhisho

