Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MWALUNENGE AWAUNGANISHA VIJANA KIWIRA, WALA CHAKULA PAMOJA NA POLISI KUSHEREHEKEA KRISMASI KWA AMANI

December 25, 2025

Shinikizo la Damu Liliendelea Kunisumbua Hatua Moja Ndogo Ilinirejesha Afya Yangu

December 25, 2025

Jinsi Nilivyorejesha Heshima Yangu Baada Ya Mjomba Kunisaliti Ndoa Na Ukweli Kujitokeza Bila Vurugu

December 25, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • MWALUNENGE AWAUNGANISHA VIJANA KIWIRA, WALA CHAKULA PAMOJA NA POLISI KUSHEREHEKEA KRISMASI KWA AMANI
  • Shinikizo la Damu Liliendelea Kunisumbua Hatua Moja Ndogo Ilinirejesha Afya Yangu
  • Jinsi Nilivyorejesha Heshima Yangu Baada Ya Mjomba Kunisaliti Ndoa Na Ukweli Kujitokeza Bila Vurugu
  • Nilijaribu Kila Njia Kuokoa Uhusiano Wangu Ulioathirika na Pombe Hii Njia Ilifanya Kila Kitu Rahisi
  • Ulinzi Mkali Waimarishwa Kuelekea Krismasi na Mwaka Mpya 2026 – Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya
  • MSHTUKO MBEYA: MTOTO DARASA LA SABA AUAWA KWA KIPANDE CHA MTI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MAYAI
  • Nilipoteza Amani Bila Sababu Inayoonekana Ufafanuzi wa Kienyeji Ulinipa Mwanga
  • MH. MAHUNDI AWAHIMIZA VIJANA KUISHI KWA MISINSI YA UWAJIBIKAJI NA UTU
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Ujenzi barabara ya Lupeta-Wimba-Izumbwe kuinua Uchumi wa wananchi Mbeya.
Biashara na Uchumi

Ujenzi barabara ya Lupeta-Wimba-Izumbwe kuinua Uchumi wa wananchi Mbeya.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJanuary 12, 2024Updated:January 24, 2024No Comments7 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Ujenzi barabara ya Lupeta-Wimba-Izumbwe kuinua Uchumi wa wananchi Mbeya.

Mbeya

Ujenzi wa barabara ya Lupeta-Wimba -Izumbwe yenye urefu wa Km.9.5 na ile ya Inyala-Simambwe Km. 16.7 kwa kiwango cha lami imelenga kuchochea ukuaji wa uchumi kwa wananchi mkoani Mbeya kwa kurahisisha usafirishaji wa mazao kwa urahisi.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Dennis Londo wakati wa ziara ya kukagua miradi ya elimu na miundombinu ya Barbara mkoani Mbeya.

Mhe. Lundo alisema kuwa kamati hiyo imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara na madaraja chini ya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA).

“Kazi kubwa na yenye viwango imefanyika katika elimu na miundombinu katika Halmashauri hii, Miradi hii miwili ya barabara tuliyotembelea ni muhimu kwa uchumi wa Mbeya lakini na Taifa kwa ujumla”Alisema Mhe. Londo

Kwa upande wa uchumi Mhe. Londo alisema barabara hizo zitaeda kurahisisha shughuli za kilimo na kupunguza gharama za pembejeo na uzalishaji kwani gharama za usafirishaji zitapungua, hivyo kumuongezea kipato mkulima mmoja mmoja na kumuondolea umaskini mwananchi.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MWALUNENGE AWAUNGANISHA VIJANA KIWIRA, WALA CHAKULA PAMOJA NA POLISI KUSHEREHEKEA KRISMASI KWA AMANI

December 25, 2025

Ulinzi Mkali Waimarishwa Kuelekea Krismasi na Mwaka Mpya 2026 – Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya

December 24, 2025

MSHTUKO MBEYA: MTOTO DARASA LA SABA AUAWA KWA KIPANDE CHA MTI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MAYAI

December 23, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025272

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025238

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024211

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025131
Don't Miss
Video Mpya

MWALUNENGE AWAUNGANISHA VIJANA KIWIRA, WALA CHAKULA PAMOJA NA POLISI KUSHEREHEKEA KRISMASI KWA AMANI

By Mbeya YetuDecember 25, 20251

Shinikizo la Damu Liliendelea Kunisumbua Hatua Moja Ndogo Ilinirejesha Afya Yangu

December 25, 2025

Jinsi Nilivyorejesha Heshima Yangu Baada Ya Mjomba Kunisaliti Ndoa Na Ukweli Kujitokeza Bila Vurugu

December 25, 2025

Nilijaribu Kila Njia Kuokoa Uhusiano Wangu Ulioathirika na Pombe Hii Njia Ilifanya Kila Kitu Rahisi

December 24, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

MWALUNENGE AWAUNGANISHA VIJANA KIWIRA, WALA CHAKULA PAMOJA NA POLISI KUSHEREHEKEA KRISMASI KWA AMANI

December 25, 2025

Shinikizo la Damu Liliendelea Kunisumbua Hatua Moja Ndogo Ilinirejesha Afya Yangu

December 25, 2025

Jinsi Nilivyorejesha Heshima Yangu Baada Ya Mjomba Kunisaliti Ndoa Na Ukweli Kujitokeza Bila Vurugu

December 25, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025272

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025238

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024211
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.