Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MASACHE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUSHIKILIA AMANI

December 5, 2025

MH. MASACHE: TUENDELEE KUISIMAMIA MIRADI ILIYOKUWEPO NA KUIBUA MIPYA AWASHUKURU WANA CHUNYA

December 5, 2025

MH. NOAH MWAKISU AAPISHWA RASMI KUWA DIWANI KATA YA ILOMBA

December 5, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • MASACHE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUSHIKILIA AMANI
  • MH. MASACHE: TUENDELEE KUISIMAMIA MIRADI ILIYOKUWEPO NA KUIBUA MIPYA AWASHUKURU WANA CHUNYA
  • MH. NOAH MWAKISU AAPISHWA RASMI KUWA DIWANI KATA YA ILOMBA
  • Dourmohamed Issa ashinda kwa kishindo Umeya na kutetea nafasi yake
  • Ni mara ya kwanza kupata mkataba mnono wa ujenzi
  • Ndipo siku hiyo akashinda Sh17 milioni ya Jackpot
  • MAHUNDI ATIMIZA AHADI YA VIFAA VYA UJENZI WA OFISI YA TAWI LA SIMBA
  • MBOGA IMEIVA! Wadau Wapiga Jeki Mbao 300+ Kwa Nyumba ya Katibu wa Wazazi
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป MABILIONI YA MAMA SAMIA YAWAKIMBIZA WASOMI MUST.
Video Mpya

MABILIONI YA MAMA SAMIA YAWAKIMBIZA WASOMI MUST.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJanuary 24, 2024No Comments0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

MABILIONI YA MAMA SAMIA YAWAKIMBIZA WASOMI MUST.

Wanafunzi wa chuo Cha sayansi na teknolojia Mbeya MUST wamekimbia zaidi ya kilomita 12, kwa mbio za polepole, ikiwa ni sehemu ya kutambua na kupongeza uwekezaji unaofanywa na serikali ya awamu ya sita katika kuboresha miundombinu mbalimbali ya Elimu katika chuo hicho.

Wakizungumza baada ya kuhitimisha mbio hizo viongozi wa Serikali ya wanafunzi kutoka chuo hicho (MUSTSO) wamesema serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, inatekeleza miradi ya zaidi ya Billioni 36 katika ujenzi wa majengo mbalimbali ya utawala na hostel katika chuo hicho, itakayo saidia wanafunzi kupata elimu Bora baada ya miradi hiyo kukamilika.

Kwa upande wake mwenyekiti wa jumuiya ya umoja wa vijana wa Chama Cha mapinduzi UVCCM Mkoa wa Mbeya Yasin Ngonyani, amesema wao kama chama wataendelea kuishauri serikali kuendelea kuwekeza katika secta ya Elimu Ili kupambana na adui Ujinga katika kizazi Cha Sasa na baadae.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MASACHE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUSHIKILIA AMANI

December 5, 2025

MH. MASACHE: TUENDELEE KUISIMAMIA MIRADI ILIYOKUWEPO NA KUIBUA MIPYA AWASHUKURU WANA CHUNYA

December 5, 2025

MH. NOAH MWAKISU AAPISHWA RASMI KUWA DIWANI KATA YA ILOMBA

December 5, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025246

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025128
Don't Miss
Video Mpya

MASACHE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUSHIKILIA AMANI

By Mbeya YetuDecember 5, 20251

MH. MASACHE: TUENDELEE KUISIMAMIA MIRADI ILIYOKUWEPO NA KUIBUA MIPYA AWASHUKURU WANA CHUNYA

December 5, 2025

MH. NOAH MWAKISU AAPISHWA RASMI KUWA DIWANI KATA YA ILOMBA

December 5, 2025

Dourmohamed Issa ashinda kwa kishindo Umeya na kutetea nafasi yake

December 5, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

MASACHE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUSHIKILIA AMANI

December 5, 2025

MH. MASACHE: TUENDELEE KUISIMAMIA MIRADI ILIYOKUWEPO NA KUIBUA MIPYA AWASHUKURU WANA CHUNYA

December 5, 2025

MH. NOAH MWAKISU AAPISHWA RASMI KUWA DIWANI KATA YA ILOMBA

December 5, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025246

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.