Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI

March 9, 2026

MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE

March 9, 2026

RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO

March 9, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI
  • MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE
  • RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO
  • WANAWAKE WATAKIWA KUENDELEA KUPINGA UKATILI KATIKA JAMII
  • Funguka Foundation Yapokea Msaada wa Mashine ya Kufulia Kutoka Wanawake TAKUKURU MBEYA
  • Wanawake TAKUKURU Mbeya Watoa Mashine ya Kufulia kwa Watoto Wenye Mahitaji Maalum
  • Sheikh Bombo Amuombea Baraka Dkt. Tulia Baada ya Kufuturisha Wananchi
  • “Ndingo: Uongozi wa Samia Ni Ukombozi Mkubwa kwa Wanawake Tanzania.”
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » SONGWE WAZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA SURUA
Video Mpya

SONGWE WAZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA SURUA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuFebruary 15, 2024No Comments3 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email



SONGWE WAZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA SURUA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe, Happiness Seneda amezindua kampeni maalumu ya utoaji chanjo ya surua mkoani humo.

Uzinduzi huo umefanyika katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi iliyopo mjini Vwawa ambapo Seneda ametoa wito kwa azazi na walezi Mkoani Songwe kujitokeza kuwapeleka watoto kupata chanjo hiyo ya sindano dhidi ya ugonjwa wa Surua katika kampeni hiyo ambayo imeanza leo Februari 15 hadi Februari 18, 2024.

Seneda amesema mkoa unakusudia kuchanja watoto 199776 katika halmashauri zote tano za mkoa wa Songwe na kuwa lengo la kampeni hiyo ni kuimarisha kinga dhidi ya ugonjwa huo baada ya kuanza kujitokeza tena baadhi ya maeneo katika mwaka uliopita.

Mganga Mkuu wa Mkoa, Boniface Kasululu amesema kampeni hii itahusisha wataamu wa afya kwasababu ni chanjo ya sindano pia italenga maeneo maalumu ya kutolea huduma ikiwemo kwenye vituo vya kutolea huduma za afya, makanisani, misikitini pia haitazuia shughuli zingine za uzalishaji.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Esther Mahawe amewapongeza wananchi waliyojitokeza katika siku ya kwanza ya utoaji wa chanjo ambapo amewataka wawe mabalozi wa kuwahamasisha wengine.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI

March 9, 2026

MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE

March 9, 2026

RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO

March 9, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025364

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236

Vijana Wamchana Waziri wa Vijana, ”Si Wananchi, Ila Watumishi Ndio Watakaoniangusha”

December 1, 2025141
Don't Miss
Video Mpya

BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI

By Mbeya YetuMarch 9, 20260

#mbeyayetutv

MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE

March 9, 2026

RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO

March 9, 2026

WANAWAKE WATAKIWA KUENDELEA KUPINGA UKATILI KATIKA JAMII

March 9, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI

March 9, 2026

MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE

March 9, 2026

RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO

March 9, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025364

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.