Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Kanisa la Moravian Tanzania Lamkabidhi Yona Sonelo Tuzo Maalum Baada ya Shahada ya Heshima Australia

February 14, 2026

Beno Malisa Azindua Tawi la Strategies Insurance Mbeya, Akaribisha Wawekezaji

February 13, 2026

RC Malisa Afungua Mafunzo ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi Mbeya

February 11, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Kanisa la Moravian Tanzania Lamkabidhi Yona Sonelo Tuzo Maalum Baada ya Shahada ya Heshima Australia
  • Beno Malisa Azindua Tawi la Strategies Insurance Mbeya, Akaribisha Wawekezaji
  • RC Malisa Afungua Mafunzo ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi Mbeya
  • CRDB YAUNGANA NA JESHI LA POLISI MBEYA KUELEKEA SIKU MAALUM YA POLISI.
  • DAS Mbeya: Kipato Kisiharibu Vyanzo vya Maji
  • KUMBUKUMBU YA EDWARD NGOYAI LOWASSA
  • Wilaya ya Mbeya Yapiga Marufuku Kilimo na Ukataji Miti Kwenye Vyanzo vya Maji
  • Tazama muonekano mpya wa Soko la Kariakoo
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » SONGWE WAZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA SURUA
Video Mpya

SONGWE WAZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA SURUA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuFebruary 15, 2024No Comments3 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

SONGWE WAZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA SURUA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe, Happiness Seneda amezindua kampeni maalumu ya utoaji chanjo ya surua mkoani humo.

Uzinduzi huo umefanyika katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi iliyopo mjini Vwawa ambapo Seneda ametoa wito kwa azazi na walezi Mkoani Songwe kujitokeza kuwapeleka watoto kupata chanjo hiyo ya sindano dhidi ya ugonjwa wa Surua katika kampeni hiyo ambayo imeanza leo Februari 15 hadi Februari 18, 2024.

Seneda amesema mkoa unakusudia kuchanja watoto 199776 katika halmashauri zote tano za mkoa wa Songwe na kuwa lengo la kampeni hiyo ni kuimarisha kinga dhidi ya ugonjwa huo baada ya kuanza kujitokeza tena baadhi ya maeneo katika mwaka uliopita.

Mganga Mkuu wa Mkoa, Boniface Kasululu amesema kampeni hii itahusisha wataamu wa afya kwasababu ni chanjo ya sindano pia italenga maeneo maalumu ya kutolea huduma ikiwemo kwenye vituo vya kutolea huduma za afya, makanisani, misikitini pia haitazuia shughuli zingine za uzalishaji.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Esther Mahawe amewapongeza wananchi waliyojitokeza katika siku ya kwanza ya utoaji wa chanjo ambapo amewataka wawe mabalozi wa kuwahamasisha wengine.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Kanisa la Moravian Tanzania Lamkabidhi Yona Sonelo Tuzo Maalum Baada ya Shahada ya Heshima Australia

February 14, 2026

Beno Malisa Azindua Tawi la Strategies Insurance Mbeya, Akaribisha Wawekezaji

February 13, 2026

RC Malisa Afungua Mafunzo ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi Mbeya

February 11, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025342

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025252

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024229

Vijana Wamchana Waziri wa Vijana, ”Si Wananchi, Ila Watumishi Ndio Watakaoniangusha”

December 1, 2025139
Don't Miss
Video Mpya

Kanisa la Moravian Tanzania Lamkabidhi Yona Sonelo Tuzo Maalum Baada ya Shahada ya Heshima Australia

By Mbeya YetuFebruary 14, 20260

KANISA LA MORAVIAN TANZANIA LATOA TUZO MAALUM KWA YONA SONELO BAADA YA KUTUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA AUSTRALIA

Kanisa la Moravian Tanzania (KMT) limetoa tuzo maalum kwa muumini wake na mfanyabiashara maarufu nchini, Yona Sonelo, kufuatia kutunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu cha Australia kutokana na mchango wake mkubwa kwa jamii.

Hafla ya kukabidhi tuzo hiyo imefanyika mkoani Tabora, ambapo viongozi wa kanisa, waumini pamoja na wadau mbalimbali walihudhuria kushuhudia tukio hilo muhimu.

Akizungumza katika hafla hiyo, viongozi wa Kanisa la Moravian Tanzania wamesema kuwa Sonelo amekuwa mfano wa kuigwa kwa kuunganisha imani na vitendo kupitia shughuli zake za kibiashara na kijamii, ikiwemo kusaidia makundi yenye uhitaji na kuchangia maendeleo ya jamii.

Kwa upande wake, Yona Sonelo amelishukuru kanisa kwa kutambua juhudi zake, akisema mafanikio aliyoyapata ni matokeo ya imani, ushirikiano na msaada kutoka kwa familia, kanisa na jamii kwa ujumla.

Tuzo hiyo ni ishara ya kuthamini mchango wake endelevu katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi, huku ikiwahamasisha waumini na Watanzania kwa ujumla kuendelea kufanya kazi kwa bidii na uadilifu.

Beno Malisa Azindua Tawi la Strategies Insurance Mbeya, Akaribisha Wawekezaji

February 13, 2026

RC Malisa Afungua Mafunzo ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi Mbeya

February 11, 2026

CRDB YAUNGANA NA JESHI LA POLISI MBEYA KUELEKEA SIKU MAALUM YA POLISI.

February 11, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Kanisa la Moravian Tanzania Lamkabidhi Yona Sonelo Tuzo Maalum Baada ya Shahada ya Heshima Australia

February 14, 2026

Beno Malisa Azindua Tawi la Strategies Insurance Mbeya, Akaribisha Wawekezaji

February 13, 2026

RC Malisa Afungua Mafunzo ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi Mbeya

February 11, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025342

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025252

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024229
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.