Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilikuwa Nimezama Kwenye Madeni Makubwa, Sasa Ninaishi Bila Wasiwasi na Mali Ambazo Sikuwahi Kutarajia

September 4, 2025

TUME YATOA MWALIKO KWA WAANDISHI WA HABARI WENYE NIA YA KURIPOTI MATUKIO WAKATI WA UCHAGUZI

September 3, 2025

Pastor Apagawa Alipomuombea Mwanamke Aliyedai Kuwa Na Mimba Ya Mzee Aliyefariki 2003

September 3, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilikuwa Nimezama Kwenye Madeni Makubwa, Sasa Ninaishi Bila Wasiwasi na Mali Ambazo Sikuwahi Kutarajia
  • TUME YATOA MWALIKO KWA WAANDISHI WA HABARI WENYE NIA YA KURIPOTI MATUKIO WAKATI WA UCHAGUZI
  • Pastor Apagawa Alipomuombea Mwanamke Aliyedai Kuwa Na Mimba Ya Mzee Aliyefariki 2003
  • Jinsi Nilivyomrudisha Mume Wangu na Kumfanya Mpenzi Wake wa Kando Aondoke Mjini
  • Bodaboda Waliiba Simu Yangu Lakini Walirudisha Wakiwa Wanalilia Hadharani”
  • PART.1- Dr. David Nassoro “Fahamu Kiharusi na Degedege: Sababu, Dalili na Namna ya Kukabiliana Nayo”
  • “Kasaka: Chunya Tumejipanga, Kura za Rais Samia Ni Ushindi wa Kishindo”
  • Mama Samia Kutua Mbeya 4/9: Wanambeya Wajipanga Kumlaki Mgombea Urais CCM
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » TPF-N ET ARUSHA YATOA MSAADA WA FEDHA KWA WATOTO WA ASKARI WALIO FARIKI AJALINI.
Video Mpya

TPF-N ET ARUSHA YATOA MSAADA WA FEDHA KWA WATOTO WA ASKARI WALIO FARIKI AJALINI.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 8, 2024No Comments9 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Na. Mwandishi wetu Jeshi la Polisi- Arusha
Ikiwa leo ni Machi 08,2024 kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani, Mtaandao wa
Polisi Wanawake Mkoa wa Arusha wameunga na wanawake wengine Mkoani humo huku
Mtandao huo wakiitumia siku hiyo kuwawekea akiba ya fedha katika mfuko wa uwekezaji (UTT)
kwa Watoto wawili wa askari wanandoa waliofariki kwa ajali ya gari.
Akiongea katika Viwanja vya Ngarenaro Complex Jijini Arusha Mwenyekiti wa Mtandao huo
Mkoa wa Arusha Mrakibu mwandamizi wa Polisi SSP Zauda Mohamed amesema mtaandao huo
katika kuelekea kilele hicho ulianza mapema kutoa elimu maeneo mbalimbali Pamoja na
kufanya ibada ya kuwaombea marehemu.
SSP Zauda ameongeza kuwa katika kuadhimisha siku hiyo waliona vyema kuunga na
kuwawekea akiba ya fedha kwa Watoto wa askari wanandoa waliofariki katika ajali ya gari
ambapo amebainisha kuwa fedha hizo zitawasaidia Watoto hao katika swala la elimu na
mahitaji mengine ya kibinadamu.
Aidha ametoa wito kwa wanawake wengine Mkoani humo kufanya kazi kwa bidii,nidhamu na
kutenda haki ili ustawi bora na wajikwamue kiuchumi na maendeleo ya Taifa kwa Ujumla.
Nae mrakibu msaidizi wa Polisi Lucy Teesa kutoka Makao Makuu ya kikosi cha Kuzuia wizi wa
Mifugo STPU amewaomba wanaweka wenzake kushiriki vyema katika mapambano dhidi
uhalifu ambapo amewaomba kutoa taarifa za uhalifu na kujikitaa katika malezi bora ya Watoto
ili kujenga Jamii iliyostarabika.
Kwa upande wake Mkuu wa kituo cha Polisi Wilaya ya Kipolisi Murieti Mrakibu msaidizi wa Polisi
ASP Tausi Mbalamwezi amewaomba wanawake wenzake kujiamini na kujituma katika
kutekeleza majukumu yao huku akiwaomba kuumuunga Mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuliinua taifa kiuchumi.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

PART.1- Dr. David Nassoro “Fahamu Kiharusi na Degedege: Sababu, Dalili na Namna ya Kukabiliana Nayo”

September 1, 2025

“Kasaka: Chunya Tumejipanga, Kura za Rais Samia Ni Ushindi wa Kishindo”

September 1, 2025

Mama Samia Kutua Mbeya 4/9: Wanambeya Wajipanga Kumlaki Mgombea Urais CCM

September 1, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025206

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025121

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025100
Don't Miss
Uncategorized

Nilikuwa Nimezama Kwenye Madeni Makubwa, Sasa Ninaishi Bila Wasiwasi na Mali Ambazo Sikuwahi Kutarajia

By Mbeya YetuSeptember 4, 20250

Kwa muda mrefu jina langu lilihusishwa na aibu na fedheha. Nilikuwa mtu ambaye kila simu…

TUME YATOA MWALIKO KWA WAANDISHI WA HABARI WENYE NIA YA KURIPOTI MATUKIO WAKATI WA UCHAGUZI

September 3, 2025

Pastor Apagawa Alipomuombea Mwanamke Aliyedai Kuwa Na Mimba Ya Mzee Aliyefariki 2003

September 3, 2025

Jinsi Nilivyomrudisha Mume Wangu na Kumfanya Mpenzi Wake wa Kando Aondoke Mjini

September 3, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilikuwa Nimezama Kwenye Madeni Makubwa, Sasa Ninaishi Bila Wasiwasi na Mali Ambazo Sikuwahi Kutarajia

September 4, 2025

TUME YATOA MWALIKO KWA WAANDISHI WA HABARI WENYE NIA YA KURIPOTI MATUKIO WAKATI WA UCHAGUZI

September 3, 2025

Pastor Apagawa Alipomuombea Mwanamke Aliyedai Kuwa Na Mimba Ya Mzee Aliyefariki 2003

September 3, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025206

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025121
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.