Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

“Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”

May 21, 2025

HARAKATI ZIWA NYASA MATEMA BEACH KYELA FUKWE ILIYOTELEKEZWA FURSA ZA UVUVI,UTALII HAZITUMIKI VYEMA

May 21, 2025

SIKU YA NYUKI DUNIANI MTAALAM AELEZA FAIDA ZAKE, JE WAJUA UKING’ATWA NA NYUKI NI TIBA YA MALARIA?

May 20, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • “Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”
  • HARAKATI ZIWA NYASA MATEMA BEACH KYELA FUKWE ILIYOTELEKEZWA FURSA ZA UVUVI,UTALII HAZITUMIKI VYEMA
  • SIKU YA NYUKI DUNIANI MTAALAM AELEZA FAIDA ZAKE, JE WAJUA UKING’ATWA NA NYUKI NI TIBA YA MALARIA?
  • WAZEE WA UBWABWA CHAUMA MKOA WA SONGWE WATOA NENO KWA VIOGOZI WA DINI NA SERIKALI
  • BENKI YA NMB NYANDA ZA JUU WATOA SAPOTI MABATI 128 KWA SHULE ILIYOEZULIWA NA UPEPO ILEJE
  • RAIS SAMIA NA RAIS MSTAAFU KIKWETE WAPONGEZWA KWA KUFANIKISHA USHINDI WA PROFESA JANABI KATIKA UCHAGUZI WA MKURUGENZI WA WHO KANDA YA AFRIKA
  • JK ASHIRIKI IBADA YA MAZISHI YA MAREHEMU CLEOPA DAVID MSUYA HUKO MWANGA
  • INEC YATAKA VIONGOZI MIKOA 16 KUSHIRIKI KUONDOA WALIOKOSA SIFA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Wauza mifugo wa Mnada wa Upili Tabora wahimizwa kufuata Taratibu,wanao kiuka waonywa.
Habari za Kitaifa

Wauza mifugo wa Mnada wa Upili Tabora wahimizwa kufuata Taratibu,wanao kiuka waonywa.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 9, 2024No Comments5 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email
  1. Jeshi la Polisi kikosi cha kuzuia wizi wa Mifugo limesema litaendelea kutoa elimu kwa wafugaji na wafanya biashara wa Mifugo hapa Nchini huku likibainisha kuwa halitomwonea muhali mfugaji yeyote atakaye bainika kutorosha mifugo na kukiuka taratibu za uuzaji wa mifugo hapa nchini. Hayo yamebainisha leo Machi 09, 2024 Wilaya ya Igunga Mkoa wa Tabora na Kamanda wa Polisi kikosi cha kuzuia wizi wa mifugo hapa nchini Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Simon Pasua alipotembelea mnada wa Upili Igunga ambapo amebainisha kuwa kikosi hicho kitaendelea kutoa elimu kwa wafugaji Nchi nzima ili kuondokana uvunjifu wa sheria. 

Wauza mifugo wa Mnada wa Upili Tabora wahimizwa kufuata Taratibu,wanao kiuka waonywa.

 

Na.Abel Paul, Jeshi la Polisi- Igunga Tabora.

Jeshi la Polisi kikosi cha kuzuia wizi wa Mifugo limesema litaendelea kutoa elimu kwa wafugaji na wafanya biashara wa Mifugo hapa Nchini huku likibainisha kuwa halitomwonea muhali mfugaji yeyote atakaye bainika kutorosha mifugo na kukiuka taratibu za uuzaji wa mifugo hapa nchini.

 

Hayo yamebainisha leo Machi 09, 2024 Wilaya ya Igunga Mkoa wa Tabora na Kamanda wa Polisi kikosi cha kuzuia wizi wa mifugo hapa nchini Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Simon Pasua alipotembelea mnada wa Upili Igunga ambapo amebainisha kuwa kikosi hicho kitaendelea kutoa elimu kwa wafugaji Nchi nzima ili kuondokana uvunjifu wa sheria.

 

SACP Pasua ameongeza kuwa wafugaji hapa nchini wanatakiwa kufuata taratibu za uuzaji wa Mifugo yao ambapo amesema watakao kiuka taratibu hizo kikosi cha kuzuia wizi wa Mifugo kitaendelea kuwachukulia hatua za kisheria ikiwa ni Pamoja na kuwafikisha Mahakamani wale wote watakao bainika kuvunja sheria.

Aidha ametoa wito kwa wananchi kote Nchini kuendelea kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi za baadhi ya watu wanaojihusisha na wizi wa mifugo ili hatua sitahiki zichukuliwe kwa watao bainika kujihusha na uhalifu huo hapa nchini.

Baadhi ya wafanya Biashara wa mifugo katika mnada wa Upili wa wilaya ya Igunga Mkoani Tabora Pamoja na kushukuru jitihada za Jeshi la Polisi katika kutoa Elimu kwa wafugaji wameomba elimu zaidi itolewe kwa wafugaji ili kujenga uelewa wa Pamoja.

Nae Meneja wa Mnada wa Upili Igunga Mkoani Tabora Bwana Yohana Mtende amesema hapo awali kulikuwepo na changamoto ya uzio wa kisasa katika mnada huo ambapo ameliomba Jeshi la Polisi kikosi cha kuzuia wizi wa mifugo kuendelea kuimarisha Usalama wa Mifugo katika mnada huo.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

RAIS SAMIA NA RAIS MSTAAFU KIKWETE WAPONGEZWA KWA KUFANIKISHA USHINDI WA PROFESA JANABI KATIKA UCHAGUZI WA MKURUGENZI WA WHO KANDA YA AFRIKA

May 19, 2025

JK ASHIRIKI IBADA YA MAZISHI YA MAREHEMU CLEOPA DAVID MSUYA HUKO MWANGA

May 19, 2025

INEC YATAKA VIONGOZI MIKOA 16 KUSHIRIKI KUONDOA WALIOKOSA SIFA

May 19, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024171

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202481

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202560

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202457
Don't Miss
Afya na Ustawi

“Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”

By Mbeya YetuMay 21, 20250

Watoa huduma ya Afya ya Mama na mtoto wametakiwa kuwa makini wakati wa utoaji huduma…

HARAKATI ZIWA NYASA MATEMA BEACH KYELA FUKWE ILIYOTELEKEZWA FURSA ZA UVUVI,UTALII HAZITUMIKI VYEMA

May 21, 2025

SIKU YA NYUKI DUNIANI MTAALAM AELEZA FAIDA ZAKE, JE WAJUA UKING’ATWA NA NYUKI NI TIBA YA MALARIA?

May 20, 2025

WAZEE WA UBWABWA CHAUMA MKOA WA SONGWE WATOA NENO KWA VIOGOZI WA DINI NA SERIKALI

May 19, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

“Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”

May 21, 2025

HARAKATI ZIWA NYASA MATEMA BEACH KYELA FUKWE ILIYOTELEKEZWA FURSA ZA UVUVI,UTALII HAZITUMIKI VYEMA

May 21, 2025

SIKU YA NYUKI DUNIANI MTAALAM AELEZA FAIDA ZAKE, JE WAJUA UKING’ATWA NA NYUKI NI TIBA YA MALARIA?

May 20, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024171

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202481

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202560
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.