Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

JUMUIYA YA WAZAZI CCM MKOA WA MBEYA YAVUNJA UKIMYA YATOA TAMKO RASMI BAADA YA UCHAGUZI MKUU OKT 29

December 20, 2025

Dkt. Tulia na watoto wake

December 20, 2025

Nilidhani Msongo wa Mawazo Umenishinda, Nilijifunza Kuponya Akili Yangu

December 20, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • JUMUIYA YA WAZAZI CCM MKOA WA MBEYA YAVUNJA UKIMYA YATOA TAMKO RASMI BAADA YA UCHAGUZI MKUU OKT 29
  • Dkt. Tulia na watoto wake
  • Nilidhani Msongo wa Mawazo Umenishinda, Nilijifunza Kuponya Akili Yangu
  • Pombe Ilinifanya Nipoteze Kazi, Marafiki na Heshima—Safari ya Kuacha Ilikuwa Ngumu, Inawezekana
  • MAHUNDI AWATUNUKU WAHITIMU 530 CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII(CDTI)UYOLE
  • Naibu Waziri Kundo: Mradi wa Maji Mto Kiwira Umefikia Asilimia 98
  • Madaktari Walimwambia Ataishi na Maumivu Milele Lakini Ndani ya Miezi Sita Kila Kitu Kilibadilika
  • Walimdharau Kwa Miaka Kwa Sababu ya Umaskini Leo Anasaini Contracts za Serikali Zenye Thamani ya Mabilioni
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » KAMBI YA SIKU 3 YA MATIBABU YA MOYO KWA WATOTO MBEYA
Video Mpya

KAMBI YA SIKU 3 YA MATIBABU YA MOYO KWA WATOTO MBEYA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 12, 2024No Comments1 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya kwa kushirikiana na Taasisi ya 1 New Heart Tanzania inayojihusisha na upimaji wa moyo kwa watoto imewaka kambi ya siku tatu ya uchunguzi na upimaji wa moyo kwa watoto chini ya umri wa miaka 14 kwa wakazi wa Nyanda za Juu Kusini.

Akiongea wakati wa zoezi hilo Dkt. Nuru Mniwa Mkuu wa Idara ya Watoto Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya amesema lengo la kambi hiyo ya siku tatu ni kutoa huduma ya uchunguzi na vipimo kwa watoto chini ya umri wa miaka 14 ili kutambua matatizo mbalimbali ya moyo yanayowakumba pamoja na kuwapuguzia gharama za kusafiri umbali mrefu kwenda kupata huduma hiyo.

“..changamoto kubwa ni uwezekano wa watoto hawa kufika Taasisi ya Moyo ya JKCI pale wanapobainika na tatizo la moyo kutokana na umbali na gharama za kujikimu”.- Dkt. Nuru Mniwa

Kwa upande wake Dkt. Gloria Mbwile, Daktari Bingwa Mbobezi wa magonjwa ya Moyo kwa watoto Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya amesema, magonjwa ya moyo kwa watoto yamegawanyika katika makundi mawili ikwemo magonjwa ya kuzaliwa nayo pamoja na yale yanayoytokana na maambukizi.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

JUMUIYA YA WAZAZI CCM MKOA WA MBEYA YAVUNJA UKIMYA YATOA TAMKO RASMI BAADA YA UCHAGUZI MKUU OKT 29

December 20, 2025

Dkt. Tulia na watoto wake

December 20, 2025

Naibu Waziri Kundo: Mradi wa Maji Mto Kiwira Umefikia Asilimia 98

December 19, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025267

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025237

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024210

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025131
Don't Miss
Video Mpya

JUMUIYA YA WAZAZI CCM MKOA WA MBEYA YAVUNJA UKIMYA YATOA TAMKO RASMI BAADA YA UCHAGUZI MKUU OKT 29

By Mbeya YetuDecember 20, 20251

#mbeyayetutv

Dkt. Tulia na watoto wake

December 20, 2025

Nilidhani Msongo wa Mawazo Umenishinda, Nilijifunza Kuponya Akili Yangu

December 20, 2025

Pombe Ilinifanya Nipoteze Kazi, Marafiki na Heshima—Safari ya Kuacha Ilikuwa Ngumu, Inawezekana

December 20, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

JUMUIYA YA WAZAZI CCM MKOA WA MBEYA YAVUNJA UKIMYA YATOA TAMKO RASMI BAADA YA UCHAGUZI MKUU OKT 29

December 20, 2025

Dkt. Tulia na watoto wake

December 20, 2025

Nilidhani Msongo wa Mawazo Umenishinda, Nilijifunza Kuponya Akili Yangu

December 20, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025267

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025237

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024210
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.