Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Suluhisho kwa wanawake wanaokuwa wakavu wakati wa tendo la ndoa

December 1, 2025

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Amfukuza Kazi Daktari Aliyembaka Mke wa Mtu Wodini Tabora

November 30, 2025

Mwalunenge Aibuka Kama Nguzo ya Maendeleo kwa Vijana wa Mbeya atoa Bodaboda kijiwe cha Nzovwe

November 30, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Suluhisho kwa wanawake wanaokuwa wakavu wakati wa tendo la ndoa
  • Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Amfukuza Kazi Daktari Aliyembaka Mke wa Mtu Wodini Tabora
  • Mwalunenge Aibuka Kama Nguzo ya Maendeleo kwa Vijana wa Mbeya atoa Bodaboda kijiwe cha Nzovwe
  • Biashara ikashamiri kuliko zote za awali
  • VIJANA TUNATAKA KATIBA MPYA, UHURU WA KUONGEA WAZIRI WA VIJANA AWAPA HEKO VIJANA WA MBEYA
  • MAHAFALI YA 16 YA SHULE YA AWALI MARYS PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA WAZAZI WAPEWA UJUMBE MZITO
  • Binti mrembo alivyopata kazi baada ya msoto mkali
  • Baada ya muda mfupi aligundua hisia zake zinarejea taratibu
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » KAMBI YA SIKU 3 YA MATIBABU YA MOYO KWA WATOTO MBEYA
Video Mpya

KAMBI YA SIKU 3 YA MATIBABU YA MOYO KWA WATOTO MBEYA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 12, 2024No Comments0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya kwa kushirikiana na Taasisi ya 1 New Heart Tanzania inayojihusisha na upimaji wa moyo kwa watoto imewaka kambi ya siku tatu ya uchunguzi na upimaji wa moyo kwa watoto chini ya umri wa miaka 14 kwa wakazi wa Nyanda za Juu Kusini.

Akiongea wakati wa zoezi hilo Dkt. Nuru Mniwa Mkuu wa Idara ya Watoto Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya amesema lengo la kambi hiyo ya siku tatu ni kutoa huduma ya uchunguzi na vipimo kwa watoto chini ya umri wa miaka 14 ili kutambua matatizo mbalimbali ya moyo yanayowakumba pamoja na kuwapuguzia gharama za kusafiri umbali mrefu kwenda kupata huduma hiyo.

“..changamoto kubwa ni uwezekano wa watoto hawa kufika Taasisi ya Moyo ya JKCI pale wanapobainika na tatizo la moyo kutokana na umbali na gharama za kujikimu”.- Dkt. Nuru Mniwa

Kwa upande wake Dkt. Gloria Mbwile, Daktari Bingwa Mbobezi wa magonjwa ya Moyo kwa watoto Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya amesema, magonjwa ya moyo kwa watoto yamegawanyika katika makundi mawili ikwemo magonjwa ya kuzaliwa nayo pamoja na yale yanayoytokana na maambukizi.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Amfukuza Kazi Daktari Aliyembaka Mke wa Mtu Wodini Tabora

November 30, 2025

Mwalunenge Aibuka Kama Nguzo ya Maendeleo kwa Vijana wa Mbeya atoa Bodaboda kijiwe cha Nzovwe

November 30, 2025

VIJANA TUNATAKA KATIBA MPYA, UHURU WA KUONGEA WAZIRI WA VIJANA AWAPA HEKO VIJANA WA MBEYA

November 30, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025242

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025231

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024202

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025128
Don't Miss
Uncategorized

Suluhisho kwa wanawake wanaokuwa wakavu wakati wa tendo la ndoa

By Mbeya YetuDecember 1, 20250

Leo hii kutana na Diana ambaye ni mwanamke mwenye umri wa miaka 22 kutoka Njombe,…

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Amfukuza Kazi Daktari Aliyembaka Mke wa Mtu Wodini Tabora

November 30, 2025

Mwalunenge Aibuka Kama Nguzo ya Maendeleo kwa Vijana wa Mbeya atoa Bodaboda kijiwe cha Nzovwe

November 30, 2025

Biashara ikashamiri kuliko zote za awali

November 30, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Suluhisho kwa wanawake wanaokuwa wakavu wakati wa tendo la ndoa

December 1, 2025

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Amfukuza Kazi Daktari Aliyembaka Mke wa Mtu Wodini Tabora

November 30, 2025

Mwalunenge Aibuka Kama Nguzo ya Maendeleo kwa Vijana wa Mbeya atoa Bodaboda kijiwe cha Nzovwe

November 30, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025242

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025231

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024202
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.