Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

SHILINGI BILIONI 6.7 KUTIBU WAGONJWA 760 WASIO NA UWEZO WA KUMUDU GHARAMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA

December 9, 2025

Polepole hisia zilianza kurejea na maisha yalianza upya!

December 9, 2025

Jeshi la Polisi latoa Taarifa muda huu

December 9, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • SHILINGI BILIONI 6.7 KUTIBU WAGONJWA 760 WASIO NA UWEZO WA KUMUDU GHARAMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA
  • Polepole hisia zilianza kurejea na maisha yalianza upya!
  • Jeshi la Polisi latoa Taarifa muda huu
  • Hali shwari Jiji la Mbeya
  • HALI ILIVYO KWA SASA MITAA YA MWAMBENE JIJINI MBEYA
  • TANZANIA NA MAREKANI ZASONGA MBELE KUKAMILISHA MAKUBALIANO MAKUBWA YA UWEKEZAJI
  • MWALUNENGE ATOA MILIONI 3 KUWAOKOA VIJANA WA KIWIRA BAADA YA TFS KUTAIFISHA VIFAA VYAO
  • “MARUFUKU HUU UKAMATAJI TUMEKUBALIANA NA IGP” SIMBA CHAWENE
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » POLISI YAWATAKA WANANCHI KUWATAJA WEZI WA MIFUGO ENDASAK.
Uncategorized

POLISI YAWATAKA WANANCHI KUWATAJA WEZI WA MIFUGO ENDASAK.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 13, 2024Updated:March 13, 2024No Comments5 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Jeshi la Polisi Kikosi cha kuzuia wizi wa Mifugo limewataka Wananchi wa Kata ya Endasak Wilaya Hanang Mkoa wa Manyara kuwataja watu wanaojihusisha na wizi wa Mifugo katika eneo hilo huku likiwataka kuwa mstari wa mbele kutoa Ushahidi pindi unapohitajika mahakamani. Hatua hiyo imekuja mara baada ya Kamanda wa kikosi cha kuzuia wizi wa Mifugo Nchini Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Simon Pasua wakati alipofika katika mnada wa Endasak uliopo katika Wilaya ya Hanang Mkoa wa Manyara ambapo alisikiliza kero za wananchi ambao wanafanya biashara ya mifugo mnadani hapo juu ya kwepo kwa changamoto ya baadhi ya wafanyabiashara wasiowaaminifu. Kamanda Pasua amewambia wananchi wa kata ya Katesh kutoa ushirikiano pindi mhalifu anapokamatwa na kufikishwa mahakamani ikiwa ni Pamoja na kutoa Ushahidi ambapo amewaomba wananchi kuwataja wale wote wanaohusika na wale wanaojihusisha na wizi wa mifugo kateshi.

Na. Abel Paul, Jeshi la Polisi- Katesh Manyara.

Jeshi la Polisi Kikosi cha kuzuia wizi wa Mifugo limewataka Wananchi wa Kata ya Endasak Wilaya Hanang Mkoa wa Manyara kuwataja watu wanaojihusisha na wizi wa Mifugo katika eneo hilo huku likiwataka kuwa mstari wa mbele kutoa Ushahidi pindi unapohitajika mahakamani.

Hatua hiyo imekuja mara baada ya Kamanda wa kikosi cha kuzuia wizi wa Mifugo Nchini Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Simon Pasua wakati alipofika katika mnada wa Endasak uliopo katika Wilaya ya Hanang Mkoa wa Manyara ambapo alisikiliza kero za wananchi ambao wanafanya biashara ya mifugo mnadani hapo juu ya kwepo kwa changamoto ya baadhi ya wafanyabiashara wasiowaaminifu.

Kamanda Pasua amewambia wananchi wa kata ya Katesh kutoa ushirikiano pindi mhalifu anapokamatwa na kufikishwa mahakamani ikiwa ni Pamoja na kutoa Ushahidi ambapo amewaomba wananchi kuwataja wale wote wanaohusika na wale wanaojihusisha na wizi wa mifugo kateshi.

SACP Pasua amebainisha kuwa zipo haki za mlalamikaji na mtuhumiwa katika kesi za jinai ambapo amewaomba wananchi kutambua endapo watamuona mwananchi aliyetuhumiwa na kesi za wizi wa mifugo akiwa nje watambue amedhaminiwa kwa mujibu wa sheria, huku akitoamsisitizo kwa wananchi kutoa Ushahidi Mahakamani.

Nao baadhi wa Wananchi wanaofanya Biashara ya Mifugo katika mnada wa Endasak licha ya kutoa malalamiko yao kuwepo kwa baadhi ya wanafanya biashara wasio fuata taratibu mnadani hapo wameahidi kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi kutokomeza uhalifu mnadani hapo.

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Polepole hisia zilianza kurejea na maisha yalianza upya!

December 9, 2025

“Hongera! Umeshinda JACKPOT ya Sh6,800,000”

December 8, 2025

Haikuwa tu safari ya kupona, bali safari ya kujikubali

December 8, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025248

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024207

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025130
Don't Miss
Video Mpya

SHILINGI BILIONI 6.7 KUTIBU WAGONJWA 760 WASIO NA UWEZO WA KUMUDU GHARAMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA

By Mbeya YetuDecember 9, 20250

Na WAF, Dar es Salaam.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepanga kuwatibu watu 760 wasio na uwezo wa kumudu gharama za matibabu ambapo shilingi Bilioni 6.7 zimetengwa kwa kazi hiyo kwa mwaka wa fedha 2025/26

Hayo yameibainishwa na Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa Desemba 8, 2025 alipokuwa akizungumza na watumishi wa Sekta ya Afya ngazi ya Wizara waliopo mkoa wa Dar es Salaam kwenye kikao kazi kilichofanyika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

“Kutokana na faida kubwa iliyopatikana kwa mwaka 2024/25 ambapo jumla ya wagonjwa 677 walinufaika kwa huduma za kibobezi kama kupandikizwa Uloto watoto wenye Sikoseli, Kupandikizwa figo, upasuaji wa moyo, uapndikizaji wa vifaa vya usikivu kwa watoto, matibabu ya Saratani, upandikizaji wa nyonga, Rais Samia ameridhia kuwa na bajeti husika,” amefafanua Waziri Mchengerwa.

Waziri Mchengerwa amesema Rais Samia anadhamira ya dhati ya kuboresha Afya za wananchi kwakuhakikisha kila mwananchi uhitaji wa huduma za kibingwa anapata huduma hizo pasipo na kikwazo cha fedha. @wizara_afyatz @mohamed_mchengerwa

Polepole hisia zilianza kurejea na maisha yalianza upya!

December 9, 2025

Jeshi la Polisi latoa Taarifa muda huu

December 9, 2025

Hali shwari Jiji la Mbeya

December 9, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

SHILINGI BILIONI 6.7 KUTIBU WAGONJWA 760 WASIO NA UWEZO WA KUMUDU GHARAMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA

December 9, 2025

Polepole hisia zilianza kurejea na maisha yalianza upya!

December 9, 2025

Jeshi la Polisi latoa Taarifa muda huu

December 9, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025248

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024207
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.