Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Vijana Waanza Kujaribu Mbinu Mpya ya Kiasili Inayodaiwa Kuvutia Bahati Kwenye Michezo ya Kubashiri

October 22, 2025

TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA RATIBA NA MAELEKEZO YA KUPIGA KURA MAJIMBO YA MBEYA MJINI NA UYOLE

October 21, 2025

Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee

October 20, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Vijana Waanza Kujaribu Mbinu Mpya ya Kiasili Inayodaiwa Kuvutia Bahati Kwenye Michezo ya Kubashiri
  • TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA RATIBA NA MAELEKEZO YA KUPIGA KURA MAJIMBO YA MBEYA MJINI NA UYOLE
  • Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee
  • Nilivamiwa na Uchawi Kila Usiku Hadi Nilipopata Kinga Iliyowafanya Wachawi Washindwe Kunitazama Machoni
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI WA UDIWANI KATIKA KATA YA NYAKASUNGWA JIMBO LA BUCHOSA
  • RC Malisa Azindua Wodi ya Watoto Wachanga Hospitali ya Meta Mbeya kwa Ushirikiano wa IHI na NEST360 Tanzania
  • Nilivyolipizwa Kisasi na Aliyeniumiza Baada ya Kunitendea Vibaya, Sasa Anaomba Msamaha Kila Siku
  • Nilivyomrudisha Mume Wangu Baada ya Miaka Mitatu ya Kuachana, Sasa Hachoki Kuniambia ‘You’re My Destiny
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI MBEYA YAANZA,WANAHABARI WATEMBELEA MIRADI
Habari za Kitaifa

MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI MBEYA YAANZA,WANAHABARI WATEMBELEA MIRADI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 16, 2024Updated:March 17, 2024No Comments44 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Maadhimisho ya wiki ya maji yameanza machi 16,2024 ambayo yatahitimishwa machi 22,2024 kwa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mbeya kufanya shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa Jijini Mbeya na Mbeya Vijijini.

Akitoa taarifa ya maadhimisho hayo kwa Waandishi wa Habari Kaimu Mkurugenzi Mtendaji ambaye pia ni Mkurugenzi wa uzalishaji maji na usambazaji maji safi na usafi wa Mazingira Mhandisi Barnabas Konga amesema Wizara ya Maji imekuwa ikiratibu maadhikisho hayo kila mwaka kutekeleza azimio la Umoja wa Mataifa namba 47.

Konga ameitaja baadhi ya miradi inayotekelezwa ambapo katika kipindi cha miaka mitatu upatikanaji wa maji kwa Jiji la Mbeya na Mji wa Mbalizi ni lita milioni 38.5 kwa siku mahitaji yakiwa lita milioni 90 kwa siku.
Mhandisi Leonidas Deogratius Meneja mradi wa Mwasenkwa amesema mradi huo wenye thamani ya shilingi bilioni 5.2 utanufaisha wananchi 42,000 na utazalisha lita milioni 2.6.Kwa upande wake Afisa Habari John Nkana amesema mpaka sasa ofisi yake imepokea maombi 620 ya wateja wanaohitaji kuunganishiwa maji na mpaka sasa wanazo dira 12,000.Naye Meneja Mradi wa Ilunga Uswege Mwaipopo amesema ukikamilika utagharimu shilingi bilioni 4.8 na kunufaisha wakazi wa Idugumbi,Iyombe,Itimba,Mbalizi,Nsalala,ltende,Sistila na lwambi ambapo mradi umefikia aslilimia 98.Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Uhakika wa Maji kwa Amani na Utulivu”

Maadhimisho ya wiki ya maji yameanza machi 16,2024 ambayo yatahitimishwa machi 22,2024 kwa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mbeya kufanya shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa Jijini Mbeya na Mbeya Vijijini.

Akitoa taarifa ya maadhimisho hayo kwa Waandishi wa Habari Kaimu Mkurugenzi Mtendaji ambaye pia ni Mkurugenzi wa uzalishaji maji na usambazaji maji safi na usafi wa Mazingira Mhandisi Barnabas Konga amesema Wizara ya Maji imekuwa ikiratibu maadhikisho hayo kila mwaka kutekeleza azimio la Umoja wa Mataifa namba 47.

Konga ameitaja baadhi ya miradi inayotekelezwa ambapo katika kipindi cha miaka mitatu upatikanaji wa maji kwa Jiji la Mbeya na Mji wa Mbalizi ni lita milioni 38.5 kwa siku mahitaji yakiwa lita milioni 90 kwa siku.

Baada ya maboresho Mamlaka inatekeleza miradi yenye thamani ya shilingi bilioni10 inayotoa lita milioni 66.5 kwa siku.

Aidha miradi iliyotekelezwa ni pamoja na mradi wa Mwashali uliogharimu shilingi milioni 400 ukihudumia watu 6,000,Mradi wa Nzovwe lsyesye umegharimu shilingi milioni 930 ukuhudumia wakazi 30,000.

Mradi mwingine ni wa UVIKO 19 wenye thamani ya shilingi 758 ukihudumia watu 55,000 ambapo mradi wa Shongo Mbalizi uliogharimu shilingi bilioni 3.345 ukihudukia watu 80,000.

Mradi mwingine ni pamoja na mradi wa Ilunga wenye thamani ya shilingi bilioni 4.8 utakaohudumia watu 110,000 ambapo miradi yote kwa pamoja inagharimu shilingi bilioni 10.

Konga amesema Mradi wa Kiwira utakaoghaimu shilingi bilioni 250 utamaliza kabisa changamoto ya maji Mkoani Mbeya.

Mhandisi Leonidas Deogratius Meneja mradi wa Mwasenkwa amesema mradi huo wenye thamani ya shilingi bilioni 5.2 utanufaisha wananchi 42,000 na utazalisha lita milioni 2.6.

Kwa upande wake Afisa Habari John Nkana amesema mpaka sasa ofisi yake imepokea maombi 620 ya wateja wanaohitaji kuunganishiwa maji na mpaka sasa wanazo dira 12,000.

Pia ametoa onyo kwa watu wanaoharibu miundo mbinu ya maji kuwa yeyote atakayebainika atachukuliwa hatua za kisheia.

Naye Meneja Mradi wa Ilunga Uswege Mwaipopo amesema ukikamilika utagharimu shilingi bilioni 4.8 na kunufaisha wakazi wa Idugumbi,Iyombe,Itimba,Mbalizi,Nsalala,ltende,Sistila na lwambi ambapo mradi umefikia aslilimia 98.

Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Uhakika wa Maji kwa Amani na Utulivu”

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI WA UDIWANI KATIKA KATA YA NYAKASUNGWA JIMBO LA BUCHOSA

October 18, 2025

RC Malisa Azindua Wodi ya Watoto Wachanga Hospitali ya Meta Mbeya kwa Ushirikiano wa IHI na NEST360 Tanzania

October 18, 2025

MAWAZIRI WAIMWAGIA PONGEZI BENKI YA NMB KWA UTENDAJI WAKE.

October 13, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024193

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025185

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025126
Don't Miss
Uncategorized

Vijana Waanza Kujaribu Mbinu Mpya ya Kiasili Inayodaiwa Kuvutia Bahati Kwenye Michezo ya Kubashiri

By Mbeya YetuOctober 22, 20251

Taarifa kutoka maeneo mbalimbali zimeibua gumzo mitandaoni baada ya vijana wengi kuripoti mabadiliko makubwa katika…

TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA RATIBA NA MAELEKEZO YA KUPIGA KURA MAJIMBO YA MBEYA MJINI NA UYOLE

October 21, 2025

Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee

October 20, 2025

Nilivamiwa na Uchawi Kila Usiku Hadi Nilipopata Kinga Iliyowafanya Wachawi Washindwe Kunitazama Machoni

October 19, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Vijana Waanza Kujaribu Mbinu Mpya ya Kiasili Inayodaiwa Kuvutia Bahati Kwenye Michezo ya Kubashiri

October 22, 2025

TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA RATIBA NA MAELEKEZO YA KUPIGA KURA MAJIMBO YA MBEYA MJINI NA UYOLE

October 21, 2025

Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee

October 20, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024193

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025185
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.