Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Shule ya Sekondari Utengule Usangu, H

February 6, 2026

Mradi wa Barabara Mlima Nyoka Wamfikisha MCC ASAS, Ataka Kero za Wananchi Zitokomee

February 5, 2026

Mradi wa Soko la Matola Wakwama, Meya na MNEC Wakanusha Kukamilika Mei

February 5, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Shule ya Sekondari Utengule Usangu, H
  • Mradi wa Barabara Mlima Nyoka Wamfikisha MCC ASAS, Ataka Kero za Wananchi Zitokomee
  • Mradi wa Soko la Matola Wakwama, Meya na MNEC Wakanusha Kukamilika Mei
  • JK KWA MFALME MSWATI III KUJADILI UPATIKANAJI WA FEDHA ZA MIRADI YA AFYA KWA NCHI WANACHAMA WA ECSA
  • Halmashauri Yaipongeza Mbeya UWSA Kwa Mradi wa Maji, Asema Utakuza Uwekezaji
  • Mpango wa Maendeleo 2026/27: Kasaka Apongeza Mafanikio, Aomba Maboresho
  • Msafara Wasimama Soweto, Mbunge Mwalunenge Aamuru TANROADS Kuondoa Dimbwi la Miaka 3 Mara Moja
  • CCM Miaka 49: Mbunge wa Mbarali Akabidhi Mashuka Kituo cha Afya Utengule
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » HJFMRI kutoa milioni 500 kutelekeza mradi wa dreams Mikoa ya Mbeya,Songwe na Tunduma.
Uncategorized

HJFMRI kutoa milioni 500 kutelekeza mradi wa dreams Mikoa ya Mbeya,Songwe na Tunduma.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 18, 2024No Comments17 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Shirika la kimataifa la HJMRI limesema linatarajia kutoa Sh 500 milioni kuwezesha mabinti balehe na wasichana vijana kupitia mradi wa dreams kwa ufadhiri wa Mfuko wa Dharura wa Rais wa Marekani wa kukabiliana na Ukimwi (PEPFAR) Mkurugenzi Mkuu wa HJFMRI Tanzania , Sally Chalamila amesema Machi 16 mwaka huu wilayani Kyela wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa mbalimbali na mashine za kisasa vyenye thamani ya Sh 178 milioni .Mashine na vifaa hivyo vimetolewa na Shirika la HJFMRI kupitia WRAIR -DOD kwa ufadhiri wa Mfuko wa Dharura wa Rais wa Marekani (PEPFAR) kwa kushirikiana na Asasi ya Tumaini.Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu ,Sera,Bunge na Uratibu , Jenister Mhagama,Mkuu wa Wilaya ya Rungwe , Jaffar Haniu ameshukuru Shirika la HJFMRI kwa kuwezesha upatikani wa vifaa kwani vitawezesha Vijana kujikwamua kiuchumi. Mwakilishi wa Balozi wa Marekani nchini ,na Mtaalam wa masuala ya kuzuia maambukizi kutoka ,WRAIR -DOD, Dkt Elick Kayange amesema matokeo ya mapambano dhidi ya Ukimwi yamelata matokeo makubwa.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Mheshimiwa Katule G. Kingamkono 

Shirika la kimataifa la HJMRI limesema linatarajia kutoa Sh 500 milioni kuwezesha mabinti balehe na wasichana vijana kupitia mradi wa dreams kwa ufadhiri wa Mfuko wa Dharura wa Rais wa Marekani wa kukabiliana na Ukimwi (PEPFAR)

Mkurugenzi Mkuu wa HJFMRI Tanzania , Sally Chalamila amesema Machi 16 mwaka huu wilayani Kyela wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa mbalimbali na mashine za kisasa vyenye thamani ya Sh 178 milioni .

Mashine na vifaa hivyo vimetolewa na Shirika la HJFMRI kupitia WRAIR -DOD kwa ufadhiri wa Mfuko wa Dharura wa Rais wa Marekani (PEPFAR) kwa kushirikiana na Asasi ya Tumaini.

Amesema lengo ni kuisaidia serikali kukabiliana na afua mbalimbali za maambukizi ya VVU kwa kuwezesha kundi hilo ambalo liko katika hatari kubwa ya kupata maambukizi.

Amesema mradi wa dreams umeanza kutelekezwa mwaka 2016 huku ukiwafikia mabinti balehe na wasichana vijana 130,000 huku katika Mkoa wa Mbeya ukitekelezwa katika Halmashauri tatu za Mbeya Jiji,Mbarali na Kyela.

Amesema Shirika hilo linatekeleza afua za matunzo na matibabu ya VVU katika Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kupitia mpango wa dreams katika Mkoa wa Mbeya na Songwe.

“Shirika linatekeleza afua za VVU kwa ufadhiri wa Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani kupitia Taasisi ya WRAIR -DOD huku takwimu zikionyesha mabinti walio katika umri mdogo ni wahanga wakubwa sana wa maambukizi ya VVU.

Chalamila ametaja miongoni mwa sababu ni jitihada za kutaka kujikwamua kiuchumi wanajikuta wakijiingiza katika tabia hatarishi ambazo kusababisha kupata maambukizi ya VVU.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Balozi wa Marekani nchini ,na Mtaalam wa masuala ya kuzuia maambukizi kutoka ,WRAIR -DOD, Dkt Elick Kayange amesema matokeo ya mapambano dhidi ya Ukimwi yamelata matokeo makubwa.

Amesema kwa takwimu za mwaka 2016/17 na kurudiwa 2022/23 zimeonyesha ongezeko la watu walioanza dawa na kufubaza ni asilimia 55.7 mpaka 87.4 huku waliofubaza imeongezeka kutoka asilimia 51.1 mpaka 84.6 kwa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.

Amesema hayo ni matokeo makubwa sana licha ya kuhitaji hitihada zaidi ili kufikia 0 tatu na kusiwepo kwa maambukizi ya VVU na unyanyapaa kwa wagonjwa.

Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu ,Sera,Bunge na Uratibu , Jenister Mhagama,Mkuu wa Wilaya ya Rungwe , Jaffar Haniu ameshukuru Shirika la HJFMRI kwa kuwezesha upatikani wa vifaa kwani vitawezesha Vijana kujikwamua kiuchumi.

Aidha ametaja miongoni mwa changamoto kwa mabinti kujiingiza kwenye maisha hatarishi na kupata maambukizi ni kutokana na ukosefu wa vyanzo stahimilivu vya kujiingizia kipato.

Kwa upande wake Mratibu wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids) Mikoa ya Mbeya na Songwe,Emmanuel Petro amesema kuwa mradi wa dreams unatekelezwa katika halmashauri 89 kwa Mkoa wa Mbeya ni Mbarali ,Mbeya Jiji na Kyela.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Nilipata Miscarriage Mara Tano Hadi Nikapoteza Ndoto Zangu Za Kuwa Mama Mpaka Nilipopata Usaidizi Usio na Madhara

January 25, 2026

Nilifanya Kazi Kwa Miaka Miwili Bila Kupata Promotion Ila Nilijitafutia Hiyo Promotion Mwenyewe

January 25, 2026

Ndoa Yangu Ilikuwa Karibu Kuvunjika Lakini Siri Hii ya Mwisho Iliokoa Mapenzi Yetu

January 24, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025330

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025252

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024226

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025139
Don't Miss
Video Mpya

Shule ya Sekondari Utengule Usangu, H

By Mbeya YetuFebruary 6, 20261

Diwani wa Kata ya Utengule Usangu, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Ismail Matipa, ametoa sare za shule kwa wanafunzi 400 waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza, katika Shule ya Sekondari Utengule Usangu.

Hatua hiyo imelenga kuondoa changamoto ya baadhi ya wazazi kuchelewesha au kushindwa kuwapeleka watoto wao shule pindi msimu wa masomo unapoanza, hali inayosababishwa na ukosefu wa sare za shule.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Diwani Matipa amesema utoaji wa sare hizo ni sehemu ya jitihada zake za kuunga mkono elimu na kuhakikisha wanafunzi wote wanaanza masomo kwa wakati bila vikwazo vya kiuchumi.

Ameeleza kuwa tukio hilo limefanyika katika wiki ya maadhimisho ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutimiza miaka 49 tangu kuzaliwa kwake mwaka 1977, ikiwa ni ishara ya kuenzi mchango wa chama hicho katika maendeleo ya elimu na ustawi wa jamii.

Mradi wa Barabara Mlima Nyoka Wamfikisha MCC ASAS, Ataka Kero za Wananchi Zitokomee

February 5, 2026

Mradi wa Soko la Matola Wakwama, Meya na MNEC Wakanusha Kukamilika Mei

February 5, 2026

JK KWA MFALME MSWATI III KUJADILI UPATIKANAJI WA FEDHA ZA MIRADI YA AFYA KWA NCHI WANACHAMA WA ECSA

February 4, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Shule ya Sekondari Utengule Usangu, H

February 6, 2026

Mradi wa Barabara Mlima Nyoka Wamfikisha MCC ASAS, Ataka Kero za Wananchi Zitokomee

February 5, 2026

Mradi wa Soko la Matola Wakwama, Meya na MNEC Wakanusha Kukamilika Mei

February 5, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025330

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025252

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024226
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.