Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

PART.1- Dr. David Nassoro “Fahamu Kiharusi na Degedege: Sababu, Dalili na Namna ya Kukabiliana Nayo”

September 1, 2025

“Kasaka: Chunya Tumejipanga, Kura za Rais Samia Ni Ushindi wa Kishindo”

September 1, 2025

Mama Samia Kutua Mbeya 4/9: Wanambeya Wajipanga Kumlaki Mgombea Urais CCM

September 1, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • PART.1- Dr. David Nassoro “Fahamu Kiharusi na Degedege: Sababu, Dalili na Namna ya Kukabiliana Nayo”
  • “Kasaka: Chunya Tumejipanga, Kura za Rais Samia Ni Ushindi wa Kishindo”
  • Mama Samia Kutua Mbeya 4/9: Wanambeya Wajipanga Kumlaki Mgombea Urais CCM
  • Binti Aliyeishi Mitaani Leo Anaendesha Gari Aina ya Range Rover
  • Wakora walivunja duka langu lakini baada ya masaa nne pekee wakarejesha pesa zote
  • Siri Yangu Ya Kuvutia Wateja Hadi Dukani Kwangu, Sasa Biashara Imekuwa Tajiriba Kubwa
  • Nyuki wa Ajabu Wamfukuza Mwanamke Kwa Aibu Kubwa Kutoka Kwa Nyumba ya Mpenzi
  • Kutoka kuchunga ng’ombe hadi kushinda Sh27.4 milioni ya jackpot
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » HJFMRI kutoa milioni 500 kutelekeza mradi wa dreams Mikoa ya Mbeya,Songwe na Tunduma.
Uncategorized

HJFMRI kutoa milioni 500 kutelekeza mradi wa dreams Mikoa ya Mbeya,Songwe na Tunduma.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 18, 2024No Comments13 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Shirika la kimataifa la HJMRI limesema linatarajia kutoa Sh 500 milioni kuwezesha mabinti balehe na wasichana vijana kupitia mradi wa dreams kwa ufadhiri wa Mfuko wa Dharura wa Rais wa Marekani wa kukabiliana na Ukimwi (PEPFAR) Mkurugenzi Mkuu wa HJFMRI Tanzania , Sally Chalamila amesema Machi 16 mwaka huu wilayani Kyela wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa mbalimbali na mashine za kisasa vyenye thamani ya Sh 178 milioni .Mashine na vifaa hivyo vimetolewa na Shirika la HJFMRI kupitia WRAIR -DOD kwa ufadhiri wa Mfuko wa Dharura wa Rais wa Marekani (PEPFAR) kwa kushirikiana na Asasi ya Tumaini.Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu ,Sera,Bunge na Uratibu , Jenister Mhagama,Mkuu wa Wilaya ya Rungwe , Jaffar Haniu ameshukuru Shirika la HJFMRI kwa kuwezesha upatikani wa vifaa kwani vitawezesha Vijana kujikwamua kiuchumi. Mwakilishi wa Balozi wa Marekani nchini ,na Mtaalam wa masuala ya kuzuia maambukizi kutoka ,WRAIR -DOD, Dkt Elick Kayange amesema matokeo ya mapambano dhidi ya Ukimwi yamelata matokeo makubwa.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Mheshimiwa Katule G. Kingamkono 

Shirika la kimataifa la HJMRI limesema linatarajia kutoa Sh 500 milioni kuwezesha mabinti balehe na wasichana vijana kupitia mradi wa dreams kwa ufadhiri wa Mfuko wa Dharura wa Rais wa Marekani wa kukabiliana na Ukimwi (PEPFAR)

Mkurugenzi Mkuu wa HJFMRI Tanzania , Sally Chalamila amesema Machi 16 mwaka huu wilayani Kyela wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa mbalimbali na mashine za kisasa vyenye thamani ya Sh 178 milioni .

Mashine na vifaa hivyo vimetolewa na Shirika la HJFMRI kupitia WRAIR -DOD kwa ufadhiri wa Mfuko wa Dharura wa Rais wa Marekani (PEPFAR) kwa kushirikiana na Asasi ya Tumaini.

Amesema lengo ni kuisaidia serikali kukabiliana na afua mbalimbali za maambukizi ya VVU kwa kuwezesha kundi hilo ambalo liko katika hatari kubwa ya kupata maambukizi.

Amesema mradi wa dreams umeanza kutelekezwa mwaka 2016 huku ukiwafikia mabinti balehe na wasichana vijana 130,000 huku katika Mkoa wa Mbeya ukitekelezwa katika Halmashauri tatu za Mbeya Jiji,Mbarali na Kyela.

Amesema Shirika hilo linatekeleza afua za matunzo na matibabu ya VVU katika Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kupitia mpango wa dreams katika Mkoa wa Mbeya na Songwe.

“Shirika linatekeleza afua za VVU kwa ufadhiri wa Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani kupitia Taasisi ya WRAIR -DOD huku takwimu zikionyesha mabinti walio katika umri mdogo ni wahanga wakubwa sana wa maambukizi ya VVU.

Chalamila ametaja miongoni mwa sababu ni jitihada za kutaka kujikwamua kiuchumi wanajikuta wakijiingiza katika tabia hatarishi ambazo kusababisha kupata maambukizi ya VVU.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Balozi wa Marekani nchini ,na Mtaalam wa masuala ya kuzuia maambukizi kutoka ,WRAIR -DOD, Dkt Elick Kayange amesema matokeo ya mapambano dhidi ya Ukimwi yamelata matokeo makubwa.

Amesema kwa takwimu za mwaka 2016/17 na kurudiwa 2022/23 zimeonyesha ongezeko la watu walioanza dawa na kufubaza ni asilimia 55.7 mpaka 87.4 huku waliofubaza imeongezeka kutoka asilimia 51.1 mpaka 84.6 kwa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.

Amesema hayo ni matokeo makubwa sana licha ya kuhitaji hitihada zaidi ili kufikia 0 tatu na kusiwepo kwa maambukizi ya VVU na unyanyapaa kwa wagonjwa.

Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu ,Sera,Bunge na Uratibu , Jenister Mhagama,Mkuu wa Wilaya ya Rungwe , Jaffar Haniu ameshukuru Shirika la HJFMRI kwa kuwezesha upatikani wa vifaa kwani vitawezesha Vijana kujikwamua kiuchumi.

Aidha ametaja miongoni mwa changamoto kwa mabinti kujiingiza kwenye maisha hatarishi na kupata maambukizi ni kutokana na ukosefu wa vyanzo stahimilivu vya kujiingizia kipato.

Kwa upande wake Mratibu wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids) Mikoa ya Mbeya na Songwe,Emmanuel Petro amesema kuwa mradi wa dreams unatekelezwa katika halmashauri 89 kwa Mkoa wa Mbeya ni Mbarali ,Mbeya Jiji na Kyela.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Binti Aliyeishi Mitaani Leo Anaendesha Gari Aina ya Range Rover

September 1, 2025

Wakora walivunja duka langu lakini baada ya masaa nne pekee wakarejesha pesa zote

August 31, 2025

Siri Yangu Ya Kuvutia Wateja Hadi Dukani Kwangu, Sasa Biashara Imekuwa Tajiriba Kubwa

August 30, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025206

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025116

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 202596
Don't Miss
Video Mpya

PART.1- Dr. David Nassoro “Fahamu Kiharusi na Degedege: Sababu, Dalili na Namna ya Kukabiliana Nayo”

By Mbeya YetuSeptember 1, 20250

Dkt. David Nassoro, Daktari Bingwa Mbobezi wa Mishipa ya Fahamu, amefafanua kuhusu magonjwa mawili yanayozua changamoto kubwa katika jamii – Kiharusi kinachowakumba zaidi watu wazima, na Degedege linaloathiri watoto wadogo.

Akieleza kwa undani, Dkt. Nassoro amesema Kiharusi hutokana na kuziba au kupasuka kwa mishipa ya damu kwenye ubongo.

“Dalili za awali ni muhimu kuzitambua. Mgonjwa akipata ganzi upande mmoja, kushindwa kuongea au kuona, lazima apelekwe hospitali haraka – ndani ya saa tatu tuna nafasi kubwa ya kuokoa maisha,” amesema.

Kwa upande mwingine, Degedege limekuwa tatizo linalowachanganya wazazi, wengi wakidhani ni uchawi. Lakini Dkt. Nassoro amesisitiza kisayansi kuwa chanzo kikuu ni homa kali, hasa malaria.

“Wazazi wanapaswa kuelewa kuwa mtoto akianza kutetemeka, kupoteza fahamu kwa muda, au kuvuja mate, wanapaswa kumpeleka hospitalini mara moja. Kukaa nyumbani au kutegemea tiba zisizo sahihi kunaongeza hatari,” ameongeza.

Akihitimisha, Dkt. Nassoro amesema kinga ni hatua ya kwanza, ikiwemo kuzingatia lishe bora, kupunguza msongo wa mawazo, kufanya mazoezi, na kwa upande wa watoto kutumia vyandarua vyenye dawa ili kujikinga na malaria.

“Elimu kwa jamii ndiyo tiba ya kwanza. Tukiepuka imani potofu na kuzingatia huduma za kitabibu, tunaweza kuokoa maisha ya maelfu ya Watanzania,” amesema Dkt. Nassoro.

“Kasaka: Chunya Tumejipanga, Kura za Rais Samia Ni Ushindi wa Kishindo”

September 1, 2025

Mama Samia Kutua Mbeya 4/9: Wanambeya Wajipanga Kumlaki Mgombea Urais CCM

September 1, 2025

Binti Aliyeishi Mitaani Leo Anaendesha Gari Aina ya Range Rover

September 1, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

PART.1- Dr. David Nassoro “Fahamu Kiharusi na Degedege: Sababu, Dalili na Namna ya Kukabiliana Nayo”

September 1, 2025

“Kasaka: Chunya Tumejipanga, Kura za Rais Samia Ni Ushindi wa Kishindo”

September 1, 2025

Mama Samia Kutua Mbeya 4/9: Wanambeya Wajipanga Kumlaki Mgombea Urais CCM

September 1, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025206

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025116
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.