Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

ONYO KALI KWA VIBAKA KUTOKA KWA WAMACHINGA SOKO LA JIONI KABWE JIJI LA MBEYA VIBAKA NA WEZI WAUFYATA

July 6, 2025

MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI

July 3, 2025

KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO

July 1, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • ONYO KALI KWA VIBAKA KUTOKA KWA WAMACHINGA SOKO LA JIONI KABWE JIJI LA MBEYA VIBAKA NA WEZI WAUFYATA
  • MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI
  • KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO
  • MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI
  • Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH
  • MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE
  • WAKILI MSOMI KAPTENI MSTAAFU SAMBWEE SHITAMBALA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI.
  • MWAISUMBE: ALIYEJITOSA UBUNGE 2010 AWANIA TENA MBEYA MJINI AAHIDI KUMUUNGA MKONO ATAKAYETEULIWA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MAHUNDI AZINDUA UCHIMBAJI WA VISIMA VYA MAJI KATA TANO WILAYA YA MBARALI
Habari za Kitaifa

MAHUNDI AZINDUA UCHIMBAJI WA VISIMA VYA MAJI KATA TANO WILAYA YA MBARALI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 23, 2024No Comments8 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Naibu Waziri wa Maji ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya Mhandisi Maryprisca Mahundi amezindua mradi wa uchimbaji visima vya maji uzinduzi uliofanyika Kijiji cha Azimio Mapula Kata Kongolo Mswiswi Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya ambapo Kata tano zitanufaika na mradi huo Wilaya ya Mbarali.

Mahundi amesema visima vingine vitachimbwa katika vijiji vya Mpolo,Iwalanje,lbohola,Limsemi,Nyakazombe na Vikaye.

Mahundi amesema Wizara itakamilisha kiasi cha shilingi milioni 96 hivi karibuni kwa lengo la kuukamilisha mradi huo ili mitambo iweze kuhamie Kata zingine nao waonje keki ya Mama Samia Suluhu Hassan.

Meneja wa RUWASA Wilaya ya Mbarali Mhandisi Samwel Heche amesema mpaka sasa visima ishirini vimechimbwa Mkoani Mbeya tangu kuwasili mtambo huo Mkoani Mbeya na mradi wa Azimio Mapula ukikamilika utagharimu shilingi 107,352,742/- mpaka sasa zimetumika shilingi 10,400,000/- ili mradi ukamilike zinatakiwa shilingi 96,952,742 hivyo ameiomba Wizara kukamilisha fedha hiyo kukamilisha mradi.Mkuu wa Wilaya ya Mbaral Kanali Denis Mwila mbali ya kuwataka wananchi kutunza miundombinu ya maji na vyanzo vya amemshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ,Waziri wa Mji,Naibu Waziri wa Maji kwa kutatua kero ya maji.Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Mbarali Zabibu Nuroo ameishukuru Serikali kwa kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya kuhakikisha inamtua mama ndoo kichwani.

Diwani wa Kata ya Mswiswi Eliah Bange amemshukuru Naibu Waziri wa Maji kwa kutatua kero ya maji katika vitongoji vyote vitano vya Kata yake.

Bange ameitumia nafasi hiyo kuiomba RUWASA kuboresha baadhi ya miundo mbinu ya maji katika kata yake ambayo mingi imechakaa na ongezeko la watu limefanya maji kushindwa kutosheleza wakazi wa Kata ya Mswiswi.

Uzinduzi wa uchimbaji visima vya maji Wilaya ya Mbarali umeendana na maadhimisho ya wiki ya maji duniani yaliyoanza machi 16,2024 na kilele chake ni machi 22,2024.

Naibu Waziri wa Maji ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya Mhandisi Maryprisca Mahundi amezindua mradi wa uchimbaji visima vya maji uzinduzi uliofanyika Kijiji cha Azimio Mapula Kata Kongolo Mswiswi Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya ambapo Kata tano zitanufaika na mradi huo Wilaya ya Mbarali.

Mahundi amesema visima vingine vitachimbwa katika vijiji vya Mpolo,Iwalanje,lbohola,Limsemi,Nyakazombe na Vikaye.

Mahundi amesema Wizara itakamilisha kiasi cha shilingi milioni 96 hivi karibuni kwa lengo la kuukamilisha mradi huo ili mitambo iweze kuhamie Kata zingine nao waonje keki ya Mama Samia Suluhu Hassan.

Meneja wa RUWASA Wilaya ya Mbarali Mhandisi Samwel Heche amesema mpaka sasa visima ishirini vimechimbwa Mkoani Mbeya tangu kuwasili mtambo huo Mkoani Mbeya na mradi wa Azimio Mapula ukikamilika utagharimu shilingi 107,352,742/- mpaka sasa zimetumika shilingi 10,400,000/- ili mradi ukamilike zinatakiwa shilingi 96,952,742 hivyo ameiomba Wizara kukamilisha fedha hiyo kukamilisha mradi.

Mkuu wa Wilaya ya Mbaral Kanali Denis Mwila mbali ya kuwataka wananchi kutunza miundombinu ya maji na vyanzo vya amemshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ,Waziri wa Mji,Naibu Waziri wa Maji kwa kutatua kero ya maji.

Aidha Diwani wa Kata ya Mswiswi Eliah Bange amemshukuru Naibu Waziri wa Maji kwa kutatua kero ya maji katika vitongoji vyote vitano vya Kata yake.

Bange ameitumia nafasi hiyo kuiomba RUWASA kuboresha baadhi ya miundo mbinu ya maji katika kata yake ambayo mingi imechakaa na ongezeko la watu limefanya maji kushindwa kutosheleza wakazi wa Kata ya Mswiswi.

Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Mbarali Zabibu Nuroo ameishukuru Serikali kwa kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya kuhakikisha inamtua mama ndoo kichwani.

Uzinduzi wa uchimbaji visima vya maji Wilaya ya Mbarali umeendana na maadhimisho ya wiki ya maji duniani yaliyoanza machi 16,2024 na kilele chake ni machi 22,2024.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MHASIBU SUA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA SAME MASHARIKI

June 28, 2025

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MAGEREZA NA VYUO VYA MAFUNZO WANOLEWA

June 22, 2025

VIJANA CCM MBEYA DC WAJIPANGA KUPIGA KURA OKTOBA 2025.

June 13, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024173

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202569

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202460
Don't Miss
Video Mpya

ONYO KALI KWA VIBAKA KUTOKA KWA WAMACHINGA SOKO LA JIONI KABWE JIJI LA MBEYA VIBAKA NA WEZI WAUFYATA

By Mbeya YetuJuly 6, 20250

#mbeyayetutv

MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI

July 3, 2025

KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO

July 1, 2025

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

June 30, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

ONYO KALI KWA VIBAKA KUTOKA KWA WAMACHINGA SOKO LA JIONI KABWE JIJI LA MBEYA VIBAKA NA WEZI WAUFYATA

July 6, 2025

MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI

July 3, 2025

KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO

July 1, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024173

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202569
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.