#mbeyayetutv
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Juma Homera amevunja ukimya na kuweka mambo hadharani kwa kuelezea hisia zake juu ya kile kinachoelezwa na baadhi ya wanasiasa wilayani’Namtumbo mkoani Ruvuma.
Akiwa katika iftari maalumu iliyoandaliwa na Taasisi ya Site Trust Foudation na Site Fm zinazosimamiwa na wake zake Imani na Jasmin.
‘’Namtumbo ni Nyumbani kwetu Nimezaliwa Namtumbo sijaja kufanya siasa tuwaunge mkono viongozi wetu’’amesema Homera
Trending
- TUME YATOA MWALIKO KWA WAANDISHI WA HABARI WENYE NIA YA KURIPOTI MATUKIO WAKATI WA UCHAGUZI
- Pastor Apagawa Alipomuombea Mwanamke Aliyedai Kuwa Na Mimba Ya Mzee Aliyefariki 2003
- Jinsi Nilivyomrudisha Mume Wangu na Kumfanya Mpenzi Wake wa Kando Aondoke Mjini
- Bodaboda Waliiba Simu Yangu Lakini Walirudisha Wakiwa Wanalilia Hadharani”
- PART.1- Dr. David Nassoro “Fahamu Kiharusi na Degedege: Sababu, Dalili na Namna ya Kukabiliana Nayo”
- “Kasaka: Chunya Tumejipanga, Kura za Rais Samia Ni Ushindi wa Kishindo”
- Mama Samia Kutua Mbeya 4/9: Wanambeya Wajipanga Kumlaki Mgombea Urais CCM
- Binti Aliyeishi Mitaani Leo Anaendesha Gari Aina ya Range Rover