#mbeyayetutv
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Juma Homera amevunja ukimya na kuweka mambo hadharani kwa kuelezea hisia zake juu ya kile kinachoelezwa na baadhi ya wanasiasa wilayani’Namtumbo mkoani Ruvuma.
Akiwa katika iftari maalumu iliyoandaliwa na Taasisi ya Site Trust Foudation na Site Fm zinazosimamiwa na wake zake Imani na Jasmin.
‘’Namtumbo ni Nyumbani kwetu Nimezaliwa Namtumbo sijaja kufanya siasa tuwaunge mkono viongozi wetu’’amesema Homera
Trending
- Nilivyofanikiwa Kumaliza Migogoro ya Urithi Kati ya Ndugu Bila Kufika Mahakamani
- Waziri Mkuu Mteule Dk. Mwigulu Aahidi Kazi, Nidhamu na Uwajibikaji
- Nilivyogundua Sababu ya Kukosa Raha Kila Wakati wa Tendo la Ndoa na Jinsi Nilivyopona Bila Dawa
- Breaking News!!! Rais Samia Amteua Dkt Mwigulu Nchemba Waziri Mkuu mpya JMT.
- Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Miguu na Mgongo Kwa Muda Mrefu Bila Tiba Kufanya Kazi
- Nilivyorejesha Hisia Zangu Baada ya Muda Mrefu Bila Kutamani Tena Kuwa Karibu na Mume Wangu
- BABALEVO AINGIA KWENYE 18 ZA SPIKA ZUNGU AKILA KIAPO BUNGENI
- Nilivyofanikiwa Kuwatoa Watoto Wangu Kwenye Uraibu wa Simu na Kuwarudisha Kwenye Masomo

