Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Hakukata tamaa hadi alipopata mtoto wake kwa njia hii

December 2, 2025

SAMIA: VIONGOZI WA DINI MSIJIVISHE MAJOHO KUONGOZA NCHI – AWANYOOSHEA KIDOLE TEC

December 2, 2025

Yard yake ilianza kujaza wateja kutoka pande zote

December 2, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Hakukata tamaa hadi alipopata mtoto wake kwa njia hii
  • SAMIA: VIONGOZI WA DINI MSIJIVISHE MAJOHO KUONGOZA NCHI – AWANYOOSHEA KIDOLE TEC
  • Yard yake ilianza kujaza wateja kutoka pande zote
  • RAIS SAMIA AFUNGUKA MAZITO MBELE YA WAZEE!
  • Mkutano mkuu Simba vurugu tupu
  • KANISA LA EAGT BETHELI GOMBE UYOLE MBEYA NA UJUMBE MZITO KATIKA KUCHANGIA UJENZI WA KANISA LAO
  • DKT TULIA HAPOI WALA HABOI AENDELEA KUSAMBAZA UPENDO KWA WAPIGA KURA WAKE KATA YA ILEMI.*
  • Suluhisho kwa wanawake wanaokuwa wakavu wakati wa tendo la ndoa
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » ZAIDI YA BILIONI KUMI NA MOJA ZAINUFAISHA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA MBEYA
Video Mpya

ZAIDI YA BILIONI KUMI NA MOJA ZAINUFAISHA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA MBEYA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 27, 2024No Comments4 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Zaidi ya bilioni kumi na Moja zimetumika kukamilisha ujenzi wa miradi mbalimbali katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya ndani ya miaka mitatu tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani kuapishwa kuwa Rais wa awamu ya sita kutokana na aliekuwa rais wa awamu ya Tano kufariki Dunia mwanzoni mwa mwaka 2022 Hayati Dkt.Pombe Joseph Magufuri.

Hayo yamebainishwa na Mganga mfawidhi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya Dkt.Abdallah Mmbaga wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya hali ilivyo tangu Dkt.Samia Suluhu Hassan kuwepo madarakani.

Baadhi ya wananchi waliopo Mkoani Mbeya wamezungumzia hali ya huduma ilivyo katika hospitali hiyo wakisema maboresho makubwa yaliyofanywa na serikali yamefanya hospitali hiyo kuwa kimbilio la haraka kwao huku wakiwapongeza watumishi wa hospitali hiyo kuwa na lugha nzuri kwa wagonjwa tofauti na zamani.

Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Mbeya huhudumia wakazi wa Wilaya za Mbeya,Kyela,Chunya,Mbarali na Rungwe.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

SAMIA: VIONGOZI WA DINI MSIJIVISHE MAJOHO KUONGOZA NCHI – AWANYOOSHEA KIDOLE TEC

December 2, 2025

RAIS SAMIA AFUNGUKA MAZITO MBELE YA WAZEE!

December 2, 2025

Mkutano mkuu Simba vurugu tupu

December 1, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025243

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025231

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024204

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025128
Don't Miss
Uncategorized

Hakukata tamaa hadi alipopata mtoto wake kwa njia hii

By Mbeya YetuDecember 2, 20250

Siku zote Tami alikuwa binti mrembo na mcheshi kutoka Dar es Salaam, mke wa Ally,…

SAMIA: VIONGOZI WA DINI MSIJIVISHE MAJOHO KUONGOZA NCHI – AWANYOOSHEA KIDOLE TEC

December 2, 2025

Yard yake ilianza kujaza wateja kutoka pande zote

December 2, 2025

RAIS SAMIA AFUNGUKA MAZITO MBELE YA WAZEE!

December 2, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Hakukata tamaa hadi alipopata mtoto wake kwa njia hii

December 2, 2025

SAMIA: VIONGOZI WA DINI MSIJIVISHE MAJOHO KUONGOZA NCHI – AWANYOOSHEA KIDOLE TEC

December 2, 2025

Yard yake ilianza kujaza wateja kutoka pande zote

December 2, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025243

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025231

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024204
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.