Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Vijana Waanza Kujaribu Mbinu Mpya ya Kiasili Inayodaiwa Kuvutia Bahati Kwenye Michezo ya Kubashiri

October 22, 2025

TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA RATIBA NA MAELEKEZO YA KUPIGA KURA MAJIMBO YA MBEYA MJINI NA UYOLE

October 21, 2025

Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee

October 20, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Vijana Waanza Kujaribu Mbinu Mpya ya Kiasili Inayodaiwa Kuvutia Bahati Kwenye Michezo ya Kubashiri
  • TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA RATIBA NA MAELEKEZO YA KUPIGA KURA MAJIMBO YA MBEYA MJINI NA UYOLE
  • Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee
  • Nilivamiwa na Uchawi Kila Usiku Hadi Nilipopata Kinga Iliyowafanya Wachawi Washindwe Kunitazama Machoni
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI WA UDIWANI KATIKA KATA YA NYAKASUNGWA JIMBO LA BUCHOSA
  • RC Malisa Azindua Wodi ya Watoto Wachanga Hospitali ya Meta Mbeya kwa Ushirikiano wa IHI na NEST360 Tanzania
  • Nilivyolipizwa Kisasi na Aliyeniumiza Baada ya Kunitendea Vibaya, Sasa Anaomba Msamaha Kila Siku
  • Nilivyomrudisha Mume Wangu Baada ya Miaka Mitatu ya Kuachana, Sasa Hachoki Kuniambia ‘You’re My Destiny
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » ZAIDI YA BILIONI KUMI NA MOJA ZAINUFAISHA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA MBEYA
Video Mpya

ZAIDI YA BILIONI KUMI NA MOJA ZAINUFAISHA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA MBEYA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 27, 2024No Comments4 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Zaidi ya bilioni kumi na Moja zimetumika kukamilisha ujenzi wa miradi mbalimbali katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya ndani ya miaka mitatu tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani kuapishwa kuwa Rais wa awamu ya sita kutokana na aliekuwa rais wa awamu ya Tano kufariki Dunia mwanzoni mwa mwaka 2022 Hayati Dkt.Pombe Joseph Magufuri.

Hayo yamebainishwa na Mganga mfawidhi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya Dkt.Abdallah Mmbaga wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya hali ilivyo tangu Dkt.Samia Suluhu Hassan kuwepo madarakani.

Baadhi ya wananchi waliopo Mkoani Mbeya wamezungumzia hali ya huduma ilivyo katika hospitali hiyo wakisema maboresho makubwa yaliyofanywa na serikali yamefanya hospitali hiyo kuwa kimbilio la haraka kwao huku wakiwapongeza watumishi wa hospitali hiyo kuwa na lugha nzuri kwa wagonjwa tofauti na zamani.

Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Mbeya huhudumia wakazi wa Wilaya za Mbeya,Kyela,Chunya,Mbarali na Rungwe.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA RATIBA NA MAELEKEZO YA KUPIGA KURA MAJIMBO YA MBEYA MJINI NA UYOLE

October 21, 2025

Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee

October 20, 2025

Ipyana wa CHAUMMA Awasha Moto Uyole — “Mabadiliko Bila Woga!”

October 15, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024193

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025185

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025126
Don't Miss
Uncategorized

Vijana Waanza Kujaribu Mbinu Mpya ya Kiasili Inayodaiwa Kuvutia Bahati Kwenye Michezo ya Kubashiri

By Mbeya YetuOctober 22, 20250

Taarifa kutoka maeneo mbalimbali zimeibua gumzo mitandaoni baada ya vijana wengi kuripoti mabadiliko makubwa katika…

TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA RATIBA NA MAELEKEZO YA KUPIGA KURA MAJIMBO YA MBEYA MJINI NA UYOLE

October 21, 2025

Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee

October 20, 2025

Nilivamiwa na Uchawi Kila Usiku Hadi Nilipopata Kinga Iliyowafanya Wachawi Washindwe Kunitazama Machoni

October 19, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Vijana Waanza Kujaribu Mbinu Mpya ya Kiasili Inayodaiwa Kuvutia Bahati Kwenye Michezo ya Kubashiri

October 22, 2025

TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA RATIBA NA MAELEKEZO YA KUPIGA KURA MAJIMBO YA MBEYA MJINI NA UYOLE

October 21, 2025

Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee

October 20, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024193

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025185
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.