Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilivyogundua Sababu ya Kukosa Raha Kila Wakati wa Tendo la Ndoa na Jinsi Nilivyopona Bila Dawa

November 13, 2025

Breaking News!!! Rais Samia Amteua Dkt Mwigulu Nchemba Waziri Mkuu mpya JMT.

November 13, 2025

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Miguu na Mgongo Kwa Muda Mrefu Bila Tiba Kufanya Kazi

November 12, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilivyogundua Sababu ya Kukosa Raha Kila Wakati wa Tendo la Ndoa na Jinsi Nilivyopona Bila Dawa
  • Breaking News!!! Rais Samia Amteua Dkt Mwigulu Nchemba Waziri Mkuu mpya JMT.
  • Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Miguu na Mgongo Kwa Muda Mrefu Bila Tiba Kufanya Kazi
  • Nilivyorejesha Hisia Zangu Baada ya Muda Mrefu Bila Kutamani Tena Kuwa Karibu na Mume Wangu
  • BABALEVO AINGIA KWENYE 18 ZA SPIKA ZUNGU AKILA KIAPO BUNGENI
  • Nilivyofanikiwa Kuwatoa Watoto Wangu Kwenye Uraibu wa Simu na Kuwarudisha Kwenye Masomo
  • Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo
  • Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป Mvua zasababisha Mlima Kawetere kumeguka Ujiuji wafunika nyumba 20 kata ya Itezi Jijini Mbeya
Video Mpya

Mvua zasababisha Mlima Kawetere kumeguka Ujiuji wafunika nyumba 20 kata ya Itezi Jijini Mbeya

Mbeya YetuBy Mbeya YetuApril 14, 2024No Comments0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde Juma Z. Homera amefika Mlima Kawetele uliopolomoka Alfajiri ya Leo na Kusababisha Kufukiwa kwa Nyumba 20, Ng’ombe Wanne na Kuharibika kwa Miundombinu ya Shule ya Generation katika Mtaa wa Gombe Kata ya Itezi Halmashauri ya Jiji la Mbeya.

Akizungumza baada Kuwasili eneo la Tukio RC Homera amekanusha Uvumi unaozagaa Mtandaoni ukidai Kuna Maafa katika tukio hilo ambapo amesema zaidi ya hivyo vilivyotajwa Aya ya Kwanza hakuna Madhara mengine Wala Maafa kama inavyoripotiwa na Baadhi ya Watu.

Aidha Homera ameiagiza Halmashauri ya Jiji la Mbeya kufanya Tathimini juu ya Waathirika hasa wale wasio na Malazi ya Kulala wahakikishe wanapatiwa Sehemu hizo wakati huu ambao Serikali inaendelea kupambana kuhakikisha Hali inakuwa Sawa katika Maeneo hayo.

Pia amekiagiza Kitengo Cha Ardhi Halmashauri ya Jiji la Mbeya kuacha kuwapimia Wananchi Viwanja eneo lenye Changamoto hasa ya Mkondo wa Maji kwa kufanya Kwao hivyo kutasababisha Matatizo kama hayo ambayo yangeweza kuzuilika.

Tukio hilo limetokea Alfajiri ya Kuamkia Leo ambapo chanzo Chake ni Mvua zinazoendelea Kunyesha Mfululizo na Matukio yanayofanana na haya yamekuwa yakitukia Mikoa Mbalimbali ikiwemo Mikoa ya Arusha na Lindi.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Breaking News!!! Rais Samia Amteua Dkt Mwigulu Nchemba Waziri Mkuu mpya JMT.

November 13, 2025

BABALEVO AINGIA KWENYE 18 ZA SPIKA ZUNGU AKILA KIAPO BUNGENI

November 11, 2025

Dkt. Tulia Aongoza kwa Vitendo, Apiga Kura na Kuhamasisha Ushindi wa CCM Uyole

October 29, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025226

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025215

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024197

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025126
Don't Miss
Uncategorized

Nilivyogundua Sababu ya Kukosa Raha Kila Wakati wa Tendo la Ndoa na Jinsi Nilivyopona Bila Dawa

By Mbeya YetuNovember 13, 20253

Kwa miaka kadhaa ndani ya ndoa yangu, nilihisi kitu hakiko sawa. Kila mara tulipokuwa faraghani…

Breaking News!!! Rais Samia Amteua Dkt Mwigulu Nchemba Waziri Mkuu mpya JMT.

November 13, 2025

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Miguu na Mgongo Kwa Muda Mrefu Bila Tiba Kufanya Kazi

November 12, 2025

Nilivyorejesha Hisia Zangu Baada ya Muda Mrefu Bila Kutamani Tena Kuwa Karibu na Mume Wangu

November 12, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilivyogundua Sababu ya Kukosa Raha Kila Wakati wa Tendo la Ndoa na Jinsi Nilivyopona Bila Dawa

November 13, 2025

Breaking News!!! Rais Samia Amteua Dkt Mwigulu Nchemba Waziri Mkuu mpya JMT.

November 13, 2025

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Miguu na Mgongo Kwa Muda Mrefu Bila Tiba Kufanya Kazi

November 12, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025226

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025215

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024197
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.