Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MATIBABU YA KIBINGWA YA HUDUMA MKOBA YA MADAKTARI WA DT. SAMIA UKOMBOZI MKUBWA KWA WANANCHI WA MKOA WA SONGWE.

September 15, 2025

Kitabu cha Ndoto ya Yatima Chazinduliwa Rasmi na Dkt. Tulia

September 15, 2025

HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA YADHAMIRIA KUONDOA ULEMAVU WA KUONA NA KUBORESHA AFYA YA MACHO SONGWE

September 15, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • MATIBABU YA KIBINGWA YA HUDUMA MKOBA YA MADAKTARI WA DT. SAMIA UKOMBOZI MKUBWA KWA WANANCHI WA MKOA WA SONGWE.
  • Kitabu cha Ndoto ya Yatima Chazinduliwa Rasmi na Dkt. Tulia
  • HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA YADHAMIRIA KUONDOA ULEMAVU WA KUONA NA KUBORESHA AFYA YA MACHO SONGWE
  • MASACHE KASAKA ALIVYOMNADI BAHATI NDINGO UZINDUZI WA KAMPENI JIMBO LA MBARALI
  • Baba Aibuka Na Kauli Kali Baada ya Mtoto Wake Kwanza Kumkana Mbele ya Watu
  • DANIEL CHONGOLO: ”BAHATI NDINGO NDIYE ALIYENIFUNDISHA MISAMIATI YA GN MIGOGORO YA ARDHI MBARALI”
  • STELLAH FIYAO MASHINE YA KUONGEA KUTOKEA CHADEMA YATIKISA KAMPENI KUMNADI BAHATI NDINGO
  • Ndele Mwaselela Awataka Wananchi Mbeya Mjini Wampigie Kura Samia na Timu Yake
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป CPA Gilbert Kayange Akagua Miradi na Kusikiliza Changamoto za Wateja Mbeya
Video Mpya

CPA Gilbert Kayange Akagua Miradi na Kusikiliza Changamoto za Wateja Mbeya

Mbeya YetuBy Mbeya YetuNovember 17, 2024No Comments0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

CPA. Gilbert Kayange, Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya leo tarehe 16/11/2024 ametembea mtaa kwa mtaa kusikiliza na kutatua changamoto za wateja pamoja na kukagua miradi inayotekelezwa na Mamlaka.

Mkurugenzi Mtendaji ametembelea na kukagua mradi wa maji wa mto Simba, mradi wa kuboresha huduma ya maji kupitia visima virefu vya Gombe kusini na Mwasenkwa na mradi wa kuboresha huduma ya maji katika Kata ya Iyunga.

CPA. Kayange amesema, Serikali inawekeza fedha nyingi katika utekelezaji wa miradi ya kuboresha huduma ya maji katika Jiji la Mbeya na Mji wa Mbalizi ili kuhakikisha kwamba Wananchi wanapata huduma bora na endelevu .

Aidha, katika ziara hiyo CPA. Kayange ameshuhudia miradi ambayo imefika hatua ya kuanza kuhudumia na kunufaisha wakazi wa maeneo mbalimbali. Mradi hiyo ni mradi wa kuboresha upatikani wa huduma ya maji Gombe Kusini na mradi wa mto Simba ambao unanufaisha Wananchi wa maeneo ya Mwasanga, Tembela, Ijombee na Sitoi.

Vile vile, Mkurugenzi Mtendaji amewaasa Wananchi kutoharibu miundombinu ya maji kwa kujifanyia maunganisho yasiyo halali na kuisababishia Taasisi hasara kupitia upotevu wa maji na kuathiri upatikanaji wa huduma ya majisafi kwa wananchi wengine.

Aidha, CPA. Kayange ametoa wito kwa Wananchi kulipa ankara za maji kwa wakati ili kuijengea Mamlaka uwezo wa kutoa huduma endelevu.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Kitabu cha Ndoto ya Yatima Chazinduliwa Rasmi na Dkt. Tulia

September 15, 2025

MASACHE KASAKA ALIVYOMNADI BAHATI NDINGO UZINDUZI WA KAMPENI JIMBO LA MBARALI

September 15, 2025

DANIEL CHONGOLO: ”BAHATI NDINGO NDIYE ALIYENIFUNDISHA MISAMIATI YA GN MIGOGORO YA ARDHI MBARALI”

September 15, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025208

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025121
Don't Miss
Habari za Kitaifa

MATIBABU YA KIBINGWA YA HUDUMA MKOBA YA MADAKTARI WA DT. SAMIA UKOMBOZI MKUBWA KWA WANANCHI WA MKOA WA SONGWE.

By Mbeya YetuSeptember 15, 20251

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Jabiri Omari Makame leo tarehe 15/09/2025 amezindua rasmi huduma…

Kitabu cha Ndoto ya Yatima Chazinduliwa Rasmi na Dkt. Tulia

September 15, 2025

HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA YADHAMIRIA KUONDOA ULEMAVU WA KUONA NA KUBORESHA AFYA YA MACHO SONGWE

September 15, 2025

MASACHE KASAKA ALIVYOMNADI BAHATI NDINGO UZINDUZI WA KAMPENI JIMBO LA MBARALI

September 15, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

MATIBABU YA KIBINGWA YA HUDUMA MKOBA YA MADAKTARI WA DT. SAMIA UKOMBOZI MKUBWA KWA WANANCHI WA MKOA WA SONGWE.

September 15, 2025

Kitabu cha Ndoto ya Yatima Chazinduliwa Rasmi na Dkt. Tulia

September 15, 2025

HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA YADHAMIRIA KUONDOA ULEMAVU WA KUONA NA KUBORESHA AFYA YA MACHO SONGWE

September 15, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025208

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.