Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Kutoka hasara hadi faida katika biashara, mbinu ni hii

November 24, 2025

Serie A yampa fedha baada ya kubaini mbinu bora ya betting

November 24, 2025

Hatua moja muhimu ya kufanikiwa kibiashara

November 23, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Kutoka hasara hadi faida katika biashara, mbinu ni hii
  • Serie A yampa fedha baada ya kubaini mbinu bora ya betting
  • Hatua moja muhimu ya kufanikiwa kibiashara
  • MSIGWA Atoa Onyo kwa Vyombo vya Habari vya Nje: Zingatia Maadili
  • Namna ya kuimarisha ustawi wa ndoa yako
  • RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA
  • Rungwe Wasaini Mkataba wa Bilioni 2.8 Kujenga Soko la Kisasa la Ndizi
  • Safari Kuelekea Furaha ya Ndoa Iliyokosekana Kwa Muda Mrefu
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป CPA Gilbert Kayange Akagua Miradi na Kusikiliza Changamoto za Wateja Mbeya
Video Mpya

CPA Gilbert Kayange Akagua Miradi na Kusikiliza Changamoto za Wateja Mbeya

Mbeya YetuBy Mbeya YetuNovember 17, 2024No Comments0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

CPA. Gilbert Kayange, Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya leo tarehe 16/11/2024 ametembea mtaa kwa mtaa kusikiliza na kutatua changamoto za wateja pamoja na kukagua miradi inayotekelezwa na Mamlaka.

Mkurugenzi Mtendaji ametembelea na kukagua mradi wa maji wa mto Simba, mradi wa kuboresha huduma ya maji kupitia visima virefu vya Gombe kusini na Mwasenkwa na mradi wa kuboresha huduma ya maji katika Kata ya Iyunga.

CPA. Kayange amesema, Serikali inawekeza fedha nyingi katika utekelezaji wa miradi ya kuboresha huduma ya maji katika Jiji la Mbeya na Mji wa Mbalizi ili kuhakikisha kwamba Wananchi wanapata huduma bora na endelevu .

Aidha, katika ziara hiyo CPA. Kayange ameshuhudia miradi ambayo imefika hatua ya kuanza kuhudumia na kunufaisha wakazi wa maeneo mbalimbali. Mradi hiyo ni mradi wa kuboresha upatikani wa huduma ya maji Gombe Kusini na mradi wa mto Simba ambao unanufaisha Wananchi wa maeneo ya Mwasanga, Tembela, Ijombee na Sitoi.

Vile vile, Mkurugenzi Mtendaji amewaasa Wananchi kutoharibu miundombinu ya maji kwa kujifanyia maunganisho yasiyo halali na kuisababishia Taasisi hasara kupitia upotevu wa maji na kuathiri upatikanaji wa huduma ya majisafi kwa wananchi wengine.

Aidha, CPA. Kayange ametoa wito kwa Wananchi kulipa ankara za maji kwa wakati ili kuijengea Mamlaka uwezo wa kutoa huduma endelevu.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MSIGWA Atoa Onyo kwa Vyombo vya Habari vya Nje: Zingatia Maadili

November 23, 2025

Rungwe Wasaini Mkataba wa Bilioni 2.8 Kujenga Soko la Kisasa la Ndizi

November 22, 2025

Watumishi wazembe hawatakuwa na nafasi-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

November 22, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025231

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025127
Don't Miss
Uncategorized

Kutoka hasara hadi faida katika biashara, mbinu ni hii

By Mbeya YetuNovember 24, 20250

Hapo awali, Jumanne alikuwa kijana mchapakazi na mwenye bidii kutoka Lushoto, mkoani Tanga, maarufu kwa…

Serie A yampa fedha baada ya kubaini mbinu bora ya betting

November 24, 2025

Hatua moja muhimu ya kufanikiwa kibiashara

November 23, 2025

MSIGWA Atoa Onyo kwa Vyombo vya Habari vya Nje: Zingatia Maadili

November 23, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Kutoka hasara hadi faida katika biashara, mbinu ni hii

November 24, 2025

Serie A yampa fedha baada ya kubaini mbinu bora ya betting

November 24, 2025

Hatua moja muhimu ya kufanikiwa kibiashara

November 23, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025231

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.