Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Rais Dkt Samia aongoza kikao kazi cha Mawaziri Naibu Mawaziri Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu

November 19, 2025

Safari ya kurejesha hamu ya tendo la ndoa kwa Zuhura iliyofanikiwa

November 19, 2025

Kutoka kusota hadi usukani wenye utajiri

November 18, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Rais Dkt Samia aongoza kikao kazi cha Mawaziri Naibu Mawaziri Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu
  • Safari ya kurejesha hamu ya tendo la ndoa kwa Zuhura iliyofanikiwa
  • Kutoka kusota hadi usukani wenye utajiri
  • Ikulu Dodoma: Rais Samia Azungumza na Mawaziri Baada ya Kuwaapisha
  • Alivyokabiliana na changamoto ya ukosefu wa hamu ya tendo hadi kuishinda
  • DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI
  • Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto
  • Safari ya Uponyaji Kutoka katika Maumivu ya Hedhi
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป RC Mbeya Juma Homera Awahimiza Wafungwa wa Gereza la Ruanda Kujifunza Ujuzi kwa Maisha Bora Uraiani
Video Mpya

RC Mbeya Juma Homera Awahimiza Wafungwa wa Gereza la Ruanda Kujifunza Ujuzi kwa Maisha Bora Uraiani

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJanuary 4, 2025No Comments2 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mkuu wa Mbeya Cde: Juma Z. Homera ametembelea Gereza la Ruanda lililoko Jijini Mbeya na Kuzungumza na wafungwa ikiwa ni Pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili.

RC Homera amewaasa wafungwa hao kuhakikisha wanajifunza ujuzi mbalimbali wawapo hapo ili watakapopata ridhaa ya kurudi uraiani wautumie kuendesha maisha yao na kuwa walimu wa wengine.

Awali Wakieleza Maombi yao kwa RC Homera wamemuomba awahimize Viongozi wa Serikali kufika gerezani hapo kuwatembelea kwakuwa kufika Kwao wao hupata faraja kuu na kuamini kuwa serikali iko pamoja nao.
“Tunakushukuru sana kwa kuja Mkuu wa Mkoa Mimi nimefika hapa 2015 sijawahi kuona Kiongozi Mkubwa anakuja kututembelea, ujio wako tuna imani kuwa liko tumaini kubwa mbele yetu” amesema mmoja wa Wafungwa.

Mbali na hayo wafungwa pia wamemuomba RC Homera kuwasaidia kumleta Dkt: Tulia Ackson spika wa bunge la Tanzania na mbunge wa Mbeya Mjini kadharika Mganga Mkuu wa Mkoa.

“Mh: tusaidie kumuomba Rais wa mabunge Duniani na Spika Dkt: Tulia Ackson aje atutembelee maana yule ndio Mbunge wetu hata kama hatutokei hapa lakini tayari tuko kwenye Ardhi yake aje atuone”

“Pia Mganga mkuu wa mkoa tunamuomba aje atuone maana tunayo mengi ya kuzungumza naye hasa kuhusu magonjwa mbalimbali yanayotusibu”

Baada ya kusikiliza changamoto hizo Mkuu wa Mkoa ameahidi kuyatendea kazi kwa haraka hasa kuwaleta Viongozi wote sawasawa na maombi yao.

Lakini pia ametoa Kiasi Cha Shilingi Milioni Moja kwaajiri ya Kununua Chakula (nyama) Msaada ambao umeambatana na magodoro yaliyotolewa naM/kit UVCCM Mkoa wa Mbeya Yasin Ngonyani kwa Kushirikiana na mfanyabiashara Achimwene.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Rais Dkt Samia aongoza kikao kazi cha Mawaziri Naibu Mawaziri Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu

November 19, 2025

Ikulu Dodoma: Rais Samia Azungumza na Mawaziri Baada ya Kuwaapisha

November 18, 2025

DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI

November 17, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025226

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025127
Don't Miss
Video Mpya

Rais Dkt Samia aongoza kikao kazi cha Mawaziri Naibu Mawaziri Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu

By Mbeya YetuNovember 19, 20250

Rais Dkt. Samia aongoza kikao kazi cha Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu, tarehe 19 Novemba, 2025, Ikulu Chamwino, Dodoma.

Safari ya kurejesha hamu ya tendo la ndoa kwa Zuhura iliyofanikiwa

November 19, 2025

Kutoka kusota hadi usukani wenye utajiri

November 18, 2025

Ikulu Dodoma: Rais Samia Azungumza na Mawaziri Baada ya Kuwaapisha

November 18, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Rais Dkt Samia aongoza kikao kazi cha Mawaziri Naibu Mawaziri Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu

November 19, 2025

Safari ya kurejesha hamu ya tendo la ndoa kwa Zuhura iliyofanikiwa

November 19, 2025

Kutoka kusota hadi usukani wenye utajiri

November 18, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025226

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.