Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Ni mara ya kwanza kupata mkataba mnono wa ujenzi

December 4, 2025

Ndipo siku hiyo akashinda Sh17 milioni ya Jackpot

December 4, 2025

MAHUNDI ATIMIZA AHADI YA VIFAA VYA UJENZI WA OFISI YA TAWI LA SIMBA

December 4, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Ni mara ya kwanza kupata mkataba mnono wa ujenzi
  • Ndipo siku hiyo akashinda Sh17 milioni ya Jackpot
  • MAHUNDI ATIMIZA AHADI YA VIFAA VYA UJENZI WA OFISI YA TAWI LA SIMBA
  • MBOGA IMEIVA! Wadau Wapiga Jeki Mbao 300+ Kwa Nyumba ya Katibu wa Wazazi
  • PATARI SHIDA PATARI AWAASA MADIWANI: “TUJENGE MBEYA VIJIJINI KWA PAMOJA”
  • KAULI MPYA KUTOKA CCM KYELA,FEDHA ZIMETOKA AU ZIMEUNGUA ,UCHUNGUZI UNAENDELEA.
  • KATIBU MKUU KIONGOZI ZENA AHMED AFUNGUA MKUTANO WA WAJIOLOJIA MBEYA
  • MBEYA UWSA YAZINDUA GARI JIPYA LA UTOAJI WA HUDUMA YA KUONDOSHA MAJITAKA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » RC. Homera. Aitia Kizuizini Kampuni ya Mbembati kwa Kushindwa Kuwalipa Wakulima wa Parachichi
Video Mpya

RC. Homera. Aitia Kizuizini Kampuni ya Mbembati kwa Kushindwa Kuwalipa Wakulima wa Parachichi

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJanuary 24, 2025No Comments7 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde: Juma Z. Homera ameitia kizuizini kampuni ya Mbembati inayojihuosisha na ununuzi wa zao la Parachichi wilayani Rungwe kwa kushindwa kuwalipa Wakulima waliomuuzia Matunda ya zao hilo na ameitaka kampuni hiyo kuzilipa Fedha zote ndani ya masaa 48, Laa sivyo itaendelea Kuwekwa kizuizini chini ya Jeshi la Polisi.

Ni Baada ya RC Homera kuendesha Kikao Maalumu kilichowakutanisha Wakulima wa zao la Parachichi, wanunuzi na Wadau wa zao hilo Kutoka Halmashauri ya Rungwe na Busokelo na kukutana na malalamiko makubwa Kutoka kwa Wakulima juu ya kutolipwa Fedha zao Kutoka kwa wanunuzi wa zao la Parachichi.

Aidha amelaani Vikali vitendo hivyo na kuvitaja kama vitendo vya kikatili hasa kwa makampuni ya ununuzi kudhulumu kipato Cha Wakulima wanaotoa Jasho lao kuzipambania familia zao huku wao(wanunuzi) wakiishi Maisha Mazuri.

Makampuni mengine yanayodaiwa na Wakulima ni Pamoja na Monac, Kampuni ya Josia Kakenje,Avo Africa, Kampuni ya Kuza.

Kufuatia hilo RC Homera ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa Kushirikiana na Jeshi la Polisi kuwasaka na kuwakamata wanunuzi wote wanaotuhumiwa na Wakulima ili walete Maelezo haraka ya lini watazilipa Fedha hizo.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MAHUNDI ATIMIZA AHADI YA VIFAA VYA UJENZI WA OFISI YA TAWI LA SIMBA

December 4, 2025

MBOGA IMEIVA! Wadau Wapiga Jeki Mbao 300+ Kwa Nyumba ya Katibu wa Wazazi

December 3, 2025

PATARI SHIDA PATARI AWAASA MADIWANI: “TUJENGE MBEYA VIJIJINI KWA PAMOJA”

December 3, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025245

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025128
Don't Miss
Uncategorized

Ni mara ya kwanza kupata mkataba mnono wa ujenzi

By Mbeya YetuDecember 4, 20251

Kutana na Ramadhan, kijana kutoka maeneo ya Mikocheni B jijini Dar es Salaam, alikuwa fundi…

Ndipo siku hiyo akashinda Sh17 milioni ya Jackpot

December 4, 2025

MAHUNDI ATIMIZA AHADI YA VIFAA VYA UJENZI WA OFISI YA TAWI LA SIMBA

December 4, 2025

MBOGA IMEIVA! Wadau Wapiga Jeki Mbao 300+ Kwa Nyumba ya Katibu wa Wazazi

December 3, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Ni mara ya kwanza kupata mkataba mnono wa ujenzi

December 4, 2025

Ndipo siku hiyo akashinda Sh17 milioni ya Jackpot

December 4, 2025

MAHUNDI ATIMIZA AHADI YA VIFAA VYA UJENZI WA OFISI YA TAWI LA SIMBA

December 4, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025245

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.