Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

BAKWATA YATOA TAMKO JUU YA MATUKIO YA OKT 29 SIKU YA UCHAGUZI MKUU LASOMWA KWA WAISLAMU NCHI NZIMA

November 14, 2025

Nilivyofanikiwa Kuacha Kukasirika Haraka na Kuishi Kwa Amani na Watu

November 14, 2025

Nilivyopata Upendo wa Kweli Baada ya Miaka ya Kutumiwa na Kuumizwa

November 14, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • BAKWATA YATOA TAMKO JUU YA MATUKIO YA OKT 29 SIKU YA UCHAGUZI MKUU LASOMWA KWA WAISLAMU NCHI NZIMA
  • Nilivyofanikiwa Kuacha Kukasirika Haraka na Kuishi Kwa Amani na Watu
  • Nilivyopata Upendo wa Kweli Baada ya Miaka ya Kutumiwa na Kuumizwa
  • Rais Samia Atoa Msamaha kwa Waliojiingiza Kwenye Machafuko Bila Kudhamiria
  • Dkt. Samia Amuapisha Dkt. Mwigulu: Tanzania Yapata Waziri Mkuu Mpya
  • Nilivyofanikiwa Kumaliza Migogoro ya Urithi Kati ya Ndugu Bila Kufika Mahakamani
  • Waziri Mkuu Mteule Dk. Mwigulu Aahidi Kazi, Nidhamu na Uwajibikaji
  • Nilivyogundua Sababu ya Kukosa Raha Kila Wakati wa Tendo la Ndoa na Jinsi Nilivyopona Bila Dawa
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » SERIKALI YARIDHISHWA NA UJENZI WA BARABARA ZA MTILI–IFWAGI NA WENDA–MGAMA
Habari za Kitaifa

SERIKALI YARIDHISHWA NA UJENZI WA BARABARA ZA MTILI–IFWAGI NA WENDA–MGAMA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJanuary 30, 2025No Comments40 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

#Mkandarasi barabara ya Ilula Image-Ilambo atakiwa kurejea kazini mara moja

Iringa

Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff, amesema serikali inaridhishwa na kazi zinayofanywa na wakandarasi wanaojenga barabara za Mtili – Ifwagi (Km. 14) na Wenda – Mgama (Km. 19) ambazo zinagharimu bilioni 52.

Barabara hizo zinajengwa chini ya mradi wa RISE, unaofadhiliwa kupitia mkopo nafuu kutoka Benki ya Dunia, ukiwa na lengo la kurahisisha usafirishaji wa mazao ya misitu, mboga mboga, chai, na mazao mengine kutoka mashambani hadi sokoni kwa wakati.

Akizungumza baada ya kuongoza kamati zinazohusika na usimamizi wa mradi huo katika ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi, Mhandisi Seff amesema miradi hiyo ipo katika hatua nzuri na akawataka wakandarasi kuhakikisha wanakamilisha kazi kwa wakati uliopangwa ili kuboresha huduma kwa wananchi.

Aidha, amewataka wananchi wanaoishi karibu na maeneo ya miradi kuwa walinzi wa kwanza wa barabara hizo ili kuzuia hujuma na wizi unaofanywa na watu wasio waaminifu, jambo ambalo limekuwa likisababisha hasara kwa serikali na kuhatarisha usalama wa miradi hiyo.

Katika hatua nyingine, Mhandisi Seff ameagiza mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa barabara ya Ilula Image – Ilambo (Km. 40) kurejea kazini mara moja ili kukamilisha kazi hiyo na kuondoa vikwazo vya mawasiliano vilivyopo kwenye barabara hiyo.

Serikali inaendelea kusimamia kwa karibu utekelezaji wa miradi hii ili kuhakikisha wananchi wananufaika kwa wakati na miundombinu inaboreshwa kwa ufanisi.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

VIONGOZI WA BARAZA KUU LA WAISLAMU BAKWATA MKOA WA MBEYA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI SHULE YA SEKONDARI YA KIISLAMU JIJINI MBEYA.

November 9, 2025

TUME YATANGAZA WABUNGE 115 WA VITI MAALUM

November 7, 2025

TUME YATOA MAELEKEZO YA KISERA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025

October 23, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025229

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025219

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025127
Don't Miss
Video Mpya

BAKWATA YATOA TAMKO JUU YA MATUKIO YA OKT 29 SIKU YA UCHAGUZI MKUU LASOMWA KWA WAISLAMU NCHI NZIMA

By Mbeya YetuNovember 14, 20252

#mbeyayetutv

Nilivyofanikiwa Kuacha Kukasirika Haraka na Kuishi Kwa Amani na Watu

November 14, 2025

Nilivyopata Upendo wa Kweli Baada ya Miaka ya Kutumiwa na Kuumizwa

November 14, 2025

Rais Samia Atoa Msamaha kwa Waliojiingiza Kwenye Machafuko Bila Kudhamiria

November 14, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

BAKWATA YATOA TAMKO JUU YA MATUKIO YA OKT 29 SIKU YA UCHAGUZI MKUU LASOMWA KWA WAISLAMU NCHI NZIMA

November 14, 2025

Nilivyofanikiwa Kuacha Kukasirika Haraka na Kuishi Kwa Amani na Watu

November 14, 2025

Nilivyopata Upendo wa Kweli Baada ya Miaka ya Kutumiwa na Kuumizwa

November 14, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025229

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025219

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.