Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

December 6, 2025

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025

MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI

December 6, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA
  • Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana
  • MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI
  • Hofu yake zilianza kuathiri hata furaha ya ndoa yake
  • MASACHE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUSHIKILIA AMANI
  • MH. MASACHE: TUENDELEE KUISIMAMIA MIRADI ILIYOKUWEPO NA KUIBUA MIPYA AWASHUKURU WANA CHUNYA
  • MH. NOAH MWAKISU AAPISHWA RASMI KUWA DIWANI KATA YA ILOMBA
  • Dourmohamed Issa ashinda kwa kishindo Umeya na kutetea nafasi yake
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » WATENDAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA TANGA, PWANI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI
Habari za Kitaifa

WATENDAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA TANGA, PWANI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuFebruary 2, 20253 Comments0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya
Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa watendaji wa uboreshaji Mkoa wa Tanga yaliyoanza leo Februari 02,2025 na yatakayomalizika Februari 03,2025. 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa watendaji wa uboreshaji Mkoa wa Tanga yaliyoanza leo Februari 02,2025 na yatakayomalizika Februari 03,2025.

Mjumbe wa Tume, Mhe. Magdalena Rwebangira akiwa akita mkutano huo.

 

Washiriki wa mafunzo hayo ambao ni Mratibu wa Uandikishaji Mkoa,Maafisa Uandikishaji,Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi,Maafisa Ugavi na Maafisa Tehama wa Halmashauri wakifuatilia hotuba ya ufunguzi.

 

Washiriki wa mafunzo hayo ambao ni Mratibu wa Uandikishaji Mkoa,Maafisa Uandikishaji,Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi,Maafisa Ugavi na Maafisa Tehama wa Halmashauri wakifuatilia hotuba ya ufunguzi.

 

Na. Mwandishi Wetu
Watendaji wa uboreshaji wa
Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Tanga na Pwani wametakiwa kufanya kazi kwa
weledi, bidii na moyo wa kujituma ili kufanikisha zoezi hilo.


Mwenyekiti wa Tume Huru ya
Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele ametoa wito huo jijini
Tanga, mkoani Tanga leo Februari 02, 2025 wakati akifungua mafunzo ya watendaji
wa uboreshaji wa daftari ngazi ya mkoa, mkoani humo.

“Baadhi yenu mlibahatika
kushiriki katika kuratibu na kusimamia utekelezaji wa shughuli mbalimbali za
Tume ikiwemo uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika awamu
zilizopita. Kwa kutumia uzoefu mlionao na mafunzo mtakayopatiwa, ninaamini
mtafanya kazi zenu kwa weledi, bidii na moyo wa kujituma ili kufanikisha zoezi
hili,” Jaji Mwambegele amewaambia watendaji hao.

Amewataka  kutumia uzoefu walionao kuwasaidia wenzao
ambao hawakuwahi kushiriki katika zoezi kama hilo ili waweze kutekeleza
majukumu yao kikamilifu.

Akifungua mafunzo kama hayo
Mkoani Pwani, Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji
Rufaa (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk amewaasa watendaji hao kutekeleza majukumu
yao kwa umakini katika kila eneo ikiwemo utunzaji wa vifaa vya uandikishaji.

“Ni muhimu kutekeleza
majukumu yenu kwa umakini katika kila eneo ikiwemo utunzaji wa vifaa vya
uandikishaji hasa ikizingatiwa kuwa, vifaa hivi vimenunuliwa kwa gharama kubwa
sana na vinatarajiwa kutumika katika maeneo mengine ya uandikishaji nchini,” amesema
Jaji Mbarouk.

Ameongeza kuwa kutokuwa
makini katika utunzaji wa vifaa hivyo kutapelekea athari kubwa katika
ukamilishaji wa zoezi hilo muhimu, na kwamba wana wajibu wa kuzingatia
maelekezo yote yatakayotolewa na Tume ili waweze kuyafanyia kazi wakati zoezi hilo
la uboreshaji wa daftari litakapokuwa limeanza kwenye maeneo yao.

Uboreshaji wa Daftari la
Kudumu la Wapiga Kura utafanyika mkoani Tanga na Pwani kwa siku saba kuanzia
tarehe 13 hadi 19 Februari, 2025 ambapo vituo vitakuwa vinafunguliwa saa 02:00
asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni.

Zoezi hilo ambalo
lilizinduliwa mkoani Kigoma mwezi Julai, 2024 limeshakamilika kwenye mikoa 25 ambayo
ni Kigoma, Tabora, Katavi, Geita, Kagera, Mwanza, Shinyanga, Mara, Simiyu,
Manyara, Dodoma, Singida, Mjini Magharibi, Kusini Unguja, Kaskazini Unguja,
Kusini Pemba, Kaskazini Pemba, Arusha, Kilimanjaro, Mbeya, Iringa, Rukwa,
Songwe, Njombe na Ruvuma.
Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI

December 6, 2025

MH. MAHUNDI: Serikali Yaendelea Kuimarisha Mazingira Wezeshi kwa Biashara za Wanawake Dodoma

November 28, 2025

MIKOPO IWE CHACHU YA KUKUA KIUCHUMI NA KUZITUNZA FAMILIA ZENU – MHE. MARYPRISCA

November 28, 2025

3 Comments

  1. John on February 14, 2025 10:51 am

    NJWgJanJ JjtLp WGgzU gpN

    Reply
  2. ✒ + 0.75613514 BTC.NEXT - https://telegra.ph/Binance-Support-02-18?hs=b53d13e2149bb079573d756937b3a368& ✒ on February 18, 2025 11:14 pm

    6rw54i

    Reply
  3. 🔏 Reminder: + 1,600849 bitcoin. Receive > https://graph.org/Message--05654-03-25?hs=b53d13e2149bb079573d756937b3a368& 🔏 on April 3, 2025 2:18 am

    8s68f2

    Reply

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025246

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025128
Don't Miss
Video Mpya

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

By Mbeya YetuDecember 6, 20251

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025

MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI

December 6, 2025

Hofu yake zilianza kuathiri hata furaha ya ndoa yake

December 6, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

December 6, 2025

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025

MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI

December 6, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025246

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.