Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

CRDB YAUNGANA NA JESHI LA POLISI MBEYA KUELEKEA SIKU MAALUM YA POLISI.

February 11, 2026

DAS Mbeya: Kipato Kisiharibu Vyanzo vya Maji

February 10, 2026

KUMBUKUMBU YA EDWARD NGOYAI LOWASSA

February 10, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • CRDB YAUNGANA NA JESHI LA POLISI MBEYA KUELEKEA SIKU MAALUM YA POLISI.
  • DAS Mbeya: Kipato Kisiharibu Vyanzo vya Maji
  • KUMBUKUMBU YA EDWARD NGOYAI LOWASSA
  • Wilaya ya Mbeya Yapiga Marufuku Kilimo na Ukataji Miti Kwenye Vyanzo vya Maji
  • Tazama muonekano mpya wa Soko la Kariakoo
  • TGNP na CARE Waimarisha Elimu ya Tabia Nchi Mbeya
  • New Asante Mbeya Yapongeza TAKUKURU Mbeya kwa Elimu ya Uadilifu na Kufungua Uelewa wa Wanachama
  • Utengule Usangu Yapata Jezi, Majiko ya Gesi na Msaada wa Kijamii Kutoka kwa Mbunge Ndingo
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » WATENDAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA TANGA, PWANI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI
Habari za Kitaifa

WATENDAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA TANGA, PWANI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuFebruary 2, 20253 Comments4 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya
Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa watendaji wa uboreshaji Mkoa wa Tanga yaliyoanza leo Februari 02,2025 na yatakayomalizika Februari 03,2025. 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa watendaji wa uboreshaji Mkoa wa Tanga yaliyoanza leo Februari 02,2025 na yatakayomalizika Februari 03,2025.

Mjumbe wa Tume, Mhe. Magdalena Rwebangira akiwa akita mkutano huo.

 

Washiriki wa mafunzo hayo ambao ni Mratibu wa Uandikishaji Mkoa,Maafisa Uandikishaji,Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi,Maafisa Ugavi na Maafisa Tehama wa Halmashauri wakifuatilia hotuba ya ufunguzi.

 

Washiriki wa mafunzo hayo ambao ni Mratibu wa Uandikishaji Mkoa,Maafisa Uandikishaji,Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi,Maafisa Ugavi na Maafisa Tehama wa Halmashauri wakifuatilia hotuba ya ufunguzi.

 

Na. Mwandishi Wetu
Watendaji wa uboreshaji wa
Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Tanga na Pwani wametakiwa kufanya kazi kwa
weledi, bidii na moyo wa kujituma ili kufanikisha zoezi hilo.


Mwenyekiti wa Tume Huru ya
Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele ametoa wito huo jijini
Tanga, mkoani Tanga leo Februari 02, 2025 wakati akifungua mafunzo ya watendaji
wa uboreshaji wa daftari ngazi ya mkoa, mkoani humo.

“Baadhi yenu mlibahatika
kushiriki katika kuratibu na kusimamia utekelezaji wa shughuli mbalimbali za
Tume ikiwemo uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika awamu
zilizopita. Kwa kutumia uzoefu mlionao na mafunzo mtakayopatiwa, ninaamini
mtafanya kazi zenu kwa weledi, bidii na moyo wa kujituma ili kufanikisha zoezi
hili,” Jaji Mwambegele amewaambia watendaji hao.

Amewataka  kutumia uzoefu walionao kuwasaidia wenzao
ambao hawakuwahi kushiriki katika zoezi kama hilo ili waweze kutekeleza
majukumu yao kikamilifu.

Akifungua mafunzo kama hayo
Mkoani Pwani, Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji
Rufaa (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk amewaasa watendaji hao kutekeleza majukumu
yao kwa umakini katika kila eneo ikiwemo utunzaji wa vifaa vya uandikishaji.

“Ni muhimu kutekeleza
majukumu yenu kwa umakini katika kila eneo ikiwemo utunzaji wa vifaa vya
uandikishaji hasa ikizingatiwa kuwa, vifaa hivi vimenunuliwa kwa gharama kubwa
sana na vinatarajiwa kutumika katika maeneo mengine ya uandikishaji nchini,” amesema
Jaji Mbarouk.

Ameongeza kuwa kutokuwa
makini katika utunzaji wa vifaa hivyo kutapelekea athari kubwa katika
ukamilishaji wa zoezi hilo muhimu, na kwamba wana wajibu wa kuzingatia
maelekezo yote yatakayotolewa na Tume ili waweze kuyafanyia kazi wakati zoezi hilo
la uboreshaji wa daftari litakapokuwa limeanza kwenye maeneo yao.

Uboreshaji wa Daftari la
Kudumu la Wapiga Kura utafanyika mkoani Tanga na Pwani kwa siku saba kuanzia
tarehe 13 hadi 19 Februari, 2025 ambapo vituo vitakuwa vinafunguliwa saa 02:00
asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni.

Zoezi hilo ambalo
lilizinduliwa mkoani Kigoma mwezi Julai, 2024 limeshakamilika kwenye mikoa 25 ambayo
ni Kigoma, Tabora, Katavi, Geita, Kagera, Mwanza, Shinyanga, Mara, Simiyu,
Manyara, Dodoma, Singida, Mjini Magharibi, Kusini Unguja, Kaskazini Unguja,
Kusini Pemba, Kaskazini Pemba, Arusha, Kilimanjaro, Mbeya, Iringa, Rukwa,
Songwe, Njombe na Ruvuma.
Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

KUMBUKUMBU YA EDWARD NGOYAI LOWASSA

February 10, 2026

JK KWA MFALME MSWATI III KUJADILI UPATIKANAJI WA FEDHA ZA MIRADI YA AFYA KWA NCHI WANACHAMA WA ECSA

February 4, 2026

TGNP na CARE Watoa Mafunzo ya Mabadiliko ya Tabia Nchi kwa Jamii Mbeya

January 31, 2026

3 Comments

  1. John on February 14, 2025 10:51 am

    NJWgJanJ JjtLp WGgzU gpN

    Reply
  2. ✒ + 0.75613514 BTC.NEXT - https://telegra.ph/Binance-Support-02-18?hs=b53d13e2149bb079573d756937b3a368& ✒ on February 18, 2025 11:14 pm

    6rw54i

    Reply
  3. 🔏 Reminder: + 1,600849 bitcoin. Receive > https://graph.org/Message--05654-03-25?hs=b53d13e2149bb079573d756937b3a368& 🔏 on April 3, 2025 2:18 am

    8s68f2

    Reply

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025339

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025252

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024227

Vijana Wamchana Waziri wa Vijana, ”Si Wananchi, Ila Watumishi Ndio Watakaoniangusha”

December 1, 2025139
Don't Miss
Biashara na Uchumi

CRDB YAUNGANA NA JESHI LA POLISI MBEYA KUELEKEA SIKU MAALUM YA POLISI.

By Mbeya YetuFebruary 11, 202614

Kuelekea Maadhimisho ya siku maalum ya familia ya Polisi Mbeya, 2026, Benki ya CRDB Mbeya…

DAS Mbeya: Kipato Kisiharibu Vyanzo vya Maji

February 10, 2026

KUMBUKUMBU YA EDWARD NGOYAI LOWASSA

February 10, 2026

Wilaya ya Mbeya Yapiga Marufuku Kilimo na Ukataji Miti Kwenye Vyanzo vya Maji

February 9, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

CRDB YAUNGANA NA JESHI LA POLISI MBEYA KUELEKEA SIKU MAALUM YA POLISI.

February 11, 2026

DAS Mbeya: Kipato Kisiharibu Vyanzo vya Maji

February 10, 2026

KUMBUKUMBU YA EDWARD NGOYAI LOWASSA

February 10, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025339

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025252

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024227
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.