Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Kijana Golden Kidumba (DON. G) Awagusa Watoto wa Mitaani kwa Chakula na Mavazi

November 19, 2025

Biashara ya mbao ilivyobadili maisha yake ikimpa utajiri

November 19, 2025

Rais Dkt Samia aongoza kikao kazi cha Mawaziri Naibu Mawaziri Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu

November 19, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Kijana Golden Kidumba (DON. G) Awagusa Watoto wa Mitaani kwa Chakula na Mavazi
  • Biashara ya mbao ilivyobadili maisha yake ikimpa utajiri
  • Rais Dkt Samia aongoza kikao kazi cha Mawaziri Naibu Mawaziri Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu
  • Safari ya kurejesha hamu ya tendo la ndoa kwa Zuhura iliyofanikiwa
  • Kutoka kusota hadi usukani wenye utajiri
  • Ikulu Dodoma: Rais Samia Azungumza na Mawaziri Baada ya Kuwaapisha
  • Alivyokabiliana na changamoto ya ukosefu wa hamu ya tendo hadi kuishinda
  • DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa
Matukio ya Kijamii

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

Mbeya YetuBy Mbeya YetuFebruary 7, 2025Updated:February 7, 2025No Comments226 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
business people shaking hands and Give an under-the-table bribe to an attorney to help a lawyer win a court case. Bribery and Kickback Ideas Fraud and Fraud
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email
justice and law concept. Close-up Of male lawyer working in office. Legal law, advice and justice concept.

Kutokana na baadhi ya watendaji wa Mahakama kutokuwa waaminifu na kuamua kupokea rushwa, jambo hilo limepelekea baadhi ya watu kushindwa kupata haki wanayostahili katika chombo hicho muhimu.

Hapa duniani kuna watu wanasifika kwa kutumia fedha zao kwa kuhonga Mawakili na Majaji ili washinde kesi na wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa hadi kufikia hatua wengi sana.

Jina langu ni Mohamed, naishi Nakuru Kenya, miaka kama miwili iliyopita niliajiriwa katika kiwanda kimoja cha kuzalisha Cement, kazi hii ilikuwa ni ngumu sana kiasi kwamba kila mara vijana wengi walikuwa wakiacha kazi.

Mimi nilivumilia kutokana nilikuwa na shida sana na fedha, maisha yangu yalikuwa ni magumu sana na familia ilikuwa inanitegemea sana kiasi kwamba sikuwa namna yoyote zaidi ya kufanya kazi hiyo.

Baada ya kumaliza mwezi wa kwanza kazini nilishangaa napewa malipo nusu, nilipoulizwa nikaambiwa kuwa malipo mengine nitamaliziwa mwezi unaofuata.

Hata hivyo, mwezi uliofuata sikulipwa kabisa, niliulizia baadhi ya wafanyakazi wenzangu kama na wao wamelipwa fedha wakasema hapana.

Katika kupeleleza kwangu nilikuja kugundua ofisi ile imekuwa na utaratibu wa kutolipa wafanyakazi na hata ukienda Makamani wanatoa rushwa na mdai hupati kitu chochote kile, tena wewe ndio unaonekana ni mbaya.

Nilimueleza rafiki yangu hilo akaniambia niwasiliane na mtu anaitwa Dr Bokko atanisaidia pindi nitakapoenda kufungua kesi Mahakamani kudai haki yangu. Alinipatia namba ya Dr Dr Bokko ambayo ni +255618536050.

Baada ya kuongea naye kwa simu alinihakikishia nitaenda kushinda kesi hiyo bila tabu. Basi nikafungua kesi, wafanyakazi wenzangu walishangaa huku wengine wakisema sitapata kitu kwani wapo wengi waliofanya hivyo lakini hakufanikiwa.

Kesi ilianza na kuchukua muda wa miezi sita hadi kumalizika, siwezi sahahu pale Jaji alipotamka mimi ndiye mshindi na ile kampuni inilipe fedha zangu zote pamoja na pamoja na fidia.

Watu wengi hawakuamini jinsi nilivyowagaragaza Mahakamani kibabe, siri ya ushindi wangu ni Dr Bokko.

Rafiki zangu walikuja nyumbani kunipongeza na kuniambia uthubutu nilionyesha ni mkubwa ajabu na umewatoa uoga vijana wengi, niliwaambia wanapoona hawatendewi haki sehemu yoyote wasiogope kwenda kwenye vyombo vya sheria kwani usadizi upo wa kutosha.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Kutoka kuchunga ng’ombe hadi kushinda Sh27.4 milioni ya jackpot

August 29, 2025

Spika wa Bunge la Tanzania aongoza Waombolezaji kutoa Rambirambi kwa Kifo cha Katibu wa Bunge la Zambia

April 8, 2025

Wezi waliopora Sh16 milioni dukani wazingira na nyuki mikononi!

February 20, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025226

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025127
Don't Miss
Video Mpya

Kijana Golden Kidumba (DON. G) Awagusa Watoto wa Mitaani kwa Chakula na Mavazi

By Mbeya YetuNovember 19, 20251

Kijana Golden Kidumba, maarufu kama DON. G, amewagusa watoto wa mitaani kwa kuwapatia chakula, kuwanunulia nguo na kutumia muda wa siku nzima akiwa nao, ikiwa ni sehemu ya jitihada zake za kuikumbuka jamii aliyotokea.

Golden, mzaliwa na mkazi wa zamani wa Njombe, anasema maisha magumu aliyoyapitia utotoni ndiyo yamemfanya kuwa na moyo wa huruma na kujitoa kwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.

“Nimekulia kwenye maisha magumu sana. Lakini namshukuru Mungu kwa kunibariki na kunifanya niweze kuwakumbuka hawa wadogo zangu wa mitaani. Nimekula nao, nimesherehekea nao na pia nimewanunulia nguo ili wajisikie wanathaminiwa kama watoto wengine,” amesema DON. G.

Amesema kusaidia watoto wa mitaani si tukio la leo pekee, bali ni jambo alilolianza miaka kadhaa iliyopita, ikiwemo kutembelea hospitali na kuwasaidia watu wenye uhitaji.

Golden ameweka wazi kuwa ndoto yake ya baadaye ni kuanzisha taasisi ya msaada na hata kujenga shule maalum kwa ajili ya watoto hao, ili kuwapa elimu, malezi na fursa za kuanza maisha mapya.

Baadhi ya watoto wa mitaani waliopokea msaada huo wameeleza machungu ya maisha yao, ikiwemo vipigo, njaa, manyanyaso na mara nyingi kudharauliwa kama wahalifu bila kujua historia zao.

Kijana Brian Edwin, anayelelewa katika kituo cha Mtama, amesema:
“Maisha ya mitaani ni magumu. Tunapigwa, tunanyanyaswa na tunaishi bila uhakika. Lakini leo tumepata faraja kubwa kutoka kwa DON. G. Mungu ambariki.”

Wengine kama Anody Nyondo na Gifty wameeleza jinsi walivyokimbia nyumbani kutokana na migogoro ya kifamilia na manyanyaso, hali iliyowalazimu kuingia mitaani.

Watoto hao wameiomba jamii na serikali kutowatenga, bali kuwaona kama watoto wanaohitaji msaada na si wahalifu.

Golden ameendelea kutoa wito huo huo:
“Tusishikilie mali bila sababu. Tukiondoka duniani, hatuchukui chochote. Tuwakumbuke watoto wa mitaani; wanahitaji upendo na msaada wetu.”

Biashara ya mbao ilivyobadili maisha yake ikimpa utajiri

November 19, 2025

Rais Dkt Samia aongoza kikao kazi cha Mawaziri Naibu Mawaziri Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu

November 19, 2025

Safari ya kurejesha hamu ya tendo la ndoa kwa Zuhura iliyofanikiwa

November 19, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Kijana Golden Kidumba (DON. G) Awagusa Watoto wa Mitaani kwa Chakula na Mavazi

November 19, 2025

Biashara ya mbao ilivyobadili maisha yake ikimpa utajiri

November 19, 2025

Rais Dkt Samia aongoza kikao kazi cha Mawaziri Naibu Mawaziri Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu

November 19, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025226

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.