Wafanyabiashara mkoani Mbeya wameiomba Serikali kuwapandisha vyeo maafisa wa Mamlaka ya mapato nchini kwa kigezo cha kuzalisha idadi kubwa ya walipa kodi badala ya kutumia kigezo cha kiwango kikubwa cha ukusanyaji mapato hali hiyo kimekuwa chanzo cha biashara nyingi kufa huku wakiomba kufanyika marekebisho ya sharia na kupunguza utitiri wa tozo ili kila mfanyabiashara awezi kulipa wa kwa hiari.
Trending
- Dkt. Shein Awataka Wahitimu wa Mzumbe Mbeya Kujituma kwa Uadilifu na Kulitumikia Taifa
- Sasa chumba chao kimejaa mapenzi na furaha!
- Ingawa alikuwa msomi, alijisalimisha ili apate kazi
- Mbeya Zonal: Mafunzo ya Dharura Yaendelea Kuimarisha Uokozi Kanda ya Nyanda za Juu Kusini
- WILAYA YA RUNGWE YAMKABIDHI RASMI MKANDARASI WA KAGWA GENERAL SUPPLIES KUANZA KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA KIWILA
- *DKT. MWIGULU AWAONYA WAVUNJIFU WA SHERIA*
- WILAYA YA RUNGWE YAMKABIDHI RASMI MKANDARASI WA KAGWA GENERAL SUPPLIES KUANZA KUJENGA SOKO LA NDIZI
- Karejesha tabasamu la uso wake na ndoa yake

