Wafanyabiashara mkoani Mbeya wameiomba Serikali kuwapandisha vyeo maafisa wa Mamlaka ya mapato nchini kwa kigezo cha kuzalisha idadi kubwa ya walipa kodi badala ya kutumia kigezo cha kiwango kikubwa cha ukusanyaji mapato hali hiyo kimekuwa chanzo cha biashara nyingi kufa huku wakiomba kufanyika marekebisho ya sharia na kupunguza utitiri wa tozo ili kila mfanyabiashara awezi kulipa wa kwa hiari.
Trending
- MASACHE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUSHIKILIA AMANI
- MH. MASACHE: TUENDELEE KUISIMAMIA MIRADI ILIYOKUWEPO NA KUIBUA MIPYA AWASHUKURU WANA CHUNYA
- MH. NOAH MWAKISU AAPISHWA RASMI KUWA DIWANI KATA YA ILOMBA
- Dourmohamed Issa ashinda kwa kishindo Umeya na kutetea nafasi yake
- Ni mara ya kwanza kupata mkataba mnono wa ujenzi
- Ndipo siku hiyo akashinda Sh17 milioni ya Jackpot
- MAHUNDI ATIMIZA AHADI YA VIFAA VYA UJENZI WA OFISI YA TAWI LA SIMBA
- MBOGA IMEIVA! Wadau Wapiga Jeki Mbao 300+ Kwa Nyumba ya Katibu wa Wazazi

