Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilivyorejesha Uhuru Wangu Kitandani Baada ya Miaka ya Kuishi Bila Hamu Wala Hisia

January 7, 2026

Nilivyopambana na Baby Mama Aliyenigeuza Mfadhili Pekee Bila Haki, Mpaka Hatimaye Nikaweza Kuwa Karibu na Watoto Wangu Tena

January 7, 2026

NMB Yaimarisha Ushirikiano na Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya

January 7, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilivyorejesha Uhuru Wangu Kitandani Baada ya Miaka ya Kuishi Bila Hamu Wala Hisia
  • Nilivyopambana na Baby Mama Aliyenigeuza Mfadhili Pekee Bila Haki, Mpaka Hatimaye Nikaweza Kuwa Karibu na Watoto Wangu Tena
  • NMB Yaimarisha Ushirikiano na Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya
  • Mbunge Patali Aishukuru Serikali kwa Kuimarisha Miradi ya Maendeleo Mbeya Vijijini
  • MHE. MAHUNDI AWASISITIZA WATOTO WA SHULE YA MAADILISHO IRAMBO KUBADILIKA NA KUJENGA MUSTAKABALI MWEMA
  • Nilikuwa Nikipoteza Pesa Bila Kujua Inakwenda Wapi Uamuzi Ulioninusuru
  • Nilijaribu Kushinda Sport Bet Bila Mafanikio Mwongozo Mmoja Ulinifanya Nilivune Milioni
  • HATIMAYE ASANTE MBEYA WAFANYA MAAMUZI MAGUMU WACHAGUA VIONGOZI TAKUKURU KUSIMAMIA MGAWANYO WA MALI
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » CHUO CHA SAYANSI ZA AFYA K’S ROYAL CHAPONGEZWA KWA JUHUDI ZA KUKUZA UJUZI KWA WANAFUNZI KUKIDHI SOKO LA AJIRA NCHINI
Afya na Ustawi

CHUO CHA SAYANSI ZA AFYA K’S ROYAL CHAPONGEZWA KWA JUHUDI ZA KUKUZA UJUZI KWA WANAFUNZI KUKIDHI SOKO LA AJIRA NCHINI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuFebruary 9, 2025Updated:February 9, 2025No Comments37 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Bodi ya Ushauri ya Chuo cha Sayansi za Afya cha K’s Royal imepata nafasi ya kipekee ya kupongeza uongozi na wafanyakazi wa chuo kwa juhudi zao za kuhakikisha wanafunzi wanapata maarifa na ujuzi wa kisasa ili kuendana na mahitaji ya soko la ajira nchini. Katika kikao cha hivi karibuni, bodi hiyo ilibaini kwamba chuo kimejizatiti katika kuimarisha mitaala na mafunzo ambayo yanajibu moja kwa moja changamoto zinazokabili sekta ya afya nchini.

Akiongea katika kikao kwenye kikao cha uzinduzi wa bodi mpya ya Chuo, Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri, Sr. Shukrani Ndumilla alisema, “Tuna furaha kubwa kuona kwamba chuo cha K’s Royal kinazingatia ubora wa elimu na mafunzo yanayotolewa kwa wanafunzi wake. Hii ni hatua muhimu sana katika kuimarisha sekta ya afya na kuandaa wanachuo kuwa viongozi wa baadaye.”

Nae Mkuu wa Chuo cha K’s Royal Edward Aloyce amesema Wafanyakazi wa chuo hicho wamekuwa wakifanya kazi kwa karibu na wadau mbalimbali, ikiwa ni pamoja na hospitali, vituo vya afya na mashirika yasiyo ya kiserikali, ili kuhakikisha mafunzo yanayotolewa yanazingatia mahitaji halisi ya soko. Chuo pia kina programu za mafunzo kwa vitendo, ambapo wanafunzi wanapata nafasi ya kufanya kazi katika maeneo halisi ya huduma za afya.
Amesema kuwa wanafunzi wanaofuzu kutoka chuo hicho wamekuwa wakifanya vizuri katika soko la ajira, huku wengi wakiteuliwa katika nafasi muhimu katika taasisi mbalimbali za afya. Hii ni ishara tosha ya kazi nzuri inayoendelea kufanywa na chuo hicho.
“Tutendelea kufanya kila posible kuhakikisha kuwa wanafunzi wetu wanapokea elimu bora na mafunzo yanayowafanya wawe tayari kukabiliana na changamoto za sekta ya afya. Tunashirikiana na wadau mbalimbali ili kuboresha mazingira ya kujifunza na kuwapatia wanafunzi ujuzi wanaohitaji.” – Edward

Bodi ya Ushauri imeelekeza wito kwachuo hicho kuendelea kuwa mfano ili kuimarisha ubora wa mafunzo yanayotolewa nchini, na mwisho, kuimarisha sekta ya afya kwa faida ya jamii nzima

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MFANYAKAZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA APATA TUZO YA MWANAFUNZI BORA WA SHAHADA YA UZAMILI YA UDAKTARI WA MENO MUHAS.

December 8, 2025

HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA YAANZA RASMI KUTOA MAFUNZO YA HUDUMA ZA DHARURA KWA LENGO LA KUOKOA MAISHA NA KUPUNGUZA ATHARI ZA AJALI NA DHARURA ZA KIAFYA NYANDA ZA JUU KUSINI

November 26, 2025

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025296

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025239

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024213

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025132
Don't Miss
Uncategorized

Nilivyorejesha Uhuru Wangu Kitandani Baada ya Miaka ya Kuishi Bila Hamu Wala Hisia

By Mbeya YetuJanuary 7, 20261

Miaka mingi nilijikuta nikitumia maisha yangu ya ndoa bila furaha kitandani. Nilikuwa na mume mzuri,…

Nilivyopambana na Baby Mama Aliyenigeuza Mfadhili Pekee Bila Haki, Mpaka Hatimaye Nikaweza Kuwa Karibu na Watoto Wangu Tena

January 7, 2026

NMB Yaimarisha Ushirikiano na Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya

January 7, 2026

Mbunge Patali Aishukuru Serikali kwa Kuimarisha Miradi ya Maendeleo Mbeya Vijijini

January 7, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilivyorejesha Uhuru Wangu Kitandani Baada ya Miaka ya Kuishi Bila Hamu Wala Hisia

January 7, 2026

Nilivyopambana na Baby Mama Aliyenigeuza Mfadhili Pekee Bila Haki, Mpaka Hatimaye Nikaweza Kuwa Karibu na Watoto Wangu Tena

January 7, 2026

NMB Yaimarisha Ushirikiano na Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya

January 7, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025296

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025239

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024213
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.