Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

BABALEVO AINGIA KWENYE 18 ZA SPIKA ZUNGU AKILA KIAPO BUNGENI

November 11, 2025

Nilivyofanikiwa Kuwatoa Watoto Wangu Kwenye Uraibu wa Simu na Kuwarudisha Kwenye Masomo

November 11, 2025

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo

November 10, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • BABALEVO AINGIA KWENYE 18 ZA SPIKA ZUNGU AKILA KIAPO BUNGENI
  • Nilivyofanikiwa Kuwatoa Watoto Wangu Kwenye Uraibu wa Simu na Kuwarudisha Kwenye Masomo
  • Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo
  • Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote
  • Nilivyofanikiwa Kumaliza Migogoro Kati ya Watoto Wangu na Kurudisha Upendo Nyumbani
  • Nilivyopata Kazi Ndoto Zangu Baada ya Kuacha Kusema “Sina Bahati” Kila Wakati
  • VIONGOZI WA BARAZA KUU LA WAISLAMU BAKWATA MKOA WA MBEYA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI SHULE YA SEKONDARI YA KIISLAMU JIJINI MBEYA.
  • Nilivyoshinda Bet Kubwa ya Ligi Kuu Uingereza
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » CHUO CHA SAYANSI ZA AFYA K’S ROYAL CHAPONGEZWA KWA JUHUDI ZA KUKUZA UJUZI KWA WANAFUNZI KUKIDHI SOKO LA AJIRA NCHINI
Afya na Ustawi

CHUO CHA SAYANSI ZA AFYA K’S ROYAL CHAPONGEZWA KWA JUHUDI ZA KUKUZA UJUZI KWA WANAFUNZI KUKIDHI SOKO LA AJIRA NCHINI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuFebruary 9, 2025Updated:February 9, 2025No Comments33 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Bodi ya Ushauri ya Chuo cha Sayansi za Afya cha K’s Royal imepata nafasi ya kipekee ya kupongeza uongozi na wafanyakazi wa chuo kwa juhudi zao za kuhakikisha wanafunzi wanapata maarifa na ujuzi wa kisasa ili kuendana na mahitaji ya soko la ajira nchini. Katika kikao cha hivi karibuni, bodi hiyo ilibaini kwamba chuo kimejizatiti katika kuimarisha mitaala na mafunzo ambayo yanajibu moja kwa moja changamoto zinazokabili sekta ya afya nchini.

Akiongea katika kikao kwenye kikao cha uzinduzi wa bodi mpya ya Chuo, Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri, Sr. Shukrani Ndumilla alisema, “Tuna furaha kubwa kuona kwamba chuo cha K’s Royal kinazingatia ubora wa elimu na mafunzo yanayotolewa kwa wanafunzi wake. Hii ni hatua muhimu sana katika kuimarisha sekta ya afya na kuandaa wanachuo kuwa viongozi wa baadaye.”

Nae Mkuu wa Chuo cha K’s Royal Edward Aloyce amesema Wafanyakazi wa chuo hicho wamekuwa wakifanya kazi kwa karibu na wadau mbalimbali, ikiwa ni pamoja na hospitali, vituo vya afya na mashirika yasiyo ya kiserikali, ili kuhakikisha mafunzo yanayotolewa yanazingatia mahitaji halisi ya soko. Chuo pia kina programu za mafunzo kwa vitendo, ambapo wanafunzi wanapata nafasi ya kufanya kazi katika maeneo halisi ya huduma za afya.
Amesema kuwa wanafunzi wanaofuzu kutoka chuo hicho wamekuwa wakifanya vizuri katika soko la ajira, huku wengi wakiteuliwa katika nafasi muhimu katika taasisi mbalimbali za afya. Hii ni ishara tosha ya kazi nzuri inayoendelea kufanywa na chuo hicho.
“Tutendelea kufanya kila posible kuhakikisha kuwa wanafunzi wetu wanapokea elimu bora na mafunzo yanayowafanya wawe tayari kukabiliana na changamoto za sekta ya afya. Tunashirikiana na wadau mbalimbali ili kuboresha mazingira ya kujifunza na kuwapatia wanafunzi ujuzi wanaohitaji.” – Edward

Bodi ya Ushauri imeelekeza wito kwachuo hicho kuendelea kuwa mfano ili kuimarisha ubora wa mafunzo yanayotolewa nchini, na mwisho, kuimarisha sekta ya afya kwa faida ya jamii nzima

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025

“Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”

May 21, 2025

Dkt. Tulia Azindua Ambulansi Mpya kwa Kituo cha Afya Mwakibete ili Kuboresha Huduma za Afya Mbeya

April 19, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025226

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025213

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024197

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025126
Don't Miss
Video Mpya

BABALEVO AINGIA KWENYE 18 ZA SPIKA ZUNGU AKILA KIAPO BUNGENI

By Mbeya YetuNovember 11, 20252

Nilivyofanikiwa Kuwatoa Watoto Wangu Kwenye Uraibu wa Simu na Kuwarudisha Kwenye Masomo

November 11, 2025

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo

November 10, 2025

Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote

November 10, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

BABALEVO AINGIA KWENYE 18 ZA SPIKA ZUNGU AKILA KIAPO BUNGENI

November 11, 2025

Nilivyofanikiwa Kuwatoa Watoto Wangu Kwenye Uraibu wa Simu na Kuwarudisha Kwenye Masomo

November 11, 2025

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo

November 10, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025226

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025213

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024197
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.