Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100

February 28, 2026

Mwalupindi Akabidhi Tuzo Vitabu na kufuturisha wanafunzi Kuimarisha Elimu Sangu Sekondari

February 28, 2026

VIONGOZI WA KIDINI,MAKUNDI YA KIJAMII WAPEWA SEMINA SAPOTI YA KISAIKOLOJIA KWA JAMII

February 28, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100
  • Mwalupindi Akabidhi Tuzo Vitabu na kufuturisha wanafunzi Kuimarisha Elimu Sangu Sekondari
  • VIONGOZI WA KIDINI,MAKUNDI YA KIJAMII WAPEWA SEMINA SAPOTI YA KISAIKOLOJIA KWA JAMII
  • TAKUKURU MBEYA YAOKOA ZAIDI YA MILIONI 100, YAIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA
  • Mfumo wa kidigitali wa Vyeti vya Uasili kupitia Chemba ya Taifa ya Biashara Tanzania (TNCC) waanza rasmi Machi 2, 2026
  • MAHUNDI: SERIKALI KUIMARISHA ELIMU YA MALEZI KUPITIA KAMPASI YA KISANGARA
  • Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya na NHIF Mkoa wa Mbeya waelimisha walemavu kuhusu Bima ya Afya
  • Serikali na TNCC Kuunganisha Mifumo Kidigitali, TRA Yaimarisha Ukusanyaji Mapato
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » TUME YATOA NENO KWA WAENDESHA VIFAA VYA BVR TANGA, PWANI
Habari za Kitaifa

TUME YATOA NENO KWA WAENDESHA VIFAA VYA BVR TANGA, PWANI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuFebruary 11, 2025Updated:February 11, 20251 Comment3 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email
 Na Mwandishi
wetu, Tanga
Tume Huru
ya Taifa ya Uchaguzi imewataka waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya Bayometriki
kutoa huduma bora kwa wananchi watakaojitokeza katika zoezi la Uboreshaji wa
Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linalotaraji kuanza Februari 13 hadi 19, 2025 katika
mikoa ya Tanga na Pwani.
 
Hayo
yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taiofa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani
Jacobs Mwambegele wakati alipotembelea mafunzo ya siku mbili ya waandishi
wasaidizi na waendesha vifaa vya Bayometriki katika Halmashauri za Jiji la
Tanga, Mji wa Korogwe pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe vijijini.
 
“Ninawasihi
muwahudumie wateja wenu kwa umahiri na unyenyekevu, msiwe na hasira kwani
miongoni mwa wateja mtakao kuwa mnawashughulikia wengine ni wavijijini na wengine
ni wamjini hivyo kila mtu anauelewa wake,” alisema Jaji Mwambegele.
 
Jaji wa
Rufaa Mwambegele amesema ni jukumulao kuwaelishisha juu ya nini cha kufanya na wakawaeleze
kwa upole na si kuwawakali bali kuwasaidia kuwaelekeza kwa unyenyekevu ili
zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura liweze kufanikiwa vyema kama ilivyo
kusudiwa.
 
Aidha,
akizungumza na washiriki hao akiwa Jijini Tanga, Jaji Mwambegele amewataka washiriki
hao kuwa waadilifu na kufanya kazi hiyo muhumu kwa taifa kwa moyo na kujituma.
 
Amewataka
pia kutunza vifaa vyote watakavyo kabidhiwa wakati wa utekelezaji wa zoezi hilo
ili vifaa hivyo vilivyonunuliwa kwa gharama kubwa vikaweze kutumika katika maeneo
mengine pindi vikitunzwa vyema.
 
Uboreshaji
wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura utafanyika mkoani Tanga na Pwani kwa siku
saba kuanzia tarehe 13 hadi 19 Februari, 2025 ambapo wapiga kura wapya 431,016
wanatarajiwa kuandikishwa na zoezi hilo litakapokamilika mikoa hiyo itakuwa na
wapiga kura 2,727,318 sawa na ongezeko la asilimia 18.7 ya wapiga kura
2,296,302 waliopo kwenye daftari katika mikoa hiyo.
 
Mkoa
wa Tanga zoezi la Uboreshaji litafanyika kwenye Halmashauri ya Jiji la Tanga,
Halmashauri za Miji ya Handeni na Korogwe na Halmashauri za Wilaya ya Kilindi,
Lushoto na Muheza na vituo vitafunguliwa saa 2:00 asubuhi na kufungwa Saa 12:00
jioni kila siku kwa siku saba.
 
Tume
imeshakamilisha zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura  kwenye mikoa 27  ya Kigoma, Tabora, Katavi, Geita, Kagera,
Mwanza, Shinyanga, Mara, Simiyu, Manyara, Dodoma, Singida, Mjini Magharibi,
Kusini Unguja, Kaskazini Unguja, Kusini Pemba, Kaskazini Pemba, Arusha,
Kilimanjaro, Mbeya, Iringa, Rukwa, Songwe, Njombe, Ruvuma, Lindi na Mtwara. 

 

Mwenyekiti wa Tume, Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambege akiteta jambo na afisa Mwandikishaji Msaidizi Jimbo la Tanga mjini Bi. Mwanaidi Nondo. 

 

 

 

 

Mwenyekiti
wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele leo
Februari 11,2025 ametembelea na kuzungumza na washiriki wa mafunzo ya siku
mbili ya waandishi wasaidizi na waendesha
vifaa vya bayometriki katika Halmashauri ya jiji la Tanga Mkoani Tanga. Zoezi la Uboreshaji
Mkoani humo linataraji kuanza Februari 13 hadi 19 mwaka huu. 

 

 

 

 

Washiriki wa mafunzo wakisikiliza neno kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume.

Washiriki wa mafunzo kutoka Halmashauri ya Mji wa Korogwe  wakisikiliza neno kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume

 

 

Watoa mada wakati wa mafunzo Halmashauri ya Mji wa Korogwe wakiendelea na utoaji mada.

 

 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele leo Februari 11,2025 ametembelea na kuzungumza na washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya waandishi wasaidizi na waendesha  vifaa vya bayometriki katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe na Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe vijijini Mkoani Tanga. Zoezi la Uboreshaji Mkoani humo linataraji kuanza Februari 13 hadi 19 mwaka huu. 

 

 

 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele leo Februari 11,2025 ametembelea na kuzungumza na washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya waandishi wasaidizi na waendesha  vifaa vya bayometriki katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe na Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe vijijini Mkoani Tanga. Zoezi la Uboreshaji Mkoani humo linataraji kuanza Februari 13 hadi 19 mwaka huu. 

 

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100

February 28, 2026

TAKUKURU MBEYA YAOKOA ZAIDI YA MILIONI 100, YAIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

February 27, 2026

MAHUNDI: SERIKALI KUIMARISHA ELIMU YA MALEZI KUPITIA KAMPASI YA KISANGARA

February 26, 2026

1 Comment

  1. 📊 Ticket: Process 1.350186 BTC. Confirm =>> https://graph.org/Message--685-03-25?hs=5de28ba921938b686be90f9586d3a5b1& 📊 on April 5, 2025 8:34 pm

    ijp2gu

    Reply

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025361

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236

Vijana Wamchana Waziri wa Vijana, ”Si Wananchi, Ila Watumishi Ndio Watakaoniangusha”

December 1, 2025140
Don't Miss
Habari za Kitaifa

SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100

By Mbeya YetuFebruary 28, 202615

Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mzee Rashidi Mfaume Kawawa, mwanasiasa mashuhuri na…

Mwalupindi Akabidhi Tuzo Vitabu na kufuturisha wanafunzi Kuimarisha Elimu Sangu Sekondari

February 28, 2026

VIONGOZI WA KIDINI,MAKUNDI YA KIJAMII WAPEWA SEMINA SAPOTI YA KISAIKOLOJIA KWA JAMII

February 28, 2026

TAKUKURU MBEYA YAOKOA ZAIDI YA MILIONI 100, YAIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

February 27, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100

February 28, 2026

Mwalupindi Akabidhi Tuzo Vitabu na kufuturisha wanafunzi Kuimarisha Elimu Sangu Sekondari

February 28, 2026

VIONGOZI WA KIDINI,MAKUNDI YA KIJAMII WAPEWA SEMINA SAPOTI YA KISAIKOLOJIA KWA JAMII

February 28, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025361

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.