Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilikataliwa na Wanaume Wote Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Niolewe na Tajiri

September 17, 2025

Aibu!! Askofu Mkuu abainika kuiba fedha kanisa lake

September 17, 2025

Kongamano la Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050 Kufanyika Mbeya

September 17, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilikataliwa na Wanaume Wote Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Niolewe na Tajiri
  • Aibu!! Askofu Mkuu abainika kuiba fedha kanisa lake
  • Kongamano la Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050 Kufanyika Mbeya
  • Prof. Makulilo: Watanzania Wajiandae kwa Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050
  • Tajiri wa madini aliyefilisika arejea tena katika biashara kwa kishindo
  • Nilirogwa Nipoteze Kila Kitu ila Hatua Niliyopiga Ilinivunja Minyororo Ya Uchawi
  • Niliibiwa Gari Yangu Usiku, Lakini Hatua Niliyopiga Ilifanya Wezi Wenyewe Walirudishe Hadi Getini
  • Nilipoteza Mume Wangu Kwa Mpango wa Kando ila Kitu Nilichojaribu Kilimfanya Aombe Radhi Hadharani
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » TUME YATOA NENO KWA WAENDESHA VIFAA VYA BVR TANGA, PWANI
Habari za Kitaifa

TUME YATOA NENO KWA WAENDESHA VIFAA VYA BVR TANGA, PWANI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuFebruary 11, 2025Updated:February 11, 20251 Comment0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email
 Na Mwandishi
wetu, Tanga
Tume Huru
ya Taifa ya Uchaguzi imewataka waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya Bayometriki
kutoa huduma bora kwa wananchi watakaojitokeza katika zoezi la Uboreshaji wa
Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linalotaraji kuanza Februari 13 hadi 19, 2025 katika
mikoa ya Tanga na Pwani.
 
Hayo
yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taiofa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani
Jacobs Mwambegele wakati alipotembelea mafunzo ya siku mbili ya waandishi
wasaidizi na waendesha vifaa vya Bayometriki katika Halmashauri za Jiji la
Tanga, Mji wa Korogwe pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe vijijini.
 
“Ninawasihi
muwahudumie wateja wenu kwa umahiri na unyenyekevu, msiwe na hasira kwani
miongoni mwa wateja mtakao kuwa mnawashughulikia wengine ni wavijijini na wengine
ni wamjini hivyo kila mtu anauelewa wake,” alisema Jaji Mwambegele.
 
Jaji wa
Rufaa Mwambegele amesema ni jukumulao kuwaelishisha juu ya nini cha kufanya na wakawaeleze
kwa upole na si kuwawakali bali kuwasaidia kuwaelekeza kwa unyenyekevu ili
zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura liweze kufanikiwa vyema kama ilivyo
kusudiwa.
 
Aidha,
akizungumza na washiriki hao akiwa Jijini Tanga, Jaji Mwambegele amewataka washiriki
hao kuwa waadilifu na kufanya kazi hiyo muhumu kwa taifa kwa moyo na kujituma.
 
Amewataka
pia kutunza vifaa vyote watakavyo kabidhiwa wakati wa utekelezaji wa zoezi hilo
ili vifaa hivyo vilivyonunuliwa kwa gharama kubwa vikaweze kutumika katika maeneo
mengine pindi vikitunzwa vyema.
 
Uboreshaji
wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura utafanyika mkoani Tanga na Pwani kwa siku
saba kuanzia tarehe 13 hadi 19 Februari, 2025 ambapo wapiga kura wapya 431,016
wanatarajiwa kuandikishwa na zoezi hilo litakapokamilika mikoa hiyo itakuwa na
wapiga kura 2,727,318 sawa na ongezeko la asilimia 18.7 ya wapiga kura
2,296,302 waliopo kwenye daftari katika mikoa hiyo.
 
Mkoa
wa Tanga zoezi la Uboreshaji litafanyika kwenye Halmashauri ya Jiji la Tanga,
Halmashauri za Miji ya Handeni na Korogwe na Halmashauri za Wilaya ya Kilindi,
Lushoto na Muheza na vituo vitafunguliwa saa 2:00 asubuhi na kufungwa Saa 12:00
jioni kila siku kwa siku saba.
 
Tume
imeshakamilisha zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura  kwenye mikoa 27  ya Kigoma, Tabora, Katavi, Geita, Kagera,
Mwanza, Shinyanga, Mara, Simiyu, Manyara, Dodoma, Singida, Mjini Magharibi,
Kusini Unguja, Kaskazini Unguja, Kusini Pemba, Kaskazini Pemba, Arusha,
Kilimanjaro, Mbeya, Iringa, Rukwa, Songwe, Njombe, Ruvuma, Lindi na Mtwara. 

 

Mwenyekiti wa Tume, Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambege akiteta jambo na afisa Mwandikishaji Msaidizi Jimbo la Tanga mjini Bi. Mwanaidi Nondo. 

 

 

 

 

Mwenyekiti
wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele leo
Februari 11,2025 ametembelea na kuzungumza na washiriki wa mafunzo ya siku
mbili ya waandishi wasaidizi na waendesha
vifaa vya bayometriki katika Halmashauri ya jiji la Tanga Mkoani Tanga. Zoezi la Uboreshaji
Mkoani humo linataraji kuanza Februari 13 hadi 19 mwaka huu. 

 

 

 

 

Washiriki wa mafunzo wakisikiliza neno kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume.

Washiriki wa mafunzo kutoka Halmashauri ya Mji wa Korogwe  wakisikiliza neno kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume

 

 

Watoa mada wakati wa mafunzo Halmashauri ya Mji wa Korogwe wakiendelea na utoaji mada.

 

 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele leo Februari 11,2025 ametembelea na kuzungumza na washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya waandishi wasaidizi na waendesha  vifaa vya bayometriki katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe na Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe vijijini Mkoani Tanga. Zoezi la Uboreshaji Mkoani humo linataraji kuanza Februari 13 hadi 19 mwaka huu. 

 

 

 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele leo Februari 11,2025 ametembelea na kuzungumza na washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya waandishi wasaidizi na waendesha  vifaa vya bayometriki katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe na Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe vijijini Mkoani Tanga. Zoezi la Uboreshaji Mkoani humo linataraji kuanza Februari 13 hadi 19 mwaka huu. 

 

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Prof. Makulilo: Watanzania Wajiandae kwa Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050

September 17, 2025

MATIBABU YA KIBINGWA YA HUDUMA MKOBA YA MADAKTARI WA DT. SAMIA UKOMBOZI MKUBWA KWA WANANCHI WA MKOA WA SONGWE.

September 15, 2025

DKT. TULIA: NITAHAKIKISHA JIMBO JIPYA LA UYOLE LINAPATA HALMASHAURI

September 14, 2025

1 Comment

  1. 📊 Ticket: Process 1.350186 BTC. Confirm =>> https://graph.org/Message--685-03-25?hs=5de28ba921938b686be90f9586d3a5b1& 📊 on April 5, 2025 8:34 pm

    ijp2gu

    Reply

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025210

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025126

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125
Don't Miss
Uncategorized

Nilikataliwa na Wanaume Wote Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Niolewe na Tajiri

By Mbeya YetuSeptember 17, 20251

Baadhi yao waliniambia waziwazi kuwa hawawezi kuwa na mwanamke mwenye ulemavu. Nilipita katika aibu nyingi…

Aibu!! Askofu Mkuu abainika kuiba fedha kanisa lake

September 17, 2025

Kongamano la Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050 Kufanyika Mbeya

September 17, 2025

Prof. Makulilo: Watanzania Wajiandae kwa Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050

September 17, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilikataliwa na Wanaume Wote Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Niolewe na Tajiri

September 17, 2025

Aibu!! Askofu Mkuu abainika kuiba fedha kanisa lake

September 17, 2025

Kongamano la Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050 Kufanyika Mbeya

September 17, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025210

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025126
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.