Watu watatu wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa, kufuatia ajali iliyohusisha magari mawili, likiwemo Basi la abiria Kampuni ya CRN na Toyota Land Cruiser mali ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, katika eneo la Ilongo Wilaya ya
Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Humo, Wilbat Siwa, amesema Basi lilikuwa likitokea Mbeya kuelekea Mbarali na Toyota Land Cruiser lilikuwa likitokea Njombe kuelekea Mbeya Mijini na kwamba chanzo cha ajali ni basi la Abiria ‘Ku ovateki vibaya, ambapo dereva wa basi hilo
Trending
- TANZANIA AND U.S. MOVE TO FINALISE MAJOR INVESTMENT AGREEMENTS
- “Hongera! Umeshinda JACKPOT ya Sh6,800,000”
- MFANYAKAZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA APATA TUZO YA MWANAFUNZI BORA WA SHAHADA YA UZAMILI YA UDAKTARI WA MENO MUHAS.
- Ujumbe wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru.
- Haikuwa tu safari ya kupona, bali safari ya kujikubali
- SERIKALI YA TANZANIA KUWAFUTIA HADHI YA UKIMBIZI WAKIMBIZI WANAOISHI NCHINI.
- MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA
- Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

