Watu watatu wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa, kufuatia ajali iliyohusisha magari mawili, likiwemo Basi la abiria Kampuni ya CRN na Toyota Land Cruiser mali ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, katika eneo la Ilongo Wilaya ya
Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Humo, Wilbat Siwa, amesema Basi lilikuwa likitokea Mbeya kuelekea Mbarali na Toyota Land Cruiser lilikuwa likitokea Njombe kuelekea Mbeya Mijini na kwamba chanzo cha ajali ni basi la Abiria ‘Ku ovateki vibaya, ambapo dereva wa basi hilo
Trending
- Hafla ya Makabidhiano ya Vitabu vya Fidia vya Mradi wa Chanzo cha Mto Kiwira
- WAKUTUBI WAKUTANA MBEYA WAJADILI MFUMO BORA WA MAKTABA NA USOMAJI VITABU KIDIJITALI
- MKUU WA MKOA WA MBEYA BENNO MALISA AHIMIZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KULINDA FEDHA ZA UMMA
- Suzi alivyomrejesha mpenzi wake na wakafunga ndoa
- Jinsi unavyoweza kuibadilisha biashara yako na kukupa faida
- RAIS DKT. SAMIA AKIWASILI SKUA (TANGA) KWA KIKAO CHA NDANI NA VIONGOZI WA JWTZ
- WAZIRI MKUU- WATANZANIA TUNZENI AKIBA YA CHAKULA▪️Ahimiza matumizi ya mbolea na mbegu za mazao
- Ndipo akashinda Sh13 milioni kupitia betting

