Watu watatu wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa, kufuatia ajali iliyohusisha magari mawili, likiwemo Basi la abiria Kampuni ya CRN na Toyota Land Cruiser mali ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, katika eneo la Ilongo Wilaya ya
Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Humo, Wilbat Siwa, amesema Basi lilikuwa likitokea Mbeya kuelekea Mbarali na Toyota Land Cruiser lilikuwa likitokea Njombe kuelekea Mbeya Mijini na kwamba chanzo cha ajali ni basi la Abiria ‘Ku ovateki vibaya, ambapo dereva wa basi hilo
Trending
- Ndipo siku hiyo akashinda Sh17 milioni ya Jackpot
- MAHUNDI ATIMIZA AHADI YA VIFAA VYA UJENZI WA OFISI YA TAWI LA SIMBA
- MBOGA IMEIVA! Wadau Wapiga Jeki Mbao 300+ Kwa Nyumba ya Katibu wa Wazazi
- PATARI SHIDA PATARI AWAASA MADIWANI: “TUJENGE MBEYA VIJIJINI KWA PAMOJA”
- KAULI MPYA KUTOKA CCM KYELA,FEDHA ZIMETOKA AU ZIMEUNGUA ,UCHUNGUZI UNAENDELEA.
- KATIBU MKUU KIONGOZI ZENA AHMED AFUNGUA MKUTANO WA WAJIOLOJIA MBEYA
- MBEYA UWSA YAZINDUA GARI JIPYA LA UTOAJI WA HUDUMA YA KUONDOSHA MAJITAKA
- BALOZI WA TANZANIA, MALAWI AKUTANA NA WATENDAJI KITUO CHA PAMOJA MPAKANI, BAADA YA UCHAGUZI OKT.29

