Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Mwalunenge Aanza Kutatua Kero ya Barabara Iyela kwa Kumwaga Vifusi

January 15, 2026

Iyela Yalia kwa Serikali, Barabara Muhimu Yageuka Mtego

January 15, 2026

Nilivyovutia Wateja Wengi Na Kila Siku Kuongeza Mapato Baada ya Hatua Moja Rahisi Ya Kienyeji Nilizofuata

January 14, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Mwalunenge Aanza Kutatua Kero ya Barabara Iyela kwa Kumwaga Vifusi
  • Iyela Yalia kwa Serikali, Barabara Muhimu Yageuka Mtego
  • Nilivyovutia Wateja Wengi Na Kila Siku Kuongeza Mapato Baada ya Hatua Moja Rahisi Ya Kienyeji Nilizofuata
  • Baada ya Kukwama Kuuza Mali Zangu, Hatua Niliyopata Ilibadilisha Kila Kitu Ndani ya Muda Mfupi Sana
  • MAKONDA KWA MARA YA KWANZA AUNGURUMA
  • Baada ya Miaka ya Kutokuwa na Hisia Kitandani, Hatimaye Nilipata Suluhisho la Kudumu
  • Siri Zilizofichika Ambazo Wafanyabiashara Walioshikilia Mafanikio Hutumia Kukuza Biashara Yao
  • Nyuki Wazingira Nyumba yake Kisa Mume wa Mtu, Majirani Wadai Sio Tukio la Kawaida
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home
Afya na Ustawi

Mbeya YetuBy Mbeya YetuApril 19, 2025Updated:April 19, 2025No Comments7 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya imepata tuzo ya pongezi kwa kutambuliwa kwa juhudi zake katika utoaji wa mafunzo katika vituo vya kutolea huduma za afya vya ngazi ya msingi (PHC) Mkoa wa Mbeya kwa mwaka 2024. Tuzo hii imetolewa na Kamati ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa (RHMT) ya Mbeya, wakati wa kikaoa kazi cha robo ya mwaka kilichojadili changamoto za vifo vinavyotokana na afya ya uzazi na watoto wachanga kilichofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali.

Akikabidhi tuzo hiyo, Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya na Mganga Mkuu wa Mkoa, Dkt. Elizabeth Nyema, ameeleza wazi kutambua mchango mkubwa wa Hospitali ya Kanda Mbeya katika kuboresha huduma za afya ya uzazi na mtoto mchanga na kusisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano kati ya vituo vya afya na jamii, ili kuimarisha imani ya wananchi katika huduma zinazotolewa.

Nae Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya, Dkt. Abdallah Mmbaga, akipokea tuzo hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, Dkt. Godlove Mbwanji, amewashukuru Viongozi na wahusika wote wa kamati hiyo kwa kutambua juhudi za Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya na kutoa rai kwa wadau kuendelea kushirikiana ili kuhakikisha huduma za afya ya uzazi zinapatikana kwa ubora wa hali ya juu kwa kila mwananchi lengo kuu ikiwa ni kuboresha utoa huduma za afya kwa jamii na kupunguza vifo vinavyoweza kuzuilika.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MFANYAKAZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA APATA TUZO YA MWANAFUNZI BORA WA SHAHADA YA UZAMILI YA UDAKTARI WA MENO MUHAS.

December 8, 2025

HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA YAANZA RASMI KUTOA MAFUNZO YA HUDUMA ZA DHARURA KWA LENGO LA KUOKOA MAISHA NA KUPUNGUZA ATHARI ZA AJALI NA DHARURA ZA KIAFYA NYANDA ZA JUU KUSINI

November 26, 2025

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025302

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025243

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024216

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025135
Don't Miss
Video Mpya

Mwalunenge Aanza Kutatua Kero ya Barabara Iyela kwa Kumwaga Vifusi

By Mbeya YetuJanuary 15, 20261

Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Mhe. Patrick Mwalunenge, ameanza kutatua kero ya barabara katika Kata ya Iyela, mitaa ya Iyela na Pambogo, kwa kuagiza kumwagwa kwa vifusi kufuatia malalamiko ya muda mrefu ya wakazi wa maeneo hayo. Hatua hiyo inalenga kuboresha hali ya barabara na kurahisisha shughuli za kijamii na kiuchumi za wananchi.

Akizungumza kwa niaba ya Mbunge, Katibu wa Mbunge Hakimu Edward alisema zoezi la kumwaga vifusi ni utekelezaji wa maelekezo ya moja kwa moja ya Mbunge Mwalunenge, ikiwa ni sehemu ya ahadi zake za kisiasa na mwelekeo wa Serikali ya Awamu ya Sita wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi kwa vitendo.

Iyela Yalia kwa Serikali, Barabara Muhimu Yageuka Mtego

January 15, 2026

Nilivyovutia Wateja Wengi Na Kila Siku Kuongeza Mapato Baada ya Hatua Moja Rahisi Ya Kienyeji Nilizofuata

January 14, 2026

Baada ya Kukwama Kuuza Mali Zangu, Hatua Niliyopata Ilibadilisha Kila Kitu Ndani ya Muda Mfupi Sana

January 14, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Mwalunenge Aanza Kutatua Kero ya Barabara Iyela kwa Kumwaga Vifusi

January 15, 2026

Iyela Yalia kwa Serikali, Barabara Muhimu Yageuka Mtego

January 15, 2026

Nilivyovutia Wateja Wengi Na Kila Siku Kuongeza Mapato Baada ya Hatua Moja Rahisi Ya Kienyeji Nilizofuata

January 14, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025302

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025243

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024216
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.