Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA

November 22, 2025

Rungwe Wasaini Mkataba wa Bilioni 2.8 Kujenga Soko la Kisasa la Ndizi

November 22, 2025

Safari Kuelekea Furaha ya Ndoa Iliyokosekana Kwa Muda Mrefu

November 22, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA
  • Rungwe Wasaini Mkataba wa Bilioni 2.8 Kujenga Soko la Kisasa la Ndizi
  • Safari Kuelekea Furaha ya Ndoa Iliyokosekana Kwa Muda Mrefu
  • Badili upepo wa Biashara Yako Hadi Mafanikio
  • Watumishi wazembe hawatakuwa na nafasi-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba
  • Dkt. Mwigulu: “Mabasi ya Esther Yamechomwa Wakidhani Ni Yangu”
  • Mama Dkt. Samia Atua Arusha atoa neno
  • Mbinu ya kupata faida katika biashara ya samaki, uvuvi
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home
Afya na Ustawi

Mbeya YetuBy Mbeya YetuApril 19, 2025Updated:April 19, 2025No Comments5 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya imepata tuzo ya pongezi kwa kutambuliwa kwa juhudi zake katika utoaji wa mafunzo katika vituo vya kutolea huduma za afya vya ngazi ya msingi (PHC) Mkoa wa Mbeya kwa mwaka 2024. Tuzo hii imetolewa na Kamati ya Usimamizi wa Huduma za Afya Mkoa (RHMT) ya Mbeya, wakati wa kikaoa kazi cha robo ya mwaka kilichojadili changamoto za vifo vinavyotokana na afya ya uzazi na watoto wachanga kilichofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali.

Akikabidhi tuzo hiyo, Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya na Mganga Mkuu wa Mkoa, Dkt. Elizabeth Nyema, ameeleza wazi kutambua mchango mkubwa wa Hospitali ya Kanda Mbeya katika kuboresha huduma za afya ya uzazi na mtoto mchanga na kusisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano kati ya vituo vya afya na jamii, ili kuimarisha imani ya wananchi katika huduma zinazotolewa.

Nae Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya, Dkt. Abdallah Mmbaga, akipokea tuzo hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, Dkt. Godlove Mbwanji, amewashukuru Viongozi na wahusika wote wa kamati hiyo kwa kutambua juhudi za Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya na kutoa rai kwa wadau kuendelea kushirikiana ili kuhakikisha huduma za afya ya uzazi zinapatikana kwa ubora wa hali ya juu kwa kila mwananchi lengo kuu ikiwa ni kuboresha utoa huduma za afya kwa jamii na kupunguza vifo vinavyoweza kuzuilika.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025

“Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”

May 21, 2025

Dkt. Tulia Azindua Ambulansi Mpya kwa Kituo cha Afya Mwakibete ili Kuboresha Huduma za Afya Mbeya

April 19, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025228

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025127
Don't Miss
Habari za Kitaifa

RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA

By Mbeya YetuNovember 22, 20254

Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe imezindua rasmi ujenzi wa Soko la Kisasa la Ndizi litakalogharimu…

Rungwe Wasaini Mkataba wa Bilioni 2.8 Kujenga Soko la Kisasa la Ndizi

November 22, 2025

Safari Kuelekea Furaha ya Ndoa Iliyokosekana Kwa Muda Mrefu

November 22, 2025

Badili upepo wa Biashara Yako Hadi Mafanikio

November 22, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA

November 22, 2025

Rungwe Wasaini Mkataba wa Bilioni 2.8 Kujenga Soko la Kisasa la Ndizi

November 22, 2025

Safari Kuelekea Furaha ya Ndoa Iliyokosekana Kwa Muda Mrefu

November 22, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025228

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.