Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilihofia Usalama wa Familia Yangu Kuingia Mwaka Mpya Hatua Nilizochukua Kuweka Kinga

January 1, 2026

Nilikuwa Naogopa Kuanza Mwaka Mpya Kwa Bahati Mbaya—Maamuzi Yaliyobadili Mwelekeo Wangu

January 1, 2026

HUPASWI KUJIULIZA MARA MBILI KWANINI USIMPELEKE MWANAO PARADISE MISSION PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA

January 1, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilihofia Usalama wa Familia Yangu Kuingia Mwaka Mpya Hatua Nilizochukua Kuweka Kinga
  • Nilikuwa Naogopa Kuanza Mwaka Mpya Kwa Bahati Mbaya—Maamuzi Yaliyobadili Mwelekeo Wangu
  • HUPASWI KUJIULIZA MARA MBILI KWANINI USIMPELEKE MWANAO PARADISE MISSION PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA
  • MDAU WA MAENDELEO NDELE MWASELELA AYAJENGA NA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MBEYA
  • LIVE: TUKIO LA KUFUNGA MWAKA JIJINI MBEYA
  • NDELE MWASELELA AFICHUA SIRI YA MAFANIKIO YA SHULE PARADISE MISION PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA
  • Nilitumia Zaidi ya Uwezo Wangu Sikukuu Njia Rahisi ya Kujipanga Upya Kabla ya Shule Kufunguliwa
  • Familia Ilitegemea Mimi Baada ya Sikukuu Hatua Nilizochukua Kurejesha Utulivu wa Nyumbani
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » TANZANIA HAIWEZI KUWEPO BILA YA MUUNGANO, TUULINDE KWA WIVU- DKT. TULIA
Habari za Kitaifa

TANZANIA HAIWEZI KUWEPO BILA YA MUUNGANO, TUULINDE KWA WIVU- DKT. TULIA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuApril 25, 2025No Comments8 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amesema kuwa ni wajibu wa kila mtanzania kuhakikisha anailinda kwa wivu wote tunu ya Muungano iliyoanzishwa na waasisi wa taifa hilo.

Dkt. Tulia ameyasema hayo leo tarehe 25 Aprili 2025 wakati akizungumza na wananchi wa wa Mkoa wa Pwani wakati wa Mkutano wa hadhara uliofanyika katika stendi ya Kibaha ikiwa ni sehemu ya shughuli za Maadhimisho ya Miaka 61 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo iliyofanyika katika mkoa huo.

Kiupekee, Dkt. Tulia amemshukuru na kumpongeza Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa namna ambavyo amekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha anasimamia maendeleo katika nyanda zote za bara na visiwani.

“Tanzania haiwezi kuwepo bila Muungano, Muungano huu umejengwa katika misingi imara umedumu na utaendelea kudumu. Kila mmoja wetu anapaswa kutafakari matendo na maneno yake yawe chachu ya kudumisha Muungano wetu, niwahakikishie kwamba Bunge litaendelea kuwa daraja katika pande zote mbili ili kuhakikisha Muungano unazidi kuwa madhubuti, unadumu na kuwa imara zaidi” Amesisitiza Dkt. Tulia

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MDAU WA MAENDELEO NDELE MWASELELA AYAJENGA NA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MBEYA

January 1, 2026

WANANCHI HAI, FUONI , KATA TANO KUPIGA KURA KUCHAGUA WABUNGE NA MADIWANI KESHO

December 29, 2025

NDELE MWASELELA AWATAKA WAANDISHI WA HABARI KUZINGATIA MAADILI, KUANDIKA HABARI ZA MAENDELEO NA KUWASEMEA WANANCHI

December 29, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025286

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025239

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024212

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025132
Don't Miss
Uncategorized

Nilihofia Usalama wa Familia Yangu Kuingia Mwaka Mpya Hatua Nilizochukua Kuweka Kinga

By Mbeya YetuJanuary 1, 20263

Mwaka mpya ulikaribia na moyo wangu ulikuwa mzito kwa hofu. Nilihofia usalama wa familia yangu,…

Nilikuwa Naogopa Kuanza Mwaka Mpya Kwa Bahati Mbaya—Maamuzi Yaliyobadili Mwelekeo Wangu

January 1, 2026

HUPASWI KUJIULIZA MARA MBILI KWANINI USIMPELEKE MWANAO PARADISE MISSION PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA

January 1, 2026

MDAU WA MAENDELEO NDELE MWASELELA AYAJENGA NA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MBEYA

January 1, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilihofia Usalama wa Familia Yangu Kuingia Mwaka Mpya Hatua Nilizochukua Kuweka Kinga

January 1, 2026

Nilikuwa Naogopa Kuanza Mwaka Mpya Kwa Bahati Mbaya—Maamuzi Yaliyobadili Mwelekeo Wangu

January 1, 2026

HUPASWI KUJIULIZA MARA MBILI KWANINI USIMPELEKE MWANAO PARADISE MISSION PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA

January 1, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025286

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025239

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024212
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.