Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilivyogundua Ndugu Yangu Aliyekuwa Akiniombea Kwa Mabaya Bila Mimi Kujua

November 6, 2025

Nilivyogundua siri ya kuishi bila msongo wa Mawazo baada ya kupoteza kila kitu

November 6, 2025

Nilivyofanikiwa Kumfanya Mtoto Wangu Aache Tabia ya Ukaidi na Kuanza Kufanya Vizuri Shuleni

November 5, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilivyogundua Ndugu Yangu Aliyekuwa Akiniombea Kwa Mabaya Bila Mimi Kujua
  • Nilivyogundua siri ya kuishi bila msongo wa Mawazo baada ya kupoteza kila kitu
  • Nilivyofanikiwa Kumfanya Mtoto Wangu Aache Tabia ya Ukaidi na Kuanza Kufanya Vizuri Shuleni
  • Mume Wangu Aliniacha Bila Sababu, Lakini Miaka Mitatu Baadaye Akaja Akiomba Kunitaka Tena
  • Dkt. Tulia Aongoza kwa Vitendo, Apiga Kura na Kuhamasisha Ushindi wa CCM Uyole
  • DKT MARY MWANJELWA AUNGANA NA WANANCHI KUPIGA KURA AHAMASISHA KUJITOKEZA KWA WINGI AMANI IMETAWALA
  • Nilivyookoa Ndoa Yangu Baada ya Migogoro Kila Usiku Kuhusu Pesa na Wivu
  • MWAKIPESILE: ”TUKAANDAMANE OKTOBA 29 KWA AJILI KUWAPIGIA KURA VIONGOZI KWA AMANI”
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » *DKT. TULIA ATANGAZA KUGOMBEA JIMBO LA UYOLE
Video Mpya

*DKT. TULIA ATANGAZA KUGOMBEA JIMBO LA UYOLE

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMay 23, 2025No Comments2 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

*DKT. TULIA ATANGAZA KUGOMBEA JIMBO LA UYOLE*

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ametangaza nia ya kugombea Ubunge katika jimbo jipya la Uyole mkoani Mbeya katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu.

Dkt. Tulia ametoa tamko hilo leo tarehe 23 Mei, 2025 alipokuwa akihutubia Mkutano Mkuu Maalum wa Wilaya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo amesema kuwa ameamua kufanya uamuzi huo ili kuwahudumia wananchi wa Uyole kutokana na kasi ndogo ya maendeleo iliyopo katika eneo hilo.

“Maendeleo ya Uyole yanasonga kwa taratibu sana, nimeona ni vyema nijitoe kwa moyo wote kuhakikisha wananchi wa Uyole wanapata huduma stahiki na maendeleo ya haraka. Nitoe wito kwenu, watu wengi watakuja kwenu, chagueni kiongozi, chagueni mtumishi, itasaidia sana kuendelea kuyakimbiza maendeleo ya jamii,” amesema Dkt. Tulia.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Dkt. Tulia Aongoza kwa Vitendo, Apiga Kura na Kuhamasisha Ushindi wa CCM Uyole

October 29, 2025

DKT MARY MWANJELWA AUNGANA NA WANANCHI KUPIGA KURA AHAMASISHA KUJITOKEZA KWA WINGI AMANI IMETAWALA

October 29, 2025

MWAKIPESILE: ”TUKAANDAMANE OKTOBA 29 KWA AJILI KUWAPIGIA KURA VIONGOZI KWA AMANI”

October 27, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025204

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024196

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025126
Don't Miss
Uncategorized

Nilivyogundua Ndugu Yangu Aliyekuwa Akiniombea Kwa Mabaya Bila Mimi Kujua

By Mbeya YetuNovember 6, 20251

Nilikuwa nikiamini kwamba ndugu ni ngao ya damu, watu ambao hata dunia ikinigeuka, wao watabaki…

Nilivyogundua siri ya kuishi bila msongo wa Mawazo baada ya kupoteza kila kitu

November 6, 2025

Nilivyofanikiwa Kumfanya Mtoto Wangu Aache Tabia ya Ukaidi na Kuanza Kufanya Vizuri Shuleni

November 5, 2025

Mume Wangu Aliniacha Bila Sababu, Lakini Miaka Mitatu Baadaye Akaja Akiomba Kunitaka Tena

November 5, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilivyogundua Ndugu Yangu Aliyekuwa Akiniombea Kwa Mabaya Bila Mimi Kujua

November 6, 2025

Nilivyogundua siri ya kuishi bila msongo wa Mawazo baada ya kupoteza kila kitu

November 6, 2025

Nilivyofanikiwa Kumfanya Mtoto Wangu Aache Tabia ya Ukaidi na Kuanza Kufanya Vizuri Shuleni

November 5, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025204

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024196
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.