Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

WANAFUNZI WAFUNGWA WA GEREZA LA RUANDA MBEYA WAHITIMU MAFUNZO CHUO CHA UFUNDI MAGEREZA

June 18, 2025

WAKAZI KATA YA MAJENGO MBEYA WATANGAZA MITANO TENA KWA DIWANI WAO MAULIDI JAMADARI

June 17, 2025

MAMLAKA MAJI MBEYA YABAINI WIZI MKUBWA WA MAJI ENEO LA MAGEREJINI SOWETO MFUMO WA MITA WAHUJUMIWA

June 16, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • WANAFUNZI WAFUNGWA WA GEREZA LA RUANDA MBEYA WAHITIMU MAFUNZO CHUO CHA UFUNDI MAGEREZA
  • WAKAZI KATA YA MAJENGO MBEYA WATANGAZA MITANO TENA KWA DIWANI WAO MAULIDI JAMADARI
  • MAMLAKA MAJI MBEYA YABAINI WIZI MKUBWA WA MAJI ENEO LA MAGEREJINI SOWETO MFUMO WA MITA WAHUJUMIWA
  • T/PRISON YAICHIMBA MKWARA YANGA,MBEYA HAICHOMOKI INAHITAJI ALAMA 3 KUJIKWAMUA KUSHUKA
  • Utekelezaji wa Ilani ya CCM Wampa Heshima Meya Mbeya Kata ya Isanga
  • MAKALA MAALUMU: “Utekelezaji wa Miaka Mitano: Kazi, Matendo na Mafanikio ya Mhe. Mahundi”
  • VIJANA CCM MBEYA DC WAJIPANGA KUPIGA KURA OKTOBA 2025.
  • “Kasi Yaongezeka! CCM Mbeya Yajaza Nafasi Mbili Kamati ya Siasa mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu”
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MH. MAHUNDI: SERIKALI YABORESHA MAWASILIANO KATA YA MKWAMBA RUKWA KUPITIA MIRADI YA UCSAF
Habari za Kitaifa

MH. MAHUNDI: SERIKALI YABORESHA MAWASILIANO KATA YA MKWAMBA RUKWA KUPITIA MIRADI YA UCSAF

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJune 8, 2025Updated:June 8, 2025No Comments7 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprsca Mahundi, amewatoa hofu wananchi kuwa Serikali inaendelea kuhakikisha kuwa wananchi wote wanapata huduma bora za mawasiliano hasa maeneo ya vijijini.

Katika kutekeleza hilo, kata ya Mkwamba iliyopo mkoani Rukwa yenye jumla ya vijiji vinne—Swaila, Tambaruka, Itindi na Lyele—imepata mafanikio makubwa kupitia miradi ya Serikali inayolenga kuboresha mawasiliano.

Kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Serikali imefanikiwa kujenga minara ya mawasiliano kwa kushirikiana na makampuni ya mawasiliano ya VODACOM na HALOTEL.

Mnara wa Vodacom umejengwa katika Kijiji cha Tambaruka kupitia mradi wa Tanzania ya Kidijitali (DTP), huku mnara wa Halotel ukijengwa katika Kijiji cha Itindi chini ya awamu ya tatu ya mradi wa mawasiliano vijijini.

Minara yote imewashwa na inatoa huduma kwa wananchi, hatua inayowezesha kuimarika kwa shughuli za kijamii na kiuchumi kupitia mawasiliano ya uhakika.

Meneja wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) Mkoa wa Rukwa, Bw. Ching’uli, amesema utekelezaji wa miradi ya UCSAF umeleta mabadiliko makubwa katika maisha ya wananchi wa Wilaya ya Nkasi kwa kuwaunganisha na huduma muhimu za mawasiliano.

Amesema kuwa kupitia minara iliyojengwa katika maeneo kama Kala, Izinga na Mlambo, wananchi wameweza kuwasiliana kwa urahisi zaidi, kupata taarifa kwa haraka, pamoja na kuendesha shughuli zao za biashara na kijamii kwa ufanisi.

“Huduma hizi zimefungua dunia kwa wananchi waliokuwa hawajawahi kupata mawasiliano kabisa,” alisema Ching’uli.

Aidha, Bw. Ching’uli ameongeza kuwa TTCL kama mtoa huduma wa ndani inaendelea kushirikiana na serikali katika kuhakikisha huduma zinafika hadi maeneo ya pembezoni ambayo bado hayajafikiwa.

Amesema kuwa pamoja na changamoto za miundombinu na jiografia ya maeneo mengi ya Nkasi, shirika lao limejipanga kuhakikisha kuwa kila mnara unaojengwa unatoa huduma bora na za uhakika kwa wananchi.

Aliwataka wananchi kutumia miundombinu hiyo kwa tija ili kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika jamii zao.

Nae Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Makongolo Nyerere ametumia wasaa huo kuishukuru serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote UCSAF kwa kupeleka huduma ya mawasiliano katika mkoa huo.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

VIJANA CCM MBEYA DC WAJIPANGA KUPIGA KURA OKTOBA 2025.

June 13, 2025

TARURA YAPATA TUZO USHIRIKISHAJI JAMII KATIKA UJENZI WA BARABARA

June 10, 2025

MFUKO WA HIFADHI YA JAMII PSSSF YAWAJENGEA UWEZO WANAHABARI MKOA WA MBEYA.

June 9, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024171

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202566

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202458
Don't Miss
Video Mpya

WANAFUNZI WAFUNGWA WA GEREZA LA RUANDA MBEYA WAHITIMU MAFUNZO CHUO CHA UFUNDI MAGEREZA

By Mbeya YetuJune 18, 20250

#mbeyayetutv

WAKAZI KATA YA MAJENGO MBEYA WATANGAZA MITANO TENA KWA DIWANI WAO MAULIDI JAMADARI

June 17, 2025

MAMLAKA MAJI MBEYA YABAINI WIZI MKUBWA WA MAJI ENEO LA MAGEREJINI SOWETO MFUMO WA MITA WAHUJUMIWA

June 16, 2025

T/PRISON YAICHIMBA MKWARA YANGA,MBEYA HAICHOMOKI INAHITAJI ALAMA 3 KUJIKWAMUA KUSHUKA

June 16, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

WANAFUNZI WAFUNGWA WA GEREZA LA RUANDA MBEYA WAHITIMU MAFUNZO CHUO CHA UFUNDI MAGEREZA

June 18, 2025

WAKAZI KATA YA MAJENGO MBEYA WATANGAZA MITANO TENA KWA DIWANI WAO MAULIDI JAMADARI

June 17, 2025

MAMLAKA MAJI MBEYA YABAINI WIZI MKUBWA WA MAJI ENEO LA MAGEREJINI SOWETO MFUMO WA MITA WAHUJUMIWA

June 16, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024171

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202566
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.