Ikiwa ni msimu wa tano tangu kuanzishwa kwa Tulia Trust Uyole Cup leo Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mh. Beno Malisa amezindua rasmi msimu wa Tano wa 2025 akiwataka wananchi kutofanya vurugu ili washuhudie vipaji kutoka Jiji la mbeya. Kwa upande wake Jaqline Boazi meneja wa Tulia Truss ameeleza namna wananchi wanavyonufahika na timu 35 kushiriki huku kaimu mwenyekiti wa wa chama cha mpira mkoa wa Mbeya akieleza namna matarajio yao ya kupata vipaji mbalimbali vya mpira.
Trending
- WANAFUNZI WAFUNGWA WA GEREZA LA RUANDA MBEYA WAHITIMU MAFUNZO CHUO CHA UFUNDI MAGEREZA
- WAKAZI KATA YA MAJENGO MBEYA WATANGAZA MITANO TENA KWA DIWANI WAO MAULIDI JAMADARI
- MAMLAKA MAJI MBEYA YABAINI WIZI MKUBWA WA MAJI ENEO LA MAGEREJINI SOWETO MFUMO WA MITA WAHUJUMIWA
- T/PRISON YAICHIMBA MKWARA YANGA,MBEYA HAICHOMOKI INAHITAJI ALAMA 3 KUJIKWAMUA KUSHUKA
- Utekelezaji wa Ilani ya CCM Wampa Heshima Meya Mbeya Kata ya Isanga
- MAKALA MAALUMU: “Utekelezaji wa Miaka Mitano: Kazi, Matendo na Mafanikio ya Mhe. Mahundi”
- VIJANA CCM MBEYA DC WAJIPANGA KUPIGA KURA OKTOBA 2025.
- “Kasi Yaongezeka! CCM Mbeya Yajaza Nafasi Mbili Kamati ya Siasa mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu”