Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

WATENDAJI WA UCHAGUZI WATAKIWA KUSOMA KATIBA, SHERIA, KANUNI ZA TUME

July 18, 2025

Wanablogu 200 wa TBN Kunufaika na Mafunzo ya Uzalendo na Weledi

July 17, 2025

DED MCHAU ATOBOA SIRI YA MAFANIKIO UFAULU KIDATO CHA SITA HALMASHAURI WILAYA YA RUNGWE

July 16, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • WATENDAJI WA UCHAGUZI WATAKIWA KUSOMA KATIBA, SHERIA, KANUNI ZA TUME
  • Wanablogu 200 wa TBN Kunufaika na Mafunzo ya Uzalendo na Weledi
  • DED MCHAU ATOBOA SIRI YA MAFANIKIO UFAULU KIDATO CHA SITA HALMASHAURI WILAYA YA RUNGWE
  • ANAYEFANYA KAZI BILA ‘PRESS CARD’ ANAVUNJA SHERIA
  • Dkt. Mpango: Ni Wakati wa Wanahabari Waafrika Kuandika Habari Chanya Kuhusu Afrika
  • WATENDAJI UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 WAFUNDWA
  • WALIMU 900 SEKONDARI MIKOA SABA WAPEWA DOZI KUFUNDISHA TEHAMA, RC MALISA AFUNGUA MAFUNZO SIKU TANO
  • SIRI YA UTAJIRI WA MWALUNENGE HII HAPA AWEKA BAYANA HAJATUMIA UGANGA WA MIUJIZA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป VIJANA CCM MBEYA DC WAJIPANGA KUPIGA KURA OKTOBA 2025.
Habari za Kitaifa

VIJANA CCM MBEYA DC WAJIPANGA KUPIGA KURA OKTOBA 2025.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJune 13, 2025No Comments2 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Wananchi wa Jimbo la Mbeya vijijini hususani vijana wamehimizwa kujiandaa kushiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 kwa maelezo kuwa ni haki yao kuchagua viongozi wanaowataka kwa mujibu wa katiba kwa maendeleo yao.

Wito huo umetolewa na Gabriel Kilembe afisa kutoka ofisi ya Mbunge wa Mbeya vijijini Oran Njeza wakati akizungumza na wananchi hususani vijana katika kata ya Inyala waliokusanyika kwa ajili ya bonanza la michezo na kukutanisha vijiji ikiwemo vya Inyala na Darajani.

Kilembe amewapongeza vijana kwa kuendelea kushirikiana na viongozi wao kuanzia ngazi ya vitongoji ambao wamekuwa chachu ya kusogeza huduma za maendeleo kwenye maeneo yao katika sekta mbalimbali.

Amesema Serikali imefanya mambo mengi ya kimaendeleo ikiwemo usambazaji huduma ya umeme kote vijijini, ujenzi wa shule, uboreshaji huduma za afya, miundombinu ya barabara na maeneo mengineyo hivyo kuwataka vijana kuwa kielelezo kwa kujitokeza kushiriki uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu ili kuchagua viongozi bora anaodai watasimamishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Amesema pia Mbunge wa Mbeya vijijini Mhe. Oran Manasse Njeza amekuwa mdau mkubwa wa sekta ya michezo ndio maana ameendelea na ugawaji jezi kwenye timu zaidi ya arobaini katika kata mbalimbali za jimbo hilo na kuahidi kuendelea kushirikiana na wananchi wake katika nyanja mbalimbali.

Fredy Mwampashi ni kiongozi wa vijana wa itifaki wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Mbeya vijijini, amewataka wananchi kuendelea kumuunga mkono Mbunge wa Mbeya vijijini Oran Njeza kwani ni kiongozi mahili, msikivu, mchapa kazi na muadilifu ndio maana amepewa nafasi ya kuongoza kamati ya kudumu ya bajeti Bungeni kama mwenyekiti wa kamati hiyo nyeti.

Baadhi ya wananchi waliozungumza nasi wamesema watahakikisha wanashiriki uchaguzi mkuu mwaka huu kwakuwa ni takwa la kikatiba na kueleza kupuuza madai ya baadhi ya wananchi wanaopinga kufanyika kwa uchaguzi mkuu.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

WATENDAJI WA UCHAGUZI WATAKIWA KUSOMA KATIBA, SHERIA, KANUNI ZA TUME

July 18, 2025

Wanablogu 200 wa TBN Kunufaika na Mafunzo ya Uzalendo na Weledi

July 17, 2025

ANAYEFANYA KAZI BILA ‘PRESS CARD’ ANAVUNJA SHERIA

July 16, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024174

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202484

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202570

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202460
Don't Miss

WATENDAJI WA UCHAGUZI WATAKIWA KUSOMA KATIBA, SHERIA, KANUNI ZA TUME

By Mbeya YetuJuly 18, 20250

Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Sheria wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Cyprian…

Wanablogu 200 wa TBN Kunufaika na Mafunzo ya Uzalendo na Weledi

July 17, 2025

DED MCHAU ATOBOA SIRI YA MAFANIKIO UFAULU KIDATO CHA SITA HALMASHAURI WILAYA YA RUNGWE

July 16, 2025

ANAYEFANYA KAZI BILA ‘PRESS CARD’ ANAVUNJA SHERIA

July 16, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

WATENDAJI WA UCHAGUZI WATAKIWA KUSOMA KATIBA, SHERIA, KANUNI ZA TUME

July 18, 2025

Wanablogu 200 wa TBN Kunufaika na Mafunzo ya Uzalendo na Weledi

July 17, 2025

DED MCHAU ATOBOA SIRI YA MAFANIKIO UFAULU KIDATO CHA SITA HALMASHAURI WILAYA YA RUNGWE

July 16, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024174

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202484

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202570
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.