Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

BAKWATA WAKUSANYA MAKUNDI YA KIJAMII WAENDESHA SEMINA YA AMANI KUSAHAU MATUKIO OKT 29

March 11, 2026

King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.

March 9, 2026

Uzalendo wa Kweli: King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.

March 9, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • BAKWATA WAKUSANYA MAKUNDI YA KIJAMII WAENDESHA SEMINA YA AMANI KUSAHAU MATUKIO OKT 29
  • King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.
  • Uzalendo wa Kweli: King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.
  • BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI
  • MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE
  • RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO
  • WANAWAKE WATAKIWA KUENDELEA KUPINGA UKATILI KATIKA JAMII
  • Funguka Foundation Yapokea Msaada wa Mashine ya Kufulia Kutoka Wanawake TAKUKURU MBEYA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » TUME YATOA KIBALI KWA ASASI 252 KUFANYA KAZI WAKATI WA UCHAGUZI MKUU 2025
Habari za Kitaifa

TUME YATOA KIBALI KWA ASASI 252 KUFANYA KAZI WAKATI WA UCHAGUZI MKUU 2025

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJuly 20, 2025Updated:July 20, 2025No Comments7 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email


 

 

 

 

 

 

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
(INEC) imetoa vibali vya kutoa elimu ya mpiga kura wakati wa uchaguzi mkuu wa
mwaka 2025 kwa taasisi na asasi za kiraia 164 na kibali cha uangalizi wa
uchaguzi kwa taasisi na asasi 76 za ndani ya nchi na 12 za kimataifa.


Taarifa ya Tume kwa vyombo vya
habari iliyotolewa leo Julai 19,2025 na kusainiwa na mkurugenzi wa Uchaguzi wa
INEC, Ndg. Ramadhani Kailima imesema Tume imefikia uamuzi wa kutoa vibali hivyo
katika kikao chake kilichokutana Julai 18, mwaka huu.
“Kwa kuzingatia masharti ya
kifungu cha 10(1) (g) (h) cha Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Na. 2 ya
mwaka 2024 kikisomwa pamoja na Kanuni ya 22 ya Kanuni za Tume Huru ya Taifa ya
Uchaguzi za mwaka 2024, katika kikao chake maalum kilichofanyika tarehe 18
Julai, 2025 Tume imeridhia na kutoa kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura wakati
wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kwa taasisi na asasi za kiraia 164.,”alisema taarifa hiyo ya Tume.

 Aidha, Kailima amesema katika kikao hicho
imeridhia na kutoa kibali cha uangalizi wa uchaguzi kwa taasisi na asasi 76 za
ndani ya nchi na 12 za kimataifa.

Taarifa hiyo ya Kailima
imesema Tume imefanya uamuzi huo kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha
10(1)(i) cha Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Na. 2 ya mwaka 2024
kikisomwa pamoja na kifungu cha 85(4) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge
na Madiwani, Na. 1 ya Mwaka 2024 na kanuni ya 13(1) na (2) ya Kanuni za
Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025.

Orodha ya taasisi na asasi
husika inapatikana kupitia tovuti ya Tume ya www.inec.go.tz na mitandao ya kijamii ya Tume Huru ya Taifa ya
Uchaguzi.

“Taasisi na asasi za kiraia
zilizoridhiwa na kupewa kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura zitajulishwa kwa
njia ya barua pepe kupitia Mfumo wa Usajili (Accreditation Management System)
ili kujaza taarifa za kuwawezesha kukamilisha taratibu nyingine ikiwemo kuweka
orodha ya watu watakaotoa elimu hiyo,”imesema sehemu ya taarifa hiyo ya Tume.

Aidha, Kwa upande wa taasisi
na asasi za kiraia zilizopata kibali cha kuwa waangalizi wa uchaguzi zimetakiwa
kuwasilisha kwa njia ya Mfumo wa Usajili (Accreditation Management System)
majina ya waangalizi na maeneo waliyopangiwa kufanya uangalizi huo kwa ajili ya
kuwaandalia vibali.

Tume imebainisha kuwa, taarifa
zingine zote muhimu kuhusu utekelezaji wa majukumu ya utoaji wa elimu ya mpiga
kura na uangalizi wa uchaguzi, miongozo na taratibu zote zitatolewa mapema
iwezekanavyo.

Tume imezipongeza taasisi na
asasi za kiraia ambazo zimepata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura na kuwa
waangalizi wa Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2025.


Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Uzalendo wa Kweli: King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.

March 9, 2026

WANAWAKE WATAKIWA KUENDELEA KUPINGA UKATILI KATIKA JAMII

March 9, 2026

Funguka Foundation Yapokea Msaada wa Mashine ya Kufulia Kutoka Wanawake TAKUKURU MBEYA

March 8, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025364

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236

Vijana Wamchana Waziri wa Vijana, ”Si Wananchi, Ila Watumishi Ndio Watakaoniangusha”

December 1, 2025141
Don't Miss
Video Mpya

BAKWATA WAKUSANYA MAKUNDI YA KIJAMII WAENDESHA SEMINA YA AMANI KUSAHAU MATUKIO OKT 29

By Mbeya YetuMarch 11, 20260

#mbeyayetutv

King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.

March 9, 2026

Uzalendo wa Kweli: King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.

March 9, 2026

BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI

March 9, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

BAKWATA WAKUSANYA MAKUNDI YA KIJAMII WAENDESHA SEMINA YA AMANI KUSAHAU MATUKIO OKT 29

March 11, 2026

King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.

March 9, 2026

Uzalendo wa Kweli: King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.

March 9, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025364

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.