Serikali imezindua mkakati wa kuongeza fursa za ardhi kwa vijana kupitia Benki Maalum ya Ardhi, taasisi itakayowezesha vijana kumiliki maeneo kwa ajili ya kilimo, ujenzi na uwekezaji.Katika ufunguzi wa maonesho ya kilimo Nane Nane mkoani Mbeya, Mkuu wa Mkoa Beno Malisa amesisitiza umuhimu wa vijana kuondokana na changamoto za ardhi na kutumia pembejeo bora ili kuongeza tija kwenye kilimo.Aidha, Meneja wa Azania Bank Mkoa wa Mbeya ameahidi kuunga mkono jitihada hizo kwa kuwapatia wananchi huduma rafiki za kifedha zitakazowezesha maendeleo katika kilimo na ufuga
Trending
- Nilipofahamu Ushirikina Usioonekana Kwenye Familia Yangu, Kila Nilichojuwa Kilikuwa Kinaogopesha
- Kila Nilipopata Pesa, Zilikuwa Zikitoweka Sababu Nilizoigundua Ilinishtua
- Ubishi Wageuka Rekodi: Bodaboda Afika Dar kwa Saa 10
- Huzuni Mbeya: Mwalimu Afia Nyumbani, Mwili Wakutwa Umeharibika Baada ya Wiki Tatu
- Mauaji ya Kikatili Mbeya: Watoto Watatu Wanyongwa kwa Ajili ya Ng’ombe
- Niliona Kila Kitu Kikikwama Nyumbani Mabadiliko Madogo Yalileta Utulivu Uliokosekana
- Bosi Wangu Alitaka Kuniangamiza Kwenye Kazi, Lakini Hatua Niliyopiga Ilimfanya Aniombe Msamaha
- Sikia Mchungaji huyu alivyosema na Wachawi(ABHALOSI KUFWINA INYAMA ZA BHAANDU MUUNDA MMYABHO)

