Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

“KUNUNA MWISHO – MWALUNENGE AWAPA MOTISHA VIJANA WA KIWIRA: PESA IPO, CHANGAMKIA FURSA”

December 10, 2025

Alivyovutia fursa kubwa katika kutengeneza samani na kuuza

December 10, 2025

MEYA ISSA ACHARUKA—AMLIPUA MKANDARASI WA SOKO MATOLA NA STENDI KUU KWA KUCHELEWESHA UJENZI

December 10, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • “KUNUNA MWISHO – MWALUNENGE AWAPA MOTISHA VIJANA WA KIWIRA: PESA IPO, CHANGAMKIA FURSA”
  • Alivyovutia fursa kubwa katika kutengeneza samani na kuuza
  • MEYA ISSA ACHARUKA—AMLIPUA MKANDARASI WA SOKO MATOLA NA STENDI KUU KWA KUCHELEWESHA UJENZI
  • Mama Ashikiliwa Kwa Tuhuma za Mauaji ya Mtoto Wake wa Miaka 10
  • Baada ya hapo ndipo akapata kazi kubwa zaidi!
  • SIMBACHAWENE ATEMBEA MITAANI KUANGALIA USALAMA—AWAPA HONGERA WANANCHI KWA UTULIVU
  • Taarifa nyingine Tena Toka jeshi la polisi
  • 2021 11 26 14 36 44
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MWAMBENE, MARO WAKABIDHIWA VITAMBULISHO RASMI VYA UANDISHI WA HABARI
Uncategorized

MWAMBENE, MARO WAKABIDHIWA VITAMBULISHO RASMI VYA UANDISHI WA HABARI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuAugust 7, 2025No Comments0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene, pamoja na mpiga picha wa zamani wa Rais, Ikulu, Fredrick Maro, wamekabidhiwa rasmi Vitambulisho vyao vya Uandishi wa Habari (Presscard) leo tarehe 07 Agosti 2025, baada ya kukidhi vigezo vilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria.
Zoezi hilo limefanyika katika Ofisi za Bodi zilizopo Mtaa wa Jamhuri, jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa JAB, Wakili Patrick Kipangula.
Akizungumza mara baada ya kuwakabidhi vitambulisho hivyo, Wakili Kipangula alibainisha kuwa Mwambene na Maro wamefuata utaratibu wa kisheria,  ikiwa ni pamoja na kujisajili, kuthibitisha taaluma zao na kuwasilisha nyaraka zilizotakiwa.
“Hili ni zoezi endelevu. Waandishi wote wa habari nchini wanatakiwa kuwa na Presscard inayotolewa na Bodi ya Ithibati ili kuendesha shughuli zao za kihabari kihalali na kuzingatia maadili ya taaluma  na Sheria,” alisema Kipangula.
Kwa mujibu wa Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016, kifungu cha 19 (1), mtu yeyote anayetaka kufanya kazi za kihabari ni lazima awe amesajiliwa rasmi na Bodi, kuthibitishwa na kupewa kitambulisho kinachotambulika na Serikali. Vinginevyo, mtu anayejihusisha na shughuli za kihabari bila kuthibitishwa kisheria anakuwa anatenda kosa.
Assah Mwambene, ambaye pia amewahi kuhudumu kama Mkurugenzi wa Habari katika Ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa, ni mmoja wa Waandishi wa habari wenye uzoefu mpana katika sekta ya mawasiliano na diplomasia ya umma. Fredrick Maro pia ni mpiga picha maarufu aliyekuwa karibu na taasisi ya Urais kwa miaka kadhaa, na mchango wake umetambuliwa mara nyingi katika vyombo vya habari na kumbukumbu za taifa.
Wakati huo huo, Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari imeendelea na kampeni ya kuwasisitiza waandishi wote wanaofanya kazi katika maeneo mbalimbali kuhakikisha wanajisajili, kuthibitishwa, na kufanya kazi kwa kufuata maadili ya taaluma yao.
“Tunapenda kuona taaluma ya habari ikiheshimika, na hilo linaanza na kila mwandishi kutekeleza wajibu wake kwa mujibu wa Sheria. Hii inalinda hadhi ya taaluma na maslahi mapana  ya taifa,” aliongeza Wakili Kipangula.
Mpaka sasa ya waandishi wa habari  3,240 wameshajisajili, huku idadi hiyo ikitarajiwa kuongezeka kutokana na mabadiliko yanayoendelea ndani ya vyombo vya habari na utoaji wa elimu kuhusu umuhimu wa Ithibati.
Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Alivyovutia fursa kubwa katika kutengeneza samani na kuuza

December 10, 2025

Baada ya hapo ndipo akapata kazi kubwa zaidi!

December 9, 2025

Polepole hisia zilianza kurejea na maisha yalianza upya!

December 9, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025249

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024207

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025130
Don't Miss
Video Mpya

“KUNUNA MWISHO – MWALUNENGE AWAPA MOTISHA VIJANA WA KIWIRA: PESA IPO, CHANGAMKIA FURSA”

By Mbeya YetuDecember 10, 20250

Alivyovutia fursa kubwa katika kutengeneza samani na kuuza

December 10, 2025

MEYA ISSA ACHARUKA—AMLIPUA MKANDARASI WA SOKO MATOLA NA STENDI KUU KWA KUCHELEWESHA UJENZI

December 10, 2025

Mama Ashikiliwa Kwa Tuhuma za Mauaji ya Mtoto Wake wa Miaka 10

December 10, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

“KUNUNA MWISHO – MWALUNENGE AWAPA MOTISHA VIJANA WA KIWIRA: PESA IPO, CHANGAMKIA FURSA”

December 10, 2025

Alivyovutia fursa kubwa katika kutengeneza samani na kuuza

December 10, 2025

MEYA ISSA ACHARUKA—AMLIPUA MKANDARASI WA SOKO MATOLA NA STENDI KUU KWA KUCHELEWESHA UJENZI

December 10, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025249

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024207
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.