Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

BAKWATA WAKUSANYA MAKUNDI YA KIJAMII WAENDESHA SEMINA YA AMANI KUSAHAU MATUKIO OKT 29

March 11, 2026

King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.

March 9, 2026

Uzalendo wa Kweli: King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.

March 9, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • BAKWATA WAKUSANYA MAKUNDI YA KIJAMII WAENDESHA SEMINA YA AMANI KUSAHAU MATUKIO OKT 29
  • King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.
  • Uzalendo wa Kweli: King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.
  • BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI
  • MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE
  • RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO
  • WANAWAKE WATAKIWA KUENDELEA KUPINGA UKATILI KATIKA JAMII
  • Funguka Foundation Yapokea Msaada wa Mashine ya Kufulia Kutoka Wanawake TAKUKURU MBEYA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » “Polisi Mbeya Wanasa Watuhumiwa 9 wa Utapeli Kupitia Mitandao ya Kijamii”
Video Mpya

“Polisi Mbeya Wanasa Watuhumiwa 9 wa Utapeli Kupitia Mitandao ya Kijamii”

Mbeya YetuBy Mbeya YetuAugust 20, 2025No Comments10 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email



Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa saba [09] kwa tuhuma za utapeli na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kupitia mitandao ya kijamii ya Facebook na WhatsApp. Watuhumiwa hao walikamatwa kwa nyakati tofauti katika Misako inayofanywa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya ambapo Agosti 18, 2025 saa 6:00 mchana huko Kitongoji na Kata ya Nsalala, Tarafa ya Usongwe, walikamatwa watuhumiwa 04 wanaojishughulisha na utapeli wa fedha kupitia mitandao ya Facebook na WhatsApp kwa kudanganya wanatafuta wafanyakazi wa kuuza Supermarket iitwayo Kajala iliyopo Jijini Dar es salaam.

Watuhumiwa waliokamatwa ni Nemia Japhet Njonga [23] fundi rangi, mkazi wa mwakapangala, Ombeni Asangalwisye Ambilikile [22] Bodaboda, mkazi wa Nsalala, Jacob Peter Hamis [23] fundi rangi, mkazi wa mwakapangala, Baraka Joniphat Mgala [22] Bodaboda, mkazi wa mtaa wa Ndola Mbalizi.

Watuhumiwa wamekuwa wakitengeneza link za kughushi kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook na WhatsApp ambapo mtu anayeomba ajira hutumia kujiunga kwenye kundi hilo na kisha hutumiwa ujumbe unaomtaka kutuma CV yake na kumuomba mtume fedha za kujaziwa fomu na kulipia sare za kufanyia kazi. Watuhumiwa wamekutwa wakiwa na simu mbalimbali pamoja na laini za simu za mitandao mbalimbali zilizosajiliwa kwa majina ya watu tofauti ambazo hutumika kupokelea fedha na kufanyia mawasiliano

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

BAKWATA WAKUSANYA MAKUNDI YA KIJAMII WAENDESHA SEMINA YA AMANI KUSAHAU MATUKIO OKT 29

March 11, 2026

King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.

March 9, 2026

BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI

March 9, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025364

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236

Vijana Wamchana Waziri wa Vijana, ”Si Wananchi, Ila Watumishi Ndio Watakaoniangusha”

December 1, 2025141
Don't Miss
Video Mpya

BAKWATA WAKUSANYA MAKUNDI YA KIJAMII WAENDESHA SEMINA YA AMANI KUSAHAU MATUKIO OKT 29

By Mbeya YetuMarch 11, 20260

#mbeyayetutv

King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.

March 9, 2026

Uzalendo wa Kweli: King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.

March 9, 2026

BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI

March 9, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

BAKWATA WAKUSANYA MAKUNDI YA KIJAMII WAENDESHA SEMINA YA AMANI KUSAHAU MATUKIO OKT 29

March 11, 2026

King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.

March 9, 2026

Uzalendo wa Kweli: King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa Kuikwamua Sekta ya Afya.

March 9, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025364

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.