Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Beno Malisa Azindua Tawi la Strategies Insurance Mbeya, Akaribisha Wawekezaji

February 13, 2026

RC Malisa Afungua Mafunzo ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi Mbeya

February 11, 2026

CRDB YAUNGANA NA JESHI LA POLISI MBEYA KUELEKEA SIKU MAALUM YA POLISI.

February 11, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Beno Malisa Azindua Tawi la Strategies Insurance Mbeya, Akaribisha Wawekezaji
  • RC Malisa Afungua Mafunzo ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi Mbeya
  • CRDB YAUNGANA NA JESHI LA POLISI MBEYA KUELEKEA SIKU MAALUM YA POLISI.
  • DAS Mbeya: Kipato Kisiharibu Vyanzo vya Maji
  • KUMBUKUMBU YA EDWARD NGOYAI LOWASSA
  • Wilaya ya Mbeya Yapiga Marufuku Kilimo na Ukataji Miti Kwenye Vyanzo vya Maji
  • Tazama muonekano mpya wa Soko la Kariakoo
  • TGNP na CARE Waimarisha Elimu ya Tabia Nchi Mbeya
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » DKT. TULIA AHAIDI KUMALIZA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU KWA WANANCHI WAKE
Habari za Kitaifa

DKT. TULIA AHAIDI KUMALIZA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU KWA WANANCHI WAKE

Mbeya YetuBy Mbeya YetuSeptember 24, 2025No Comments7 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Uyole kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi ( CCM) Dkt. Tulia Ackson, ameendelea na Kampeni Zake za Kuomba ridhaa kwa Wananchi wa Jimbo hilo kumchagua kwa kura nyingi kwa nafasi yake ya Ubunge na kura nyingi kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa nafasi ya Urais katika Uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 ili wakaendelee kutatua Changamoto zinazowakabili ikiwemo upatikanaji wa Soko la Kisasa ndani ya Mtaa wa Ituha Kata ya Ilomba.

Akizungumza mbele ya Wananchi wa kata ya Ilomba Katika Mitaa wa Ituha leo tarehe 23 Septemba, 2025 , Dkt. Tulia amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kimejipanga Kufanya kazi Kama ambavyo Kimefanya awamu zilizopita Katika sekta mbalimbali ikiwemo Elimu, Afya, Nishati na Miundombinu hivyo Wananchi Wanapaswa Kuwa na imani kubwa.

Katika hatua nyingine, Dkt. Tulia amesema katika sekta ya Elimu ndani ya kata ya Ilomba CCM imejenga Shule ya Msingi Tonya, imejenga Madarasa Mapya na Kuboresha Mazingira ya Elimu Sambamba na Kumaliza tatizo la uhaba wa Madawati, imeboresha Miundombinu ya Shule ya Sekondari Ilomba na Kujenga Shule ya Sekondari Ikulu sambamba na kutoa Vifaa vya Shule (Daftari) na Sare za Shule kwa wanafunzi wanaotoka Kwenye Mazingira Magumu ili watoto wa Ilomba wapate elimu bora na hayo yote yataendelea kufanyika endapo wataipa dhamana CCM.

Hali kadhalika, Dkt. Tuliaameongeza kuwa, aanatarajia kuboreha Miundombinu Katika sekta ya Elimu ikiwemo Ukarabati wa Madarasa Kwa Shule zote za Msingi na Sekondari, Kumaliza Changamoto ya Maji Kupitia Mradi wa Mto Simba utakaopeleka Maji ndani ya Kata hiyo kwani tayari utekekelezaji wake umeanza na pia Mradi Mkubwa wa Mto Kiwira utamaliza Kabisa tatizo la Maji, Kuhakikisha zahanati ya Ilomba inatoa huduma zilizo bora na pia Kujenga Kituo cha Afya na Kuboresha zaidi huduma Katika Hospitali ya Wilaya ya Igawilo ikiwemo Kuongeza Wahudumu na Kutoa Bima za Afya Kwa wote hususani Kaya zisizojiweza.

Katika hatua Nyingine, Dkt .Tulia amesema atahakikisha Barabara ndani ya Kata ya Ilomba zinajengwa Kwa Kiwango Cha lami pamoja na kuunganisha Kata ya Ilomba na Uyole kupitia Barabara ya Roma Ituha Kwenda Nsongwi Juu na kuzifanya Barabara za Mitaa zipitike nyakati zote.

Kampeni za jimbo la Uyole zinapambwa na kaulimbiu ya “Uyole Kazi” ikilenga Kufanya kazi Kwa Maarifa na Nguvu Zaidi.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

KUMBUKUMBU YA EDWARD NGOYAI LOWASSA

February 10, 2026

JK KWA MFALME MSWATI III KUJADILI UPATIKANAJI WA FEDHA ZA MIRADI YA AFYA KWA NCHI WANACHAMA WA ECSA

February 4, 2026

TGNP na CARE Watoa Mafunzo ya Mabadiliko ya Tabia Nchi kwa Jamii Mbeya

January 31, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025342

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025252

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024229

Vijana Wamchana Waziri wa Vijana, ”Si Wananchi, Ila Watumishi Ndio Watakaoniangusha”

December 1, 2025139
Don't Miss
Video Mpya

Beno Malisa Azindua Tawi la Strategies Insurance Mbeya, Akaribisha Wawekezaji

By Mbeya YetuFebruary 13, 20263

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Region, Beno Malisa, amesema Serikali ipo tayari kutoa ushirikiano kwa wawekezaji wote wanaotaka kuwekeza mkoani humo ili kuchochea ukuaji wa uchumi na kuongeza ajira kwa wananchi.

Amesema hayo wakati wa uzinduzi wa tawi la Strategies Insurance, kampuni inayotoa huduma za bima, uliofanyika jijini Mbeya. Amepongeza uamuzi wa kampuni hiyo kufungua tawi katika mkoa huo, akieleza kuwa hatua hiyo itarahisisha upatikanaji wa huduma za bima kwa wananchi na wafanyabiashara.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Strategies Tanzania, Jabiri Kigoda, amesema kampuni hiyo imejipanga kutoa huduma bora, za haraka na zinazoendana na mahitaji ya wateja.

Aidha, baadhi ya viongozi wa taasisi mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo wamewahimiza wananchi kujiunga na huduma za bima ili kujikinga na athari za majanga yanayoweza kujitokeza, pamoja na kulinda mali na maisha yao.

RC Malisa Afungua Mafunzo ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi Mbeya

February 11, 2026

CRDB YAUNGANA NA JESHI LA POLISI MBEYA KUELEKEA SIKU MAALUM YA POLISI.

February 11, 2026

DAS Mbeya: Kipato Kisiharibu Vyanzo vya Maji

February 10, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Beno Malisa Azindua Tawi la Strategies Insurance Mbeya, Akaribisha Wawekezaji

February 13, 2026

RC Malisa Afungua Mafunzo ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi Mbeya

February 11, 2026

CRDB YAUNGANA NA JESHI LA POLISI MBEYA KUELEKEA SIKU MAALUM YA POLISI.

February 11, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025342

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025252

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024229
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.