Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilipofahamu Ushirikina Usioonekana Kwenye Familia Yangu, Kila Nilichojuwa Kilikuwa Kinaogopesha

January 17, 2026

Kila Nilipopata Pesa, Zilikuwa Zikitoweka Sababu Nilizoigundua Ilinishtua

January 17, 2026

Ubishi Wageuka Rekodi: Bodaboda Afika Dar kwa Saa 10

January 17, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilipofahamu Ushirikina Usioonekana Kwenye Familia Yangu, Kila Nilichojuwa Kilikuwa Kinaogopesha
  • Kila Nilipopata Pesa, Zilikuwa Zikitoweka Sababu Nilizoigundua Ilinishtua
  • Ubishi Wageuka Rekodi: Bodaboda Afika Dar kwa Saa 10
  • Huzuni Mbeya: Mwalimu Afia Nyumbani, Mwili Wakutwa Umeharibika Baada ya Wiki Tatu
  • Mauaji ya Kikatili Mbeya: Watoto Watatu Wanyongwa kwa Ajili ya Ng’ombe
  • Niliona Kila Kitu Kikikwama Nyumbani Mabadiliko Madogo Yalileta Utulivu Uliokosekana
  • Bosi Wangu Alitaka Kuniangamiza Kwenye Kazi, Lakini Hatua Niliyopiga Ilimfanya Aniombe Msamaha
  • Sikia Mchungaji huyu alivyosema na Wachawi(ABHALOSI KUFWINA INYAMA ZA BHAANDU MUUNDA MMYABHO)
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » BARABARA YA JUHUDI KATA YA ILEMI KUJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI KAMA ILE YA MAPELELE
Habari za Kitaifa

BARABARA YA JUHUDI KATA YA ILEMI KUJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI KAMA ILE YA MAPELELE

Mbeya YetuBy Mbeya YetuOctober 2, 2025No Comments19 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Leo 29 Oktoba 2025 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Uyole kwa tiketi ya CCM Dkt Tulia Ackson ameendela na Kampeni zake za kuinadi Ilani ya Uchaguzi ya CCM Kata ya Ilemi ambapo amewahidi Wakazi wa eneo hilo Kuhakikisha Barabara ya Juhudi ambayo ni kero Kubwa kwa Wananchi inajengwa kwa Kiwango cha Lami kama ya Mapelele.

Dkt. Tulia amesema wakati anaomba ridhaa ya kuliongoza Jimbo la Mbeya Mjini aliahidi Kujenga Barabara ya Mapelele ambayo tayari imekamilika, Pia aliahidi Ujenzi wa Barabara njia Nne ambayo Ujenzi wake unaendelea hivyo kwa sasa atahakikisha Barabara ya Juhudi na Ile ya kwenda Kituo cha Afya zinajengwa.

Akizungumza Mbele ya Wananchi wa Ilemi Kwenye Mkutano wake wa Kampeni eneo la Uwanja wa James amesema Sambamba na Barabara hizo pia atahakikisha Barabara ya Kuunganisha Ilemi na Kata ya Mwansenkwa inajengwa, Mitaro Mikubwa na Vivuko vyote vitajengwa ili kurahisisha Shughuri za Usafiri na kuwaunganisha Wakazi wa Jimbo la Uyole kwa Barabara za Lami.

Sambamba na hayo Dkt. Tulia ameeleza Mambo atakayoyafanya ndani ya Jimbo la Uyole na Kata hiyo ikiwa ni Pamoja na Kujenga na Kukarabati Madarasa ya Shule zote kata ya Ilemi, kuboresha huduma za Afya ndani ya Kituo cha Afya Ilemi na Hospitali ya Igawilo, Kuwainua Wananchi wa Uyole Kiuchumi na Kutatua Changamoto ya upatikanaji wa Maji.

Mkutano huo wa Kampeni za Dkt Tulia umehudhuriwa na Naibu katibu Mkuu wa Jumuia ya Umoja wa Wazazi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Ndg. Kilumbe Ng’enda ambaye amewapongeza Wananchi wa Jimbo la Uyole kwa Kumpa ridhaa Dkt. Tulia Ackson kuwa Mbunge awamu iliyopita kwani Kiongozi huyo amefanya Kazi nzuri katika nafasi ya Spika wa Bunge la Tanzania na Umoja wa Mbunge Dunia (IPU) na amewataka wajitokeze kupiga Kura nyingi kwa Wagombea wa CCM 29 Oktoba 2025 ili Waendelee kuwaletea Maendeleo.

Kampeni za Jimbo la Uyole zinapambwa na kaulimbiu ya “Uyole Kazi” ikilenga Kufanya kazi Kwa Maarifa na Nguvu Zaidi.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Child Support Tanzania Yawawezesha Madiwani Mbeya Kuhusu Elimu Jumuishi

January 8, 2026

NMB Yaimarisha Ushirikiano na Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya

January 7, 2026

MHE. MAHUNDI AWASISITIZA WATOTO WA SHULE YA MAADILISHO IRAMBO KUBADILIKA NA KUJENGA MUSTAKABALI MWEMA

January 6, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025304

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025243

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024217

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025135
Don't Miss
Uncategorized

Nilipofahamu Ushirikina Usioonekana Kwenye Familia Yangu, Kila Nilichojuwa Kilikuwa Kinaogopesha

By Mbeya YetuJanuary 17, 20261

Kwa muda mrefu nilikuwa nikiishi maisha ya kawaida juu juu. Kila kitu kilionekana sawa. Lakini…

Kila Nilipopata Pesa, Zilikuwa Zikitoweka Sababu Nilizoigundua Ilinishtua

January 17, 2026

Ubishi Wageuka Rekodi: Bodaboda Afika Dar kwa Saa 10

January 17, 2026

Huzuni Mbeya: Mwalimu Afia Nyumbani, Mwili Wakutwa Umeharibika Baada ya Wiki Tatu

January 16, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilipofahamu Ushirikina Usioonekana Kwenye Familia Yangu, Kila Nilichojuwa Kilikuwa Kinaogopesha

January 17, 2026

Kila Nilipopata Pesa, Zilikuwa Zikitoweka Sababu Nilizoigundua Ilinishtua

January 17, 2026

Ubishi Wageuka Rekodi: Bodaboda Afika Dar kwa Saa 10

January 17, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025304

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025243

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024217
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.