Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo

November 10, 2025

Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote

November 10, 2025

Nilivyofanikiwa Kumaliza Migogoro Kati ya Watoto Wangu na Kurudisha Upendo Nyumbani

November 9, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo
  • Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote
  • Nilivyofanikiwa Kumaliza Migogoro Kati ya Watoto Wangu na Kurudisha Upendo Nyumbani
  • Nilivyopata Kazi Ndoto Zangu Baada ya Kuacha Kusema “Sina Bahati” Kila Wakati
  • VIONGOZI WA BARAZA KUU LA WAISLAMU BAKWATA MKOA WA MBEYA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI SHULE YA SEKONDARI YA KIISLAMU JIJINI MBEYA.
  • Nilivyoshinda Bet Kubwa ya Ligi Kuu Uingereza
  • Nilivyolazimika Kuacha Kazi Nzuri Ili Kuhifadhi Ndoa Yangu Isivunjike
  • TUME YATANGAZA WABUNGE 115 WA VITI MAALUM
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MGOMBEA UBUNGE MHE. BAHATI KENETH NDINGO AENDELEA NA ZIARA KATA YA RUJEWA, MBARALI
Habari za Kitaifa

MGOMBEA UBUNGE MHE. BAHATI KENETH NDINGO AENDELEA NA ZIARA KATA YA RUJEWA, MBARALI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuOctober 7, 2025No Comments5 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Kampeni za Uchaguzi Mkuu zinaendelea kwa kasi katika Jimbo la Mbarali, ambapo Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Bahati Keneth Ndingo, ameendelea na ziara yake ya kuomba kura kwa wananchi na wanachama wa CCM katika Kata ya Rujewa na maeneo ya jirani yanayo unda kata hiyo

Katika ziara hiyo ya leo, Mhe. Bahati Ndingo ametembelea maeneo mbalimbali ya Kata ya Rujewa, yakiwemo maeneo ya: Ihanga, Luwilindi, Mkwajuni, Rujewa Mjini, Mabanda, na Ibara, ambapo amekuwa akizungumza moja kwa moja na wananchi, akiwasihi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, na kuwachagua wagombea wote wa CCM kuanzia nafasi ya Urais, Ubunge hadi Udiwani.

Aidha Bahati Ndingo Amemshukuru Mgombea wanafasi ya Urais wa chama cha mapinduzi CCM DKT, Samia suluhu Hassani Kwa kazi kubwa alizozifanya katika Jimbo la Mbarali Kwa kuleta fedha nyingi za miradi kwaajili ya wananchi wa Mbarali , hivyo amewasihi wananchi na wanachama wa chama cha mapinduzi CCM kumuunga mkono Kwa kupiga kura nyingi za Ndiyo kama ishara ya kurudisha shukrami kazi kubwa alizozifanya Mbarali

Katika ziara hiyo Mgombea Ubunge Bahati Ndingo amefanya mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Starlight, Rujewa, ambapo ameinadi Ilani ya CCM ya mwaka 2025 – 2030, huku akielezea mafanikio mbalimbali yaliyopatikana kupitia chama hicho ndani ya kata hiyo, Pia ameeleza kuwa serikali ya CCM imeweza kutekeleza miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 2.5, ikiwa ni pamoja na miradi ya elimu, afya, miundombinu, na miradi ya maji

Ziara hiyo imeendelea kuimarisha uungwaji mkono kwa CCM katika Jimbo la Mbarali, huku wananchi wengi wakionesha matumaini makubwa kwa utekelezaji wa ahadi za chama hicho endapo kitapewa ridhaa ya kuendelea kushika Dora

Kampeni hizi zinaongozwa na kaulimbiu ya “Tunaendeleza Tulipoishia – Mbarali Yetu, Fahari Yetu” Kauli mbiu hii ikiwa inalenga na kusisitiza Kazi, Maarifa, Nguvu, na kujituma zaidi kwa maendeleo ya wananchi.

📲 Endelea kufuatilia taarifa na matukio ya kampeni ya Mhe. Bahati Keneth Ndingo kupitia kurasa rasmi za mitandao ya kijamii.

🔰 @Bahati Keneth Ndingo
#BKN #CCM2025 #MbaraliKwanza

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

VIONGOZI WA BARAZA KUU LA WAISLAMU BAKWATA MKOA WA MBEYA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI SHULE YA SEKONDARI YA KIISLAMU JIJINI MBEYA.

November 9, 2025

TUME YATANGAZA WABUNGE 115 WA VITI MAALUM

November 7, 2025

TUME YATOA MAELEKEZO YA KISERA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025

October 23, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025224

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025213

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024197

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025126
Don't Miss
Uncategorized

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo

By Mbeya YetuNovember 10, 20252

Kwa muda wa takriban miaka miwili, nilikuwa nikiamka kila siku na maumivu makali ya tumbo.…

Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote

November 10, 2025

Nilivyofanikiwa Kumaliza Migogoro Kati ya Watoto Wangu na Kurudisha Upendo Nyumbani

November 9, 2025

Nilivyopata Kazi Ndoto Zangu Baada ya Kuacha Kusema “Sina Bahati” Kila Wakati

November 9, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo

November 10, 2025

Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote

November 10, 2025

Nilivyofanikiwa Kumaliza Migogoro Kati ya Watoto Wangu na Kurudisha Upendo Nyumbani

November 9, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025224

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025213

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024197
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.