Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nyuki Wazingira Nyumba yake Kisa Mume wa Mtu, Majirani Wadai Sio Tukio la Kawaida

January 12, 2026

Harusi Yasimamishwa Baada ya Mama Mkwe Kupiga Mayowe Kanisani Sababu Yake Yakaa Siri kwa Saa 24

January 12, 2026

Kila Mara Nilipopata Pesa, Zilikuwa Zikitoweka Nilibaini Sababu Baada ya Miezi Kadhaa

January 11, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nyuki Wazingira Nyumba yake Kisa Mume wa Mtu, Majirani Wadai Sio Tukio la Kawaida
  • Harusi Yasimamishwa Baada ya Mama Mkwe Kupiga Mayowe Kanisani Sababu Yake Yakaa Siri kwa Saa 24
  • Kila Mara Nilipopata Pesa, Zilikuwa Zikitoweka Nilibaini Sababu Baada ya Miezi Kadhaa
  • Usiku Mmoja Urithi Wangu Mkubwa Ulipotea Na Niligundua Majirani Walikuwa Wakiandaa Uchawi Dhidi Yangu
  • Nilivyogundua Siri Ya Kuweka Bahati Yangu Kwenye Biashara Niliyoianza Kutokuwa Na Kila Kitu
  • Nilivyopata Mtoto Wa Kike Niliyemuhitaji Baada ya Miaka Ya Kutafuta Bila Mafanikio
  • Salama za Rambirambi kwenye Msiba wa Dada yake MNEC Ndele Mwaselela jijini Mbeya
  • Nilivyorejesha Furaha ya Kuwa Baba Baada ya Watoto Kunikataa Kwa Muda Mrefu
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป MAHAFALI YA 23 YA TAASISI YA UHASIBU TIA KAMPASI YA MBEYA, RC MALISA AWAALIKA WAWEKEZAJI MKOANI MBEYA.
Habari za Kitaifa

MAHAFALI YA 23 YA TAASISI YA UHASIBU TIA KAMPASI YA MBEYA, RC MALISA AWAALIKA WAWEKEZAJI MKOANI MBEYA.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuDecember 12, 2025Updated:December 23, 2025No Comments51 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Na Mwandishi Wetu, Mbeya

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Benno Malisa amewaalika wawekezaji kuwekeza katika mkoa wa Mbeya kwenye fursa za Biashara, Usafirishaji, Viwanda, Ufugaji, Utalii na uwekezaji kwenye mifumo ya Kidijitali.

RC Malisa ameyasema hayo kwenye mahafali ya 23 ya Taasisi ya Uhasibu TIA Kampasi ya Mbeya kwenye kilele cha mahafali ya Taasisi hiyo.

Jumla ya wahitimu 1480 wa ngazi mbalimbali ya vyeti, Astashahada na Shahada wamehitimu katika Taasisi hiyo.

“Nitumie fursa hii kuwakaribisha wawekezaji kuwekeza mkoani kwetu kwenye miradi mikubwa ya kimkakati inayoendelea, imeongeza mvuto wa uwekezaji kutoka ndani na nje ya nchi” Amesema RC Malisa.

Aidha RC Malisa amesema mkoa wa Mbeya ni kati ya mikoa yenye fursa kwenye ubunifu na ukuaji wa kibiashara hivyo wahitimu wa Taasisi ya Uhasibu wanapaswa kuitumia fursa hiyo kwa nia ya kuanzisha safari yao ya ubunifu na ujasiriamali.

Amewataka wahitimu wa Taasisi hiyo kuwa wabunifu kwa kutengeneza mawazo na suluhisho wenye ubunifu ili kuibua changamoto zilizopo katika jamii.

Pia RC Malisa amewataka wahitimu kutumia teknolojia kwa tija ili teknlolojia ibebe biashara, mawazo na huduma wanazozitoa na kutakiwa kuitumia mitandao ya kijamii kwa ajili ya kujipatia kipato.

Awali akizungumza wakati akimlaribisha mgeni rasmi, Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania TIA Prof William Pallangyo Taasisi ya Uhasibu Tanzania imeanzisha kozi mpya tatu za masomo ya juu (Post Graduate),Ngazi za Shahada(Bachelor degree)ili kuendana na soko la ajira lililopo kwa sasa nchini.

Amesema mkoani Mbeya Taasisi ya Uhasibu Tanzania imeanzisha Shahada ya Uzamili ya Sayansi katika Uhasibu wa Fedha, Shahada ya Uzamili ya Sayansi katika Ununuzi na Ugavi, Shahada ya Uzamili ya Uongozi wa Biashara katika Usimamizi wa miradi, Shahada ya Uongozi wa Rasilimali watu na Shahada ya Biashara.

Prof Pallangyo amesema Kozi zilizozinduliwa na RC Malisa katika mahafali ha hayo ni fursa kwa wananchi wa mkoa wa Mbeya, mikoa ya jirani na nchi jirani za Malawi na Zambia.

Aidha Prof Pallangyo amesema kubwa katika kuwa kuwaendeleza wanachuo kupitia kitengo cha Uendelezaji wanachuo kitaalamu na kitaaluma wameandaa shindano la Ubunifu, mshindi wa kwanza kutoka kila Kampasi kwa mwaka 2025-26 atapata fursa kutembelea Chuo kikuu cha Pretoria Nchini Afrika Kusini kwa ajili ya ziara ya kimafunzo na kujipatia uzoefu.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Child Support Tanzania Yawawezesha Madiwani Mbeya Kuhusu Elimu Jumuishi

January 8, 2026

NMB Yaimarisha Ushirikiano na Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya

January 7, 2026

MHE. MAHUNDI AWASISITIZA WATOTO WA SHULE YA MAADILISHO IRAMBO KUBADILIKA NA KUJENGA MUSTAKABALI MWEMA

January 6, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025299

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025241

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024213

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025132
Don't Miss
Uncategorized

Nyuki Wazingira Nyumba yake Kisa Mume wa Mtu, Majirani Wadai Sio Tukio la Kawaida

By Mbeya YetuJanuary 12, 20261

Kila siku ilikuwa na changamoto zake, lakini siku hiyo ilitoka nje ya kawaida kabisa. Nilipoamka…

Harusi Yasimamishwa Baada ya Mama Mkwe Kupiga Mayowe Kanisani Sababu Yake Yakaa Siri kwa Saa 24

January 12, 2026

Kila Mara Nilipopata Pesa, Zilikuwa Zikitoweka Nilibaini Sababu Baada ya Miezi Kadhaa

January 11, 2026

Usiku Mmoja Urithi Wangu Mkubwa Ulipotea Na Niligundua Majirani Walikuwa Wakiandaa Uchawi Dhidi Yangu

January 11, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nyuki Wazingira Nyumba yake Kisa Mume wa Mtu, Majirani Wadai Sio Tukio la Kawaida

January 12, 2026

Harusi Yasimamishwa Baada ya Mama Mkwe Kupiga Mayowe Kanisani Sababu Yake Yakaa Siri kwa Saa 24

January 12, 2026

Kila Mara Nilipopata Pesa, Zilikuwa Zikitoweka Nilibaini Sababu Baada ya Miezi Kadhaa

January 11, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025299

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025241

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024213
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.