Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nyuki Wazingira Nyumba yake Kisa Mume wa Mtu, Majirani Wadai Sio Tukio la Kawaida

January 12, 2026

Harusi Yasimamishwa Baada ya Mama Mkwe Kupiga Mayowe Kanisani Sababu Yake Yakaa Siri kwa Saa 24

January 12, 2026

Kila Mara Nilipopata Pesa, Zilikuwa Zikitoweka Nilibaini Sababu Baada ya Miezi Kadhaa

January 11, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nyuki Wazingira Nyumba yake Kisa Mume wa Mtu, Majirani Wadai Sio Tukio la Kawaida
  • Harusi Yasimamishwa Baada ya Mama Mkwe Kupiga Mayowe Kanisani Sababu Yake Yakaa Siri kwa Saa 24
  • Kila Mara Nilipopata Pesa, Zilikuwa Zikitoweka Nilibaini Sababu Baada ya Miezi Kadhaa
  • Usiku Mmoja Urithi Wangu Mkubwa Ulipotea Na Niligundua Majirani Walikuwa Wakiandaa Uchawi Dhidi Yangu
  • Nilivyogundua Siri Ya Kuweka Bahati Yangu Kwenye Biashara Niliyoianza Kutokuwa Na Kila Kitu
  • Nilivyopata Mtoto Wa Kike Niliyemuhitaji Baada ya Miaka Ya Kutafuta Bila Mafanikio
  • Salama za Rambirambi kwenye Msiba wa Dada yake MNEC Ndele Mwaselela jijini Mbeya
  • Nilivyorejesha Furaha ya Kuwa Baba Baada ya Watoto Kunikataa Kwa Muda Mrefu
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป MAHUNDI AWATUNUKU WAHITIMU 530 CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII(CDTI)UYOLE
Habari za Kitaifa

MAHUNDI AWATUNUKU WAHITIMU 530 CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII(CDTI)UYOLE

Mbeya YetuBy Mbeya YetuDecember 20, 2025Updated:December 20, 2025No Comments3 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhandisi Maryprisca Mahundi, ameagiza Chuo cha Maendeleo ya jamii Uyole kupitia dhana ya ushirikishwaji jamii kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia na kutaka kazi hiyo kuwa endelevu ndani na nje ya chuo

Mahundi amezungumza hayo wakati wa mahafali ya kumi na sita ya chuo cha maendeleo ya jamii CDTI uyole yaliofanyika viwanja vya michezo chuo cha maendeleo ya jamii Uyole na kusema licha ya siku kumi na sita za kupinga ukatili kufanyika lazima zoezi hilo likawe endelevu

Ameitaka jamii inayozunguka Chuo na kila mwanafunzi ni vema kila mmoja akawa mjumbe kupeleka elimu ya kupinga ukatili hasa wanaporudi nyumbani au katika sehemu za kazi.

Mahundi amesema ni mategemeo ya Wizara na Serikali kwa ujumla kuwa watumishi na wanafunzi wa Chuo hicho wataendelea kutimiza wajibu kwa kufanya kazi kwa bidii na kuendelea kuzingatia sheria,taratibu,kanuni na miongozo mbalimbali ya Kitaifa na kama wakifanya hivyo wataendelea kutoa wahitimu mahili na wenye maadili mema wanaoweza kushindana katika soko la ajira .

Amesema mustakabali wa Taifa lolote duniani unategemea sana mchango wa Taasisi za mafunzo katika kuandaa wataalamu mahili na wenye weredi ambao ndio chachu ya kuleta mageuzi ya kifkra na maendeleo jumuishi na endelevu katika jamii yoyote

Naibu Waziri Mahundi ameongeza kuwa Wizara inatambua mchango mkubwa uliotolewa na Chuo cha maendeleo ya jamii Uyole katika kuanda wataalamu wa maendeleo ya jamii ambao wanatoa mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa na kuwapongeza wakufunzi kwa kufanya kazi hiyo kwa uweledi.

Mhandisi Mahundi amesema katika kutekeleza dhana ya uanagenzi ,ubunifu na kusema kama zitatekelezwa vyema zitawawezesha wahitimu kuajiliwa kwa urais zaidi,kijiajili na kuajili wengine huku jamii inayozunguka Chuo hicho ikinufaika na mafunzo hayo.

Kwa upande wake Mkurugenzi anayesimamia vyuo vya Maendeleo ya jamii nchi kutoka Wizara ya Maendeleo ya jamii.jinsia na makundi maalumu Neema Ndoboka amesema vyuo vya maendeleo ya jamii nchini vimekuwa na mchango mkubwa na kwenda maeneo mbalimbali hapa nchini katika kwenda kuleta maendeleo hasa vijijini na mashirika mengine

Awali akisoma taarifa ya chuo hicho makamu mkuu wa chuo anaeshughulikia taaluma Spay Mwangomile amesema kwa ujumla nidhamu ya wanafunzi imekuwa ya kuridhisha uku wakifundishwa maadili mema,uadilifu na uwajibikaji popote watakapokuwa wakiwa kama mabalozi wa chuo hicho na kuwataka wanafunzi waliohitimu chuo hicho kuwa wabunifu

Jumla ya wahitimu 530 wanawake 272 na 258 wanaume wamehitimu katika mahafali ya Chuo hicho katika ngazi ya aatashahada na shahada.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Child Support Tanzania Yawawezesha Madiwani Mbeya Kuhusu Elimu Jumuishi

January 8, 2026

NMB Yaimarisha Ushirikiano na Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya

January 7, 2026

MHE. MAHUNDI AWASISITIZA WATOTO WA SHULE YA MAADILISHO IRAMBO KUBADILIKA NA KUJENGA MUSTAKABALI MWEMA

January 6, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025299

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025241

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024213

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025132
Don't Miss
Uncategorized

Nyuki Wazingira Nyumba yake Kisa Mume wa Mtu, Majirani Wadai Sio Tukio la Kawaida

By Mbeya YetuJanuary 12, 20261

Kila siku ilikuwa na changamoto zake, lakini siku hiyo ilitoka nje ya kawaida kabisa. Nilipoamka…

Harusi Yasimamishwa Baada ya Mama Mkwe Kupiga Mayowe Kanisani Sababu Yake Yakaa Siri kwa Saa 24

January 12, 2026

Kila Mara Nilipopata Pesa, Zilikuwa Zikitoweka Nilibaini Sababu Baada ya Miezi Kadhaa

January 11, 2026

Usiku Mmoja Urithi Wangu Mkubwa Ulipotea Na Niligundua Majirani Walikuwa Wakiandaa Uchawi Dhidi Yangu

January 11, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nyuki Wazingira Nyumba yake Kisa Mume wa Mtu, Majirani Wadai Sio Tukio la Kawaida

January 12, 2026

Harusi Yasimamishwa Baada ya Mama Mkwe Kupiga Mayowe Kanisani Sababu Yake Yakaa Siri kwa Saa 24

January 12, 2026

Kila Mara Nilipopata Pesa, Zilikuwa Zikitoweka Nilibaini Sababu Baada ya Miezi Kadhaa

January 11, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025299

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025241

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024213
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.