Wananchi wa Kata ya Iyela, Jijini Mbeya, wameiomba Serikali kuangalia kwa jicho la huruma barabara ya eneo la Hali ya Hewa hadi Kituo cha Afya Iyela, wakieleza kuwa barabara hiyo imekuwa katika hali mbaya kwa zaidi ya miaka kumi. Wamesema barabara imejaa mashimo makubwa yanayosababisha vyombo vya usafiri ikiwemo bajaji na pikipiki kushindwa kupita kwa urahisi, hali inayowaathiri wananchi hususan wagonjwa wanaoelekea kupata huduma za afya katika kituo hicho.
Trending
- Mvua na upepo mkali waathiri zaidi ya kaya 200 Mbeya
- TISEZA YASIFIA UWEKEZAJI WA BILIONI 8 WA BABITO TRADING COMPANY MBEYA
- AB YAPENDEKEZA MAPITIO MAKUBWA KULINDA BLOGA NA WATENGENEZA MAUDHUI
- SHEIKH WA MKOA MBEYA ATOA UJUMBE KWA WAISLAMU KUELEKEA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN
- EFTA YACHOCHEA UCHUMI KWA HATI FUNGANI YA BILIONI 50
- Kanisa la Moravian Tanzania Lamkabidhi Yona Sonelo Tuzo Maalum Baada ya Shahada ya Heshima Australia
- Beno Malisa Azindua Tawi la Strategies Insurance Mbeya, Akaribisha Wawekezaji
- RC Malisa Afungua Mafunzo ya Maafisa Ulinzi wa Taarifa Binafsi Mbeya

